Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KIJANA FRANK ANAMTAFUTA BABA YAKE

Kijana FRANK MASANJA anamtafuta baba yake mzazi aitwae MASANJA BASU . Masanja alikuwa anaishi kwa kaka yake aitwae SHINGERA BASU sehemu iitwayo NYAKATO SOKONI mkoani MWANZA. Kabila la Masanja ni msukuma wa mkoani Shinyanga wilaya ya Bariadi katiki kijiji kiitwacho BUDARABUJIGA na jina la ukoo wao ni BASU. Sasa hivi wilaya ya Bariadi ipo ndani ya mkoa mpya waSimiyu na si Shinyanga tena. Mke wa kaka yake alikuwa mwalimu wa shule ya msingi. Baadhi ya watoto wa kaka yake ni BUSARU na...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Baba anapoingia mitini na michango ya harusi ya kijana wake!

KATIKA hali ya kawaida wazazi wa kijana au binti anayetarajia kuoa au kuolewa wao ndio wanaokuwa mstari wa mbele wa kuhakikisha mtoto wao anafanikiwa vema katika maandalizi ya harusi mtoto...

 

9 years ago

Michuzi

MWILI WA BABA YAKE MWANAHABARI, PETER AMBILIKILE WAAGWA JIJINI DAR ES SALAAM, MAZISHI YAKE KUFANYIKA MBEYA LEO

 Marehemu Mzee Anyosisye Mwakyusa enzi za uhai wake. Mwili ukiondolewa kanisani.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kijana anaweza kufikia ndoto yake

ASILIMIA kubwa ya watu ukiwauliza kuhusu ndoto zao za baadaye, utashangazwa na mambo makubwa waliyoyabeba moyoni na kwenye fikra zao. Ni wachache kati ya hao ambao watafanya maamuzi ya kuchukua...

 

10 years ago

Vijimambo

INAUMA SANA KUONA MSANII MWENZETU KIJANA DAZ BABA AKIWA KATIKA KHALI HII MBAYA...TUMSAIDIE JAMANI

Inauma sana kuona kijana mwenzetu yupo katika hali hii...Huyu ni msanii mkubwa na maarufu sana hapa Tz na uhakika kila mtu atakuwa anamkumbua#DazBaba aliyekuwa na mmoja katika kundi la#Daznundaz kama sikosei... Sababu ya kuwa hivi ni#Madawa_ya_kulevya.. Na chanzo kikubwa cha madawa ni baadh ya matajiri kujiingiza katika biashara hii ambayo inatuharibia nguvu kazi ya taifa..#Daz ni kijana mdogo sana na ukimwangalia kwenye pic utadhani mzee...Naamini bado hatujachelewa tunaweza kubadilisha...

 

9 years ago

BBCSwahili

‘Kijana wa saa’ kuhamia Qatar na familia yake

Ahmed Mohamed, aliyehangaishwa baada ya mwalimu wake kudhani saa aliyokuwa amejitengenezea ilikuwa bomu, atahamia Qatar.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kijana anapokata tamaa hupoteza ndoto yake

KATIKA maisha ya kila siku tunahimizwa kuwa tukipata tufurahi na tukikosa tutafakari. Kushindwa kunafananishwa na giza linalotangulia mbele ya mwanga wa kushinda, ambapo ndiyo mafanikio yenyewe yalipo. Juhudi kubwa ni...

 

10 years ago

GPL

KIJANA AJITOKEZA KWENYEZA KWENYE MAZISHI YAKE

Stori: Makongoro Oging’
DA! Duniani kuna mambo jamani! Katika hali isiyo ya kawaida, maeneo ya Tandale Kwatumbo jijini Dar, waombolezaji hawakuamini macho yao wakati walipomuona ‘marehemu’ Mohamed Salum ‘Fido’ (29) (pichani), akirejea nyumbani hapo huku maandalizi ya mazishi yake yakipamba moto na waombolezaji, hasa mkewe, mtoto na ndugu wakilia kwa uchungu kufuatia ‘kifo’ chake. ...

 

10 years ago

GPL

GLOBAL TV ONLINE: KIJANA NUSURA AUAWE KWA WIZI, MAMA YAKE AINGILIA KATI

Kijana mmoja mkazi wa Kigogo Sukita jijini Dar es Salam ameambulia kipigo kizito kutoka kwa wananchi wenye hasira kali na kufikia hatua ya kutaka kumchoma moto kutokana na kitendo cha kumuibia simu na shilingi elfu therasini mwanadada ambaye naye ni mkazi wa eneo hilo. Kutokana na kipondo cha aina yake alichokuwa akipewa na wananchi hao wenye hasira kali walionekana kumpania kutokana na vitendo vyake vya wizi wa mara kwa mara na...

 

11 years ago

GPL

MTITU AFIWA NA BABA YAKE

STAA wa filamu za kibongo William Mtitu amepata pigo baada ya kufiwa na baba yake mzazi, Mzee John Mtitu aliyekuwa amelazwa Hospitali ya Taifa Muhimbili kutokana na kusumbuliwa na uvimbe kichwani Akizungumza kwa masikitiko nyumbani kwake Mabibo jijini Dar es Salaam, Mtitu alisema amesikitishwa na kifo cha baba yake lakini hana jinsi kwani Mungu amempenda zaidi na hiyo ni njia ya kila mmoja. Staa wa filamu za kibongo, William...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani