DC ahimiza bidii katika kazi
MKUU wa Wilaya ya Makete mkoani Njombe, Daud Yassin amewataka wananchi wa wilaya hiyo kufanya kazi kwa bidii ili kumuunga mkono Rais John Magufuli katika jitihada za kuhakikisha kila Mtanzania anawajibika ipasavyo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-uHrwswneLB0/VYvlBT05SKI/AAAAAAAHj6A/Pru4u1SdFp0/s72-c/unnamed%2B%25287%2529.jpg)
Baraza la Uwezeshaji lahimiza bidii, maarifa katika kazi
9 years ago
MichuziFANYENI KAZI KWA BIDII ILI MUWEZE KUJILETEA MABADILIKO YA KWELI KATIKA MAISHA YENU - MAMA SALMA KIKWETE
Rai hiyo imetolewa jana na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakati akiongea kwa nyakati tofauti na wananchi wa vijiji vya Ngunichile na Mbaya vilivyopo katika majimbo ya Nachingwea na Liwale (Pichni)waliohudhuria mkutano wa kampeni ya kuwanadi wagombea wa...
10 years ago
GPLSHIGONGO AHIMIZA UPENDO NA BIDII KWA WAFANYAKAZI GLOBAL
9 years ago
BBCSwahili07 Jan
Madrid Kazi kwa bidii –Zidane.
11 years ago
Habarileo10 Aug
Serikali yataka vijana kuchapa kazi kwa bidii
SERIKALI imewataka vijana kuchapa kazi kwa bidii ili kuleta mabadiliko chanya katika jamii wanazoishi ikizingatiwa kwamba asilimia 75 ya nguvu kazi ya taifa ni vijana.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YVaXL1eV6Hg/VmqyDxt9x9I/AAAAAAAAoyY/1n4a_VW_UF8/s72-c/1.jpg)
WASANII WA KIKE WAASWA KUFANYA KAZI KWA BIDII
![](http://2.bp.blogspot.com/-YVaXL1eV6Hg/VmqyDxt9x9I/AAAAAAAAoyY/1n4a_VW_UF8/s640/1.jpg)
Mkurugenzi Msaidizi Kitengo cha Sanaa kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Leah Kihimbi akitoa hotuba katika Warsha ya siku mbili kuhusu wasanii wanawake kupinga ukatili wa kijinsia, mafunzo hayo yamefanyika ili kuhitimisha siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia na kusheherekea siku ya msanii Tanzania iliyofanyika jijini Dar es Salaam leo.
![](http://3.bp.blogspot.com/-XcvejFxq_7w/VmqyGzZB0gI/AAAAAAAAoyg/NjZPMbgDmGE/s640/2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wuB_deGiIDQ/Xklwc3CAvgI/AAAAAAALdmk/6k3IKIHbgvsM7Vq4L7ip603XF_CDaSvlgCLcBGAsYHQ/s72-c/C1-1.jpg)
WAZIRI KABUDI: WATUMISHI FANYENI KAZI KWA BIDII NA USHIRIKIANO
![](https://1.bp.blogspot.com/-wuB_deGiIDQ/Xklwc3CAvgI/AAAAAAALdmk/6k3IKIHbgvsM7Vq4L7ip603XF_CDaSvlgCLcBGAsYHQ/s640/C1-1.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/D1-1.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Kanali Wilbert A. Ibuge akiongea na watumishi wa wizara wakati wa kikao kilichofanyika jijini Dodoma
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/B1-1.jpg)
Sehemu ya watumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wakifuatilia kikao kilichofanyika jijini...
10 years ago
Habarileo29 Dec
Mama Salma ataka Lindi wafanye kazi kwa bidii
WAKAZI wa Mkoa wa Lindi wametakiwa kushikamana kwa pamoja, kufanya kazi kwa bidii na kuzitumia rasilimali zilizopo ili kujiletea maendeleo.
9 years ago
Dewji Blog10 Oct
Watumishi watakiwa kufanya kazi kwa bidii, uwajibikaji na ushirikiano
Naibu Katibu Katibu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Prof. Elisante Ole Gabriel akibadilishana mawazo na aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Seth Kamuhanda aliyestaafu kwa mujibu wa sheria wakati wa hafla ya kuwaaga Makatibu Wakuu wa Wizara mbalimbali waliomaliza muda wao wa Utumishi wa Umma. Hafla hiyo ilifanyika katika Hotel ya Hyatt Regency Kilimanjaro jana (Ijumaa Oktoba 9, 2015) Jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue akimkabidhi Cheti...