PICHA ZINGINE ZA MBUNGE LETICIA NYERERE ALIPOTANGAZA KUJIUNGA NA CCM
Mbunge wa Viti Maalum wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),Leticia Nyerere akinyanyua mikono ikiwa ni sehemu ya ishara ya kuondoka katika chama hicho na kurejea Chama cha Mapinduzi (CCM) wakati alipokutana na waandishi wa habari katika ukumbi wa Idara ya habari Maelezo leo jijini Dar es Salaam. Mbunge wa Viti Maalum Chadema,Leticia Nyerere akifafanua jambo kwa waandishi habari juu ya kuondoka katika chama hicho.Mwandishi akiuliza swali kwa Mbunge wa Viti Maalum Chadema,Leticia...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMbunge wa Viti Maalum Chadema,Leticia Nyerere arejea CCM.
9 years ago
VijimamboPICHA WAZIRI MKUU MSTAAFU ALIPOTANGAZA KUHAMA KUJIUNGA UKAWA MAPEMA LEO
10 years ago
GPLLETICIA NYERERE AIKACHA CHADEMA, AHAMIA CCM
9 years ago
VijimamboPICHA ZINGINE UZINDUZI WA KAMPENI CCM
11 years ago
Tanzania Daima19 Jun
Leticia Nyerere ashushuliwa
MBUNGE wa Kawe, Halima Mdee (CHADEMA), amemtaka mbunge mwenzake, Leticia Nyerere, aache ubunge na akajiunge na Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuliko kuendelea kukipigia debe chama hicho akiwa upinzani. Kauli hiyo...
9 years ago
Mtanzania28 Dec
Leticia Nyerere mahututi Marekani
*Apumulia mashine, familia yaanza kujipanga
Na Veronica Romwald, Dar es Salaam
HALI ya afya ya aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalumu kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Leticia Nyerere si nzuri.
Kwa mujibu wa chanzo chetu cha habari, Leticia amelazwa katika Hospitali ya Doctors Community iliyopo Maryland nchini Marekani.
Chanzo hicho kimeeleza kuwa mwanasiasa huyo amelazwa katika Chumba cha Wagonjwa Mahututi (ICU), ingawa haijafahamika anasumbuliwa na tatizo gani.
Tangu juzi...
11 years ago
Mwananchi10 Mar
Leticia: Nyerere, Karume wasiguswe
5 years ago
MichuziMBUNGE MWINGINE WA JIMBO LA OLE KWA TIKETI YA CUF AOMBA KUJIUNGA NA CCM
Akiwa katika Mkutano Mkuu wa CCM wa Wilaya ya Chakechake Mkoa wa Kusini Pemba Zanzibar Ndugu Humphrey Polepole amepokea maombi aya kujiunga na CCM ya Mbunge mwingine wa CUF Ndugu Juma Hamad Omari Mbunge wa Jimbo la Ole.
10 years ago
Dewji Blog22 Jul
Mbunge wa Kahama, James David Lembeli aondoka CCM na kujiunga rasmi na CHADEMA
Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kahama mkoani Shinyanga, James David Lembeli, akizungumza na waandishi wa habari Hoteli ya Blue Pearl Ubungo Dar es Salaam leo...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10