Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Saa za mwisho za Mzee Small, alitaka upendo katika familia

Nguli wa michezo ya kuigiza na vichekesho, Saidi Wangamba ‘Mzee Small’ (59), amefariki dunia juzi katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Dar es Salaam akiwa ni msanii wanne kukutwa na mauti katika mwezi mmoja.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

GAZETI LA CHAMPIONI LAKABIDHI UBANI KWA FAMILIA YA MAREHEMU MZEE SMALL

Waandishi wa Gazeti la Championi (waliochuchumaa), kutoka kushoto ni Lucy Mgina, Saphyna Mlawa, Martha Mboma na Khadija Mngwai wakimkabidhi ubani Mke wa Marehemu, Said Ngamba 'Mzee Small, Mama Said. Mhariri wa Championi Jumatano, Philip Nkini akimpa pole moja ya mtoto wa Marehemu Mzee Small.…

 

10 years ago

Habarileo

Askofu ahimiza upendo katika familia

ASKOFU wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Zanzibar, Michael Hafidh amewataka wazazi kupata nafasi ya kukaa na familia zao.

 

11 years ago

Dewji Blog

Rais Kikwete aungana na waombolezaji kwenye Msiba wa marehemu Mzee Said Ngamba “Mzee Small” Jijini Dar

16

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili kwenye Msiba wa msiba wa msanii maarufu wa filamu ya vichekesho hapa nchini,Marehemu Saidi Ngamba “Mzee Small” nyumbani kwa marehemu Tabata Kimanga jijini Dar es salaam jana Juni 9, 2014.

17

_1

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwa amejumuika na waombolezaji mbali mbali kwenye Msiba wa msanii maarufu wa filamu za vichekesho nyumbani kwa marehemu Tabata Kimanga jijini Dar es salaam jana.Kushoto ni Rais wa Chama cha Filamu nchini,Simon Mwakifwamba na...

 

11 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AWAONGOMA MAMIA YA WAOMBOLEZAJI KWENYE MSIBA WA MAREHEMU MZEE SAID NGAMBA "MZEE SMALL" JIJINI DAR LEO

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili kwenye Msiba wa msiba wa msanii maarufu wa filamu ya vichekesho hapa nchini,Marehemu Saidi Ngamba “Mzee Small” nyumbani kwa marehemu Tabata Kimanga jijini Dar es salaam leo Juni 9, 2014. Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akishiriki katika dua wakati alipokwenda kuhani msiba wa msanii maarufu wa filamu vichekesho Marehemu Saidi Ngamba “Mzee Small” nyumbani kwa marehemu Tabata Kimanga jijini Dar es salaam leo Juni 9, 2014. Rais Dkt Jakaya Mrisho...

 

10 years ago

Bongo Movies

Hii Ndio Show na Kauli ya Mwisho ya Sharo, Sikujua Kwanini Alitaka Tufanye Kazi na Stanbakora-KITALE

Show ya mwisho kufanya na marehemu sharo ilikuwa mwembe yanga show ya DTV nakumbuka ilikuwa inaitwa "NI WAKATI WAKO" baada ya hapo kesho asubuhi tukaenda tanga kushuti movie yetu hii (Safara Hasara) ambayo 20/04/2015 ndio inatoka tukamaliza kushuti salama salimini tukarudi DAR usiku napigiwa simu na marehemu sajuki anataka niende kwenye show yake iringa CHANGIA SAJUKI tarehe 25/11/2012 akabaki kwa sababu alikuwa katoka magomeni kaamia sinza ana siku mbili bado mgeni sinza basi mimi nikafanya...

 

11 years ago

GPL

MAZISHI YA MZEE SMALL

Mazishi ya gwiji la maigizo nchini, Said Ngamba 'Mzee Small' yaliyofanyika katika makaburi ya Tabata, Segerea jijini Dar Juni 9, 2014  na kuhudhuriwa na mamia ya watu. Awali Rais Jakaya Kikwete alifika nyumbani kwa marehemu,Tabata kutoa pole kwa familia ya Mzee…

 

11 years ago

GPL

JK MSIBANI KWA MZEE SMALL

Rais Jakaya Kikwete akiwasili nyumbani kwa marehemu Mzee Small eneo la Tabata, Mawenzi Dar kuwapa pole wafiwa. Kulia ni Rais wa TAFF, Simon Mwakifwamba. Msanii mkongwe wa maigizo, Mashaka akiwa msibani na Zamaradi Mketema.…

 

11 years ago

Mwananchi

JK aongoza mazishi ya Mzee Small

Rais Jakaya Kikwete jana aliongoza mamia ya waombolezaji katika mazishi ya msanii wa kuigiza na vichekesho, Saidi Ngamba ‘Mzee Small’ aliyefariki dunia mwishoni mwa wiki katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), baada ya kuugua kwa muda mrefu.

 

11 years ago

GPL

HISTORIA YA MAREHEMU MZEE SMALL

Marehemu Mzee Small akiwa na mkewe Bi. Fatuma. Jina lake ni Said Ngamba maarufu kwa jina la Mzee Small (58). Amezaliwa mwaka 1955. Alikuwa msanii mkongwe wa vichekesho na maigizo hapa Bongo. Mzee Small (kushoto) akiwavunja mbavu JB, Mzee Mbizo na Richie. Mzee Small alipata elimu ya msingi katika Shule ya Mingumbi huko Kilwa mkoani Pwani. Mbali na kuwa mkongwe, Mzee Small kila ulipozungumza naye alikuwa na kawaida ya kutamba...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani