RAIS MAGUFULI AHANI MSIBA WA DADAKE WILAYANI CHATO
![](https://1.bp.blogspot.com/-pd3PcLpTTU8/XsFyZ0fIxgI/AAAAAAABMHk/jupZqbAo-FIEg1mo-KlA652WY6bRZyF5gCLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpeg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akitoa heshima za Mwisho katika jeneza lenye Mwili wa Marehemu Dada yake Gaudensia Felician Marko Msangwa aliyefariki Dunia leo tarehe 17 Mei 2020, Chato mkoani Geita. Marehemu anatarajiwa kuzikwa kesho Buzirayombo Chato mkoani Geita.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiondoka msibani katika mtaa wa Msilale Chato mkoani Geita mara baada ya kuaga mwili wa Marehemu Dada yake...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dX6zfw4tLBM/XsFAViBDZhI/AAAAAAALqkE/wgkJUOP8_eYHoYVoWxeL85I4e1n_U-OLwCLcBGAsYHQ/s72-c/m1.jpeg)
RAIS DKT. MAGUFULI AHUDHURIA MSIBA WA DADA YAKE YAKE KIJIJINI CHATO LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-dX6zfw4tLBM/XsFAViBDZhI/AAAAAAALqkE/wgkJUOP8_eYHoYVoWxeL85I4e1n_U-OLwCLcBGAsYHQ/s1600/m1.jpeg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akitoa heshma za Mwisho katika jeneza lenye Mwili wa Marehemu Dada yake Gaudensia Felician Marko Msangwa aliyefariki Dunia leo tarehe 17 Mei 2020, Chato mkoani Geita. Marehemu anatarajiwa kuzikwa kesho Buzirayombo Chato mkoani Geita.
![](https://1.bp.blogspot.com/-n292POPsI1E/XsFAXpPoBlI/AAAAAAALqkI/MD_qJVX0vgQXDWPv5JGLVURcsbLrYzprQCLcBGAsYHQ/s1600/m2.jpeg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akitoa heshma za Mwisho katika jeneza lenye Mwili wa Marehemu Dada yake Gaudensia Felician Marko Msangwa...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Hb0ZorDlcEQ/VhH6VL6vWZI/AAAAAAADAPw/S36MPp2EIOQ/s72-c/_MG_2406.jpg)
MAGUFULI AHANI MSIBA WA MDOGO WAKE FATHER CHARLES KITIMA
![????????????????????????????????????](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/10/76.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Hb0ZorDlcEQ/VhH6VL6vWZI/AAAAAAADAPw/S36MPp2EIOQ/s640/_MG_2406.jpg)
![????????????????????????????????????](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/10/86.jpg)
Mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akisalimiana na wana familia wa Fadher Charles Kitima wakati akihani msiba huo hapo jana.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Pxoan8odKh0/Vf-xjOxRQYI/AAAAAAAH6cs/eZ-FnUYcFwU/s72-c/_MG_8365.jpg)
MAGUFULI AHANI MSIBA WA ALIYEKUWA MGOMBEA UDIWANI KATA YA MULEBA MKOANI KAGERA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Pxoan8odKh0/Vf-xjOxRQYI/AAAAAAAH6cs/eZ-FnUYcFwU/s640/_MG_8365.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5lwNq7wTZ14/Vf-xkbveSFI/AAAAAAAH6c0/qyDG2kG2VSM/s640/_MG_8375.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-GJR15TzOjjw/Vf-xeN7RViI/AAAAAAAH6cQ/zdSXrgCPWWg/s640/_MG_8336.jpg)
10 years ago
Dewji Blog30 Dec
Rais Kikwete ahani msiba wa Sheikh Ali Mzee Komorian Kariakoo, Dar
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiifariji familia ya Marehemu Sheikh Ali Mzee alipokwenda kuhani msiba huo jana Jumapili Desemba 29, 2014. Marehemu Sheikh Komorian alifariki Jumamosi Desemba 28, 2014 na kuzikwa Jumapili Desemba 29, 2014.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akishiriki katika dua na familia ya Marehemu Sheikh Ali Mzee alipokwenda kuhani msiba huo Jumapili Desemba 29, 2014. Marehemu Sheikh Komorian alifariki juzi Jumamosi Desemba 28, 2014 na kuzikwa Jumapili Desemba 29, 2014.
Rais...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tvYU7b4yNXU/U7MWeRAypZI/AAAAAAAFuEU/nPZpKs_0scQ/s72-c/unnamed+(17).jpg)
Magufuli ameendeleza wimbi la kuzoa wanachama wapya wilayani chato
![](http://2.bp.blogspot.com/-tvYU7b4yNXU/U7MWeRAypZI/AAAAAAAFuEU/nPZpKs_0scQ/s1600/unnamed+(17).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-d2tauAu-aG0/U7MWeeH3ykI/AAAAAAAFuEc/SR4UxLRVOdo/s1600/unnamed+(18).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-z6CkW7v6yvA/U7MWeq2U1pI/AAAAAAAFuEY/XSwEKJR6QyQ/s1600/unnamed+(19).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-m7rhyFe9GDw/VKJzhE-qVAI/AAAAAAADTZM/6TEZHQSzOdk/s72-c/ko1.jpg)
RAIS KIKWETE AHANI MSIBA WA SHEIKH ALI MZEE KOMORIAN KARIAKOO, DAR ES SALAAM
![](http://4.bp.blogspot.com/-m7rhyFe9GDw/VKJzhE-qVAI/AAAAAAADTZM/6TEZHQSzOdk/s1600/ko1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9KK8IOvon9k/VKJzhO6UNFI/AAAAAAADTZE/e1XBRofeZzc/s1600/ko2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-JTHieE0-Rxk/VKJzgxDfTII/AAAAAAADTZA/8SH0nBurojw/s1600/ko3.jpg)
11 years ago
Dewji Blog29 May
Makamu wa Rais Dkt. Bilal ahani msiba wa Mke wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisaini kitabu cha maombolezo ya kifo cha mke wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Uchumi, Dkt. Servacius Likwelil, wakati alipofika kumfariji Katibu huyo nyumbani kwake Boko Jijini Dar es Salaam, jana jioni. Mazishi yanatarajia kufanyika leo jioni kwenye Makaburi ya Kinondoni. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akijumuika na waombolezaji katika...
9 years ago
Dewji Blog20 Dec
Waziri Mkuu Majaliwa ahani msiba wa dada yake Rais Mstaafu, Tausi Kikwete
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mke wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Mama Salma Kikwete wakati alipokwenda kuwapa pole wanafamilia kutokana na kifo cha dada yake Rais Mstaafu, Tausi Kikwete, Mikocheni jijini Dar es salaam Desemba 19, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na wanafamilia wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete wakati alipokwenda kuwapa pole wanafamilia kutokana na kifo cha dada yake Rais Mstaafu, Tausi...
10 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-GgLU7dnzPto/Va0Pu3sHDUI/AAAAAAAC81w/kJ7avus_Nnw/s640/_MG_8966.jpg)
MAGUFULI AZOA WANACHAMA WAPYA MJI MDOGO WA MUGANZA WILAYANI CHATO, GEITA
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10