Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHIGONGO AHIMIZA UPENDO NA BIDII KWA WAFANYAKAZI GLOBAL

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Global Publishers, wachapishaji wa magazeti ya Uwazi, Championi, Risasi, Ijumaa Wikienda, Amani na Ijumaa, Eric Shigongo Bukumbi, akiongea na wafanyakazi leo.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

ERIC SHIGONGO AONGEA NA WAFANYAKAZI WA GLOBAL, AWAPA MBINU ZA UJASIRIAMALI

Meneja Mkuu wa Global Publishers Ltd, Abdallah Mrisho (kushoto) akimkaribisha Mkurugenzi wa Global, Marsha Bukumbi (wa kwanza kulia) ili amkaribishe Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers, Eric Shigongo (katikati) kuongea na wafanyakazi. Mkurugenzi wa Global Publishers, Marsha Bukumbi akiwashukuru wafanyakazi kwa utendaji wao kazi kabla ya kumkaribisha Eric Shigongo kuongea.… ...

 

11 years ago

GPL

WAFANYAKAZI GLOBAL WAONYESHA UPENDO, WALA PAMOJA CHAKULA CHA MCHANA

Baadhi ya ‘askari’ wa kikosi cha Global Publishers wakielekea kupata msosi wa nguvu mchana huu. Taswira ya msosi wa nguvu uliokuwa mezani.…

 

11 years ago

Michuzi

Wafanyakazi Wizara ya Fedha waaswa kufanyakazi kwa bidii na kujituma

Na Eleuteri Mangi- MAELEZO
Wafanyakazi Wizara ya Fedha wameaswa kufanyakazi kwa bidii na kujituma kwa moyo ili kukuza uchumi wa nchi na taifa liweze kusonga mbele na kufikia malengo yake. 
Kauli hiyo imetolewa na Mgeni Rasmi ambaye pia ni Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum wakati wa kufungua mkutano wa Baraza la wafanyakazi wa wizara hiyo hivi karibuni jijini Dar es salaam.
“Mnapokuwa kwenye mkutano wenu mjadili bajeti bila kuwa na woga kwa kutumia weledi wenu mlionao na kutoa ushauri...

 

9 years ago

Habarileo

DC ahimiza bidii katika kazi

MKUU wa Wilaya ya Makete mkoani Njombe, Daud Yassin amewataka wananchi wa wilaya hiyo kufanya kazi kwa bidii ili kumuunga mkono Rais John Magufuli katika jitihada za kuhakikisha kila Mtanzania anawajibika ipasavyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Waziri Mkuya ahimiza uadilifu kwa wafanyakazi

WAZIRI wa Fedha, Saada Mkuya, amewataka wafanyakazi wa wizara yake kujiepusha na vishawishi mbalimbali vitakavyochangia kutoa rushwa au kupokea. Alitoa tahadhari hiyo jijini Dar es Salaam jana wakati wa ufunguzi...

 

9 years ago

Habarileo

Ahimiza wadau kuepusha madhara kwa wafanyakazi wa majumbani

KAMISHNA wa Kazi, visiwani hapa, Ali Ibaraja amesema ipo haja ya wadau wa kazi kushirikiana ili kuepusha kutokea kwa madhara mbalimbali yanayowapata wafanyakazi wa majumbani.

 

9 years ago

Dewji Blog

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya ndani ya nchi ahamasisha Baraza la Wafanyakazi wa Idara ya jeshi la Polisi kufanya kazi kwa bidii!

pix 1

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,John Mngodo,akizungumza na wajumbe wa mkutano wa Baraza la wafanyakazi wa Idara ya Jeshi la Polisi(hawapo pichani),wakati alipoalikwa kufunga mkutano huo uliofanyika Chuo cha Taaluma ya Polisi,Kilwa Road,jijini Dar es Salaam.

pix 2

Naibu Katibu wa Baraza la Wafanyakazi,Stanford Busumbiro(kulia) akimpongeza Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani  ya Nchi,John Mngodo, muda mfupi baada ya kumaliza kufunga mkutano wa Baraza la Wafanyakazi...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Dk. Bilal ahimiza amani, upendo

SERIKALI imewataka viongozi wa dini nchini kuendelea kuliombea Taifa ili libakie na amani, utulivu na upendo kwani ni tunu kutoka kwa Mwenyezi Mungu. Makamu wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal,...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wafanyakazi wa UNFPA, TUSHIKAME Pamoja Foundation na Projeckt Inspire waonyesha upendo kwa wazee Msimbazi Centre

IMG_2450

Daktari kijana Brian Mushi wa Projeckt Inspire akionyesha upendo kwa mmoja wa wazee wanaoishi kwenye kituo hicho kilichopo Msimbazi Centre mara baada ya kumpima Presha wakati wa maadhimisho ya siku ya wazee duniani.

Na Mwandisi wetu

WAZEE wanaoshi katika makazi ya Msimbazi Centre Jijini Dar es salaam karibu na kanisa la Mtakatifu Maria wa Fatma, Msimbazi walipata faraja kubwa baada ya kutembelewa na makundi matatu ya jamii.

Makundi hayo ni pamoja na wafanyakazi wa Shirika la Umoja wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani