Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Kijana wa saa’ kuhamia Qatar na familia yake

Ahmed Mohamed, aliyehangaishwa baada ya mwalimu wake kudhani saa aliyokuwa amejitengenezea ilikuwa bomu, atahamia Qatar.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Kijana achinja familia na kuwala

Mwanaume mmoja raia wa Hong Kong amehukumiwa kifungo cha maisha jela kwa mauaji,kuwanyunyizia chumvi na kuwapika nduguze.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mashtaka dhdi ya kijana wa saa yaondolewa

Polisi wa Texas wamemuondolea mashtaka mvulana mwislamu mwenye umri wa miaka 14 aliyekamatwa kwa kutengeza saa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kijana aliyevuma kutokana na saa akutana na Bashir

Mvulana aliyekamatwa kwa kupeleka saa ya kujitengenezea shuleni Marekani wiki chache zilizopita, amekutana na Rais wa Sudan Omar al-Bashir.

 

9 years ago

Michuzi

Mshindi wa Jaymillions na mafanikio yake: Ajenga nyumba ya kisasa na kuishi na familia yake goba, kufungua biashara

Mmoja ya washindi wa kitita cha shilingi Milioni 100 kupitia promosheni ya Jaymillions iliyokuwa inaendeshwa na Vodacom Tanzania iliyomalizika mwezi Aprili mwaka huu Irene Mrema, amesema tangu aibuke na ushindi amepata mafanikio makubwa mojawapo ikiwa ni kuweza kujenga nyumba ya kuishi na familia yake maeneo ya Goba nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam. “Nashukuru Mwenyezi Mungu kwa kunikwamua kimaisha kupitia Jaymillion ya Vodacom kwa kuwa imeleta mafanikio makubwa katika maisha yangu na...

 

11 years ago

Mwananchi

Saa za mwisho za Mzee Small, alitaka upendo katika familia

Nguli wa michezo ya kuigiza na vichekesho, Saidi Wangamba ‘Mzee Small’ (59), amefariki dunia juzi katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Dar es Salaam akiwa ni msanii wanne kukutwa na mauti katika mwezi mmoja.

 

10 years ago

Vijimambo

Maalim Seif aendelea na ziara yake Nchini Qatar

  Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akizungumza na ujumbe wa mamlaka ya uwekezaji (Qatar Holding) mjini Doha, ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya siku nne nchini Qatar. Mkurugenzi wa maendeleo ya biashara wa mamlaka ya uwekezaji ya Qatar Sheikh Faisal Bin Soud Al-Thani, akizungumza na ujumbe wa Zanzibar ukiongozwa na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad mjini Doha.Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kijana anaweza kufikia ndoto yake

ASILIMIA kubwa ya watu ukiwauliza kuhusu ndoto zao za baadaye, utashangazwa na mambo makubwa waliyoyabeba moyoni na kwenye fikra zao. Ni wachache kati ya hao ambao watafanya maamuzi ya kuchukua...

 

9 years ago

Vijimambo

KIJANA FRANK ANAMTAFUTA BABA YAKE

Kijana FRANK MASANJA anamtafuta baba yake mzazi aitwae MASANJA BASU . Masanja alikuwa anaishi kwa kaka yake aitwae SHINGERA BASU sehemu iitwayo NYAKATO SOKONI mkoani MWANZA. Kabila la Masanja ni msukuma wa mkoani Shinyanga wilaya ya Bariadi katiki kijiji kiitwacho BUDARABUJIGA na jina la ukoo wao ni BASU. Sasa hivi wilaya ya Bariadi ipo ndani ya mkoa mpya waSimiyu na si Shinyanga tena. Mke wa kaka yake alikuwa mwalimu wa shule ya msingi. Baadhi ya watoto wa kaka yake ni BUSARU na...

 

10 years ago

GPL

KIJANA AJITOKEZA KWENYEZA KWENYE MAZISHI YAKE

Stori: Makongoro Oging’
DA! Duniani kuna mambo jamani! Katika hali isiyo ya kawaida, maeneo ya Tandale Kwatumbo jijini Dar, waombolezaji hawakuamini macho yao wakati walipomuona ‘marehemu’ Mohamed Salum ‘Fido’ (29) (pichani), akirejea nyumbani hapo huku maandalizi ya mazishi yake yakipamba moto na waombolezaji, hasa mkewe, mtoto na ndugu wakilia kwa uchungu kufuatia ‘kifo’ chake. ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani