Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DC ahimiza bidii katika kazi

MKUU wa Wilaya ya Makete mkoani Njombe, Daud Yassin amewataka wananchi wa wilaya hiyo kufanya kazi kwa bidii ili kumuunga mkono Rais John Magufuli katika jitihada za kuhakikisha kila Mtanzania anawajibika ipasavyo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Baraza la Uwezeshaji lahimiza bidii, maarifa katika kazi

Watanzania wameshauriwa kuzidi kuendelea kufanya kazi kwa bidii na maarifa ili nchi iweze kufikia uchumi wa kati na kuondokana na umasikini. Katibu Mtendaji wa Bazara la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi, Bi. Beng’i Issa amewaambia waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam kuwa wakati serikali inafanya juhudi kuwawezesha wananchi, ni muhimu wananchi pia wakaongeza juhudi katika shughuli zao za kiuchumi. “Tuko katika njia nzuri kufikia uchumi wa kati, lakini inabidi kuongeza kasi ya...

 

9 years ago

Michuzi

FANYENI KAZI KWA BIDII ILI MUWEZE KUJILETEA MABADILIKO YA KWELI KATIKA MAISHA YENU - MAMA SALMA KIKWETE

Na Anna Nkinda – Maelezo, Liwale14/10/2015 Wananchi wa mkoa wa Lindi wameaswa kufanya kazi kwa bidii ili waweze kujiletea mabadiliko ya kweli katika maisha yao kwani kuna baadhi ya watu hawapendi kufanya kazi huku wakisubiri mabadiliko.
Rai hiyo imetolewa jana na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakati akiongea kwa nyakati tofauti na wananchi wa  vijiji vya Ngunichile na Mbaya vilivyopo katika majimbo ya Nachingwea na Liwale (Pichni)waliohudhuria mkutano wa kampeni ya kuwanadi wagombea wa...

 

10 years ago

GPL

SHIGONGO AHIMIZA UPENDO NA BIDII KWA WAFANYAKAZI GLOBAL

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Global Publishers, wachapishaji wa magazeti ya Uwazi, Championi, Risasi, Ijumaa Wikienda, Amani na Ijumaa, Eric Shigongo Bukumbi, akiongea na wafanyakazi leo.…

 

9 years ago

BBCSwahili

Madrid Kazi kwa bidii –Zidane.

Kocha mkuu wa mpya wa Real Madrid Zinedine Zidane, amewataka Wachezaji kuwa na nia moja na kufanya kazi kwa bidii.

 

11 years ago

Habarileo

Serikali yataka vijana kuchapa kazi kwa bidii

Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Profesa Elisante ole GabrielSERIKALI imewataka vijana kuchapa kazi kwa bidii ili kuleta mabadiliko chanya katika jamii wanazoishi ikizingatiwa kwamba asilimia 75 ya nguvu kazi ya taifa ni vijana.

 

9 years ago

Michuzi

WASANII WA KIKE WAASWA KUFANYA KAZI KWA BIDII


Mkurugenzi Msaidizi Kitengo cha Sanaa kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Leah Kihimbi akitoa hotuba katika Warsha ya siku mbili kuhusu wasanii wanawake kupinga ukatili wa kijinsia, mafunzo hayo yamefanyika ili kuhitimisha siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia na kusheherekea siku ya msanii Tanzania iliyofanyika jijini Dar es Salaam leo.
Rais wa Shirikisho la Sanaa za Maonyesho Tanzania Agnes Lukanga akitoa mada katika warsha ya siku mbili kuhusu wasanii wanawake kupinga...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI KABUDI: WATUMISHI FANYENI KAZI KWA BIDII NA USHIRIKIANO

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) akiongea na watumishi wa wizara wakati wa kikao kilichofanyika jijini Dodoma
Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Kanali Wilbert A. Ibuge akiongea na watumishi wa wizara wakati wa kikao kilichofanyika jijini Dodoma



Sehemu ya watumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wakifuatilia kikao kilichofanyika jijini...

 

10 years ago

Habarileo

Mama Salma ataka Lindi wafanye kazi kwa bidii

WAKAZI wa Mkoa wa Lindi wametakiwa kushikamana kwa pamoja, kufanya kazi kwa bidii na kuzitumia rasilimali zilizopo ili kujiletea maendeleo.

 

9 years ago

Dewji Blog

Watumishi watakiwa kufanya kazi kwa bidii, uwajibikaji na ushirikiano

1.

Naibu Katibu Katibu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Prof. Elisante Ole Gabriel akibadilishana mawazo na aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Seth Kamuhanda aliyestaafu kwa mujibu wa sheria wakati wa hafla ya kuwaaga Makatibu Wakuu wa Wizara mbalimbali waliomaliza muda wao wa Utumishi wa Umma. Hafla hiyo ilifanyika katika Hotel ya Hyatt Regency Kilimanjaro jana (Ijumaa Oktoba 9, 2015) Jijini Dar es Salaam.

2.

Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue akimkabidhi Cheti...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani