SHIGONGO AHIMIZA UPENDO NA BIDII KWA WAFANYAKAZI GLOBAL
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Global Publishers, wachapishaji wa magazeti ya Uwazi, Championi, Risasi, Ijumaa Wikienda, Amani na Ijumaa, Eric Shigongo Bukumbi, akiongea na wafanyakazi leo.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9pVNH1qXqqwuiLynzLaAxgBZb7E3ai*4qX4o1ENtkA24DhI9V*8qrduiD2KcKnshhbLWCH6gxRNUy9cnK9iR07WiWGPXSJkq/SHIGONGONAWAFANYAKAZI1.jpg?width=650)
ERIC SHIGONGO AONGEA NA WAFANYAKAZI WA GLOBAL, AWAPA MBINU ZA UJASIRIAMALI
11 years ago
GPLWAFANYAKAZI GLOBAL WAONYESHA UPENDO, WALA PAMOJA CHAKULA CHA MCHANA
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-G5k6nnvppHY/U13-6qTwywI/AAAAAAAFdng/ET8k1FsVTU8/s72-c/Saada+Mkuywa+Naibu+Waziri+wa+Fedha.jpg)
Wafanyakazi Wizara ya Fedha waaswa kufanyakazi kwa bidii na kujituma
![](http://4.bp.blogspot.com/-G5k6nnvppHY/U13-6qTwywI/AAAAAAAFdng/ET8k1FsVTU8/s1600/Saada+Mkuywa+Naibu+Waziri+wa+Fedha.jpg)
Wafanyakazi Wizara ya Fedha wameaswa kufanyakazi kwa bidii na kujituma kwa moyo ili kukuza uchumi wa nchi na taifa liweze kusonga mbele na kufikia malengo yake.
Kauli hiyo imetolewa na Mgeni Rasmi ambaye pia ni Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum wakati wa kufungua mkutano wa Baraza la wafanyakazi wa wizara hiyo hivi karibuni jijini Dar es salaam.
“Mnapokuwa kwenye mkutano wenu mjadili bajeti bila kuwa na woga kwa kutumia weledi wenu mlionao na kutoa ushauri...
9 years ago
Habarileo17 Dec
DC ahimiza bidii katika kazi
MKUU wa Wilaya ya Makete mkoani Njombe, Daud Yassin amewataka wananchi wa wilaya hiyo kufanya kazi kwa bidii ili kumuunga mkono Rais John Magufuli katika jitihada za kuhakikisha kila Mtanzania anawajibika ipasavyo.
11 years ago
Tanzania Daima28 Apr
Waziri Mkuya ahimiza uadilifu kwa wafanyakazi
WAZIRI wa Fedha, Saada Mkuya, amewataka wafanyakazi wa wizara yake kujiepusha na vishawishi mbalimbali vitakavyochangia kutoa rushwa au kupokea. Alitoa tahadhari hiyo jijini Dar es Salaam jana wakati wa ufunguzi...
9 years ago
Habarileo20 Nov
Ahimiza wadau kuepusha madhara kwa wafanyakazi wa majumbani
KAMISHNA wa Kazi, visiwani hapa, Ali Ibaraja amesema ipo haja ya wadau wa kazi kushirikiana ili kuepusha kutokea kwa madhara mbalimbali yanayowapata wafanyakazi wa majumbani.
9 years ago
Dewji Blog30 Nov
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya ndani ya nchi ahamasisha Baraza la Wafanyakazi wa Idara ya jeshi la Polisi kufanya kazi kwa bidii!
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,John Mngodo,akizungumza na wajumbe wa mkutano wa Baraza la wafanyakazi wa Idara ya Jeshi la Polisi(hawapo pichani),wakati alipoalikwa kufunga mkutano huo uliofanyika Chuo cha Taaluma ya Polisi,Kilwa Road,jijini Dar es Salaam.
Naibu Katibu wa Baraza la Wafanyakazi,Stanford Busumbiro(kulia) akimpongeza Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,John Mngodo, muda mfupi baada ya kumaliza kufunga mkutano wa Baraza la Wafanyakazi...
10 years ago
Tanzania Daima16 Oct
Dk. Bilal ahimiza amani, upendo
SERIKALI imewataka viongozi wa dini nchini kuendelea kuliombea Taifa ili libakie na amani, utulivu na upendo kwani ni tunu kutoka kwa Mwenyezi Mungu. Makamu wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal,...
10 years ago
Dewji Blog03 Oct
Wafanyakazi wa UNFPA, TUSHIKAME Pamoja Foundation na Projeckt Inspire waonyesha upendo kwa wazee Msimbazi Centre
Daktari kijana Brian Mushi wa Projeckt Inspire akionyesha upendo kwa mmoja wa wazee wanaoishi kwenye kituo hicho kilichopo Msimbazi Centre mara baada ya kumpima Presha wakati wa maadhimisho ya siku ya wazee duniani.
Na Mwandisi wetu
WAZEE wanaoshi katika makazi ya Msimbazi Centre Jijini Dar es salaam karibu na kanisa la Mtakatifu Maria wa Fatma, Msimbazi walipata faraja kubwa baada ya kutembelewa na makundi matatu ya jamii.
Makundi hayo ni pamoja na wafanyakazi wa Shirika la Umoja wa...