RAIS DKT. MAGUFULI AHUDHURIA MSIBA WA DADA YAKE YAKE KIJIJINI CHATO LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-dX6zfw4tLBM/XsFAViBDZhI/AAAAAAALqkE/wgkJUOP8_eYHoYVoWxeL85I4e1n_U-OLwCLcBGAsYHQ/s72-c/m1.jpeg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akitoa heshma za Mwisho katika jeneza lenye Mwili wa Marehemu Dada yake Gaudensia Felician Marko Msangwa aliyefariki Dunia leo tarehe 17 Mei 2020, Chato mkoani Geita. Marehemu anatarajiwa kuzikwa kesho Buzirayombo Chato mkoani Geita.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akitoa heshma za Mwisho katika jeneza lenye Mwili wa Marehemu Dada yake Gaudensia Felician Marko Msangwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-zOTWqsPeBOo/VngUBz5wg5I/AAAAAAAINt4/dqLwJ23ORN4/s72-c/ms14.jpg)
RAIS DKT MAGUFULI ASHIRIKI MAZISHI YA DADA YAKE RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE KIJIJINI MSOGA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-zOTWqsPeBOo/VngUBz5wg5I/AAAAAAAINt4/dqLwJ23ORN4/s640/ms14.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-IMLXm88YdEA/VngUBqCqKdI/AAAAAAAINt0/OAfg7daVnz8/s640/ms15.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-cMLjGldeRQI/VngUCPMcpoI/AAAAAAAINuA/vYzlQoMJjKk/s640/ms16.jpg)
9 years ago
Dewji Blog22 Dec
Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan ashiriki mazishi ya dada yake Rais Mstaafu Jakaya Kikwete Kijijini Msoga
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mhe. Samia Suluhu Hassan, akipokelewana Mke wa Rais Mstaafu Mama Salma Kikwete,wakati alipowasili kwenye msiba wa Dada yake na Rais Mstaafu wa awamu ya Nne Dkt. Jakaya Kikwete, jana kijini Msoga Mkoa wa Pwani. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiwafariji baadhi ya wanafamilia wa Marehemu Tausi Khalfani Kikwete, aliyekuwa Dada yake na Rais Mstaafu, Dkt. Jakaya Kikwete, kijijini...
9 years ago
Dewji Blog20 Dec
Waziri Mkuu Majaliwa ahani msiba wa dada yake Rais Mstaafu, Tausi Kikwete
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mke wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Mama Salma Kikwete wakati alipokwenda kuwapa pole wanafamilia kutokana na kifo cha dada yake Rais Mstaafu, Tausi Kikwete, Mikocheni jijini Dar es salaam Desemba 19, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na wanafamilia wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete wakati alipokwenda kuwapa pole wanafamilia kutokana na kifo cha dada yake Rais Mstaafu, Tausi...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-UCv7pRaz3Pc/VnUaA5cpRyI/AAAAAAAINWI/IQCr0YyIcS4/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-11-30%2Bat%2B3.56.53%2BPM.png)
Rais Magufuli amtumia salamu za Rambirambi Rais Kikwete kwa kufiwa na Dada yake
![](http://2.bp.blogspot.com/-UCv7pRaz3Pc/VnUaA5cpRyI/AAAAAAAINWI/IQCr0YyIcS4/s640/Screen%2BShot%2B2015-11-30%2Bat%2B3.56.53%2BPM.png)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John pombe Magufuli amemtumia salamu za rambirambi Rais Mstaafu wa awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ambaye amepatwa na msiba mzito wa kufiwa na Dada yake Mpendwa Bi. Tausi Khalfan Kikwete kilichotokea jana tarehe 17 Desemba, 2015 huko nchini India.
Katika salamu hizo, Rais Magufuli amesema anaungana na familia ya Rais Mstaafu Kikwete katika kipindi hiki kigumu cha majonzi ya kuondokewa na mtu muhimu kwa familia."Kwa masikitiko makubwa nakupa...
11 years ago
Michuzi12 Feb
TAARIFA YA MSIBA WA DADA YAKE LOVENESS MAMUYA
Watanzania tujumuike na dada yetu Loveness Mamuya, na kuhudhuria msiba wa kifo cha dada yake mpendwa MERCY MAMUYA MTUI kilichotokea leo alfajiri Tanzania. Kwa wakazi wa DMV na vitongoji vyake msiba upo nyumbani kwa Bi Loveness Mamuya. kama ilivyo mila na desturi yetu tunaomba tumfariji katika kipindi hiki kigumu cha majonzi. ADDRESS: 1005 Meandaring way Odeton MD 21113 NAMBA YA SIMU: LOVENESS MAMUYA:240-4230437 AZIZI: 301-768-9195
Mwenyezi mungu amlaze marehemu mahala pema...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-JwGM_xVqtW0/U4nyE1DcgCI/AAAAAAAFmxs/01oZp4gnvJA/s72-c/zz.jpg)
DKT. BILAL AHANI MSIBA WA BABA YAKE ROSTAM AZIZI JIJINI DAR LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-JwGM_xVqtW0/U4nyE1DcgCI/AAAAAAAFmxs/01oZp4gnvJA/s1600/zz.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-t2Sba_Y-pas/U4nyGMCI7nI/AAAAAAAFmx0/jcoujWfZD5M/s1600/zz1.jpg)
11 years ago
Dewji Blog01 Jun
Makamu wa Rais Dkt. Bilal alipohani msiba wa Baba yake Rostam Azizi Jijini Dar
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Rostam Azizi, wakati alipofika nyumbani kwake Oysterbay jijini Dar es Salaam, jana Mei 31, 2014 kwa ajili ya kumpa pole kwa kufiwa na Baba yake mzazi aliyefariki katikati ya wiki hii. (Picha na OMR).
heikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa, akitoa mawaidha wakati wa dua maalum iliyofanyika nyumbani kwa Rostam Azizi Oysterbay kumuombea Baba mzazi wa Rostam, aliyefariki katikati ya wiki...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-pd3PcLpTTU8/XsFyZ0fIxgI/AAAAAAABMHk/jupZqbAo-FIEg1mo-KlA652WY6bRZyF5gCLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpeg)
RAIS MAGUFULI AHANI MSIBA WA DADAKE WILAYANI CHATO
![](https://1.bp.blogspot.com/-pd3PcLpTTU8/XsFyZ0fIxgI/AAAAAAABMHk/jupZqbAo-FIEg1mo-KlA652WY6bRZyF5gCLcBGAsYHQ/s400/2.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZKj3fbHu_68/XsFydP_FxfI/AAAAAAABMHo/x2dVlzgdpFouUin7bGxBw0EbMGSbrgEOgCLcBGAsYHQ/s400/3.jpeg)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zCV6O6VKkHz8Iw2Xd-mUpEwmiQZ7EKq0QYi0-RKULFXNYNKAzjHdHVAapABnBGn2ZhB1SjWeh8NBlhrpw**kH3ZC5ihxnI8v/MAGUFULI.jpg)
DK. MAGUFULI AWEKA TIKI YAKE JIMBONI KWAKE CHATO