Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Askofu ahimiza upendo katika familia

ASKOFU wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Zanzibar, Michael Hafidh amewataka wazazi kupata nafasi ya kukaa na familia zao.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Saa za mwisho za Mzee Small, alitaka upendo katika familia

Nguli wa michezo ya kuigiza na vichekesho, Saidi Wangamba ‘Mzee Small’ (59), amefariki dunia juzi katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Dar es Salaam akiwa ni msanii wanne kukutwa na mauti katika mwezi mmoja.

 

9 years ago

Mtanzania

Askofu Kilaini ahimiza uwekezaji katika ndoa

Kilaini(2)Na Joan John, Kagera

ASKOFU Msaidizi wa Kanisa Katoliki Jimbo la Bukoba, Mhashamu, Methodius Kilaini amewataka wanandoa nchini kuwekeza katika ndoa zao ili kuweza kujenga familia imara.

Askofu Kilaini alisema hayo juzi katika misa ya pili iliyofanyika katika Kanisa Katoliki mjini Bukoba ambapo alisema kuwa bila wanandoa kuwekeza katika ndoa zao, kamwe hawawezi kujenga familia imara.

Alisema Wakristo wanapaswa kujenga tabia ya uvumilivu, upendo, amani, kuthaminiana, kuheshimiana katika...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Dk. Bilal ahimiza amani, upendo

SERIKALI imewataka viongozi wa dini nchini kuendelea kuliombea Taifa ili libakie na amani, utulivu na upendo kwani ni tunu kutoka kwa Mwenyezi Mungu. Makamu wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal,...

 

10 years ago

GPL

SHIGONGO AHIMIZA UPENDO NA BIDII KWA WAFANYAKAZI GLOBAL

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Global Publishers, wachapishaji wa magazeti ya Uwazi, Championi, Risasi, Ijumaa Wikienda, Amani na Ijumaa, Eric Shigongo Bukumbi, akiongea na wafanyakazi leo.…

 

11 years ago

Habarileo

Askofu Msemwa ahimiza amani

WAUMINI wa madhehebu ya Kikristo katika Jimbo la Kanisa Katoliki la Tunduru/ Masasi, wamehimizwa kudumisha upendo, amani na utulivu ili kutoa nafasi ya maendeleo kutawala miongoni mwa jamii.

 

11 years ago

Habarileo

Askofu ahimiza Watanzania kuombea taifa

WATANZANIA wametakiwa kuongeza nguvu kuombea taifa kwa kile kilichoelezwa linapita katika kipindi kigumu kinachohitaji maombi.

 

10 years ago

Habarileo

Askofu RC ahimiza kuombea Katiba mpya

MHASHAMU Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Songea mkoani Ruvuma, Damian Dallu amewataka waumini wa kanisa hilo kuuombea kwa dhati mchakato wa Katiba mpya unaoendelea, ili uweze kumalizika salama bila ya kuipitisha nchi katika majaribu ya machafuko.

 

11 years ago

Mwananchi

Askofu ahimiza uwekezaji elimu ya juu nchini

>Askofu wa KKKT, Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Dk Stephen Munga, amezungumzia umuhimu wa Tanzania kuwekeza katika elimu ya juu na kwamba kuwa taifa lolote lisilowekeza katika elimu litakuwa taabani kimaendeleo hasa ya kiuchumi.

 

10 years ago

Habarileo

Askofu Bundala ahimiza kilimo cha vitunguu

WAKULIMA wa Malembula Wilayani Kongwa wameshauriwa kuchangamkia fursa za kilimo cha vitunguu ili wajikwamue kiuchumi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani