MAGUFULI AHANI MSIBA WA ALIYEKUWA MGOMBEA UDIWANI KATA YA MULEBA MKOANI KAGERA

Picha ya aliyekuwa Mgombea wa Udiwani kata ya Muleba kwa tiketi ya chama cha CCM,enzi za uhai wake,aliyefarika jana kwa ajali ya Piki Piki
Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akitoa maneno ya pole kwa ndugu jamaa na marafiki leo asubuhi nyumbani kwa aliyekuwa Mgombea Udiwani wa Kata ya Muleba,Marehemu Osward Peter Rwakabwa katika kijiji cha Kagabilo,Muleba mkoani Kagera.
Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akiwasili kutoa pole nyumbani kwa aliyekuwa Mgombea Udiwani wa Kata...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
MKUTANO WA LOWASSA MJINI MULEBA, MKOANI KAGERA LEO


10 years ago
Mwananchi15 Sep
Mgombea udiwani Kata ya Uyole CCM afariki ghafla
10 years ago
Vijimambo
YALIYOJIRI KATIKA MKUTANO WA LOWASSA MJINI MULEBA, MKOANI KAGERA



10 years ago
Michuzi
VIPAUMBELE VYA MGOMBEA UDIWANI KATA YA MTONI - GODFREY BENJAMIN

KERO ZINAZOKABILI KATA YA MTONIØ Huduma hafifu za afya.Ø Viwanja vingi vya michezo kuingiliwa.Ø Ukusanyaji wa kodi usioridhisha katika masoko na sehemu husika.Ø Uchafu ( mitaa na maji taka).Ø Miundombinu isiyoridhisha ( barabara, mitaa, majengo ya shule zetu)Ø Ajira.Ø Ugumu wa upatikanaji mikopo hasa kwa watu wasio na ajira rasmi na dhamana ( vijana na wanawake).Ø Kutothamini vipaji haswa za vijana na watoto.Ø Ushirikishwaji hafifu wa...
5 years ago
CCM Blog
RAIS MAGUFULI AHANI MSIBA WA DADAKE WILAYANI CHATO


10 years ago
Vijimambo
LOWASSA AHANI MSIBA WA MZEE KISUMO, KIJIJINI KWAKE USANGI, MKOANI KILIMANJARO



10 years ago
Michuzi
MAGUFULI AHANI MSIBA WA MDOGO WAKE FATHER CHARLES KITIMA



Mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akisalimiana na wana familia wa Fadher Charles Kitima wakati akihani msiba huo hapo jana.
10 years ago
GPLMGOMBEA UDIWANI KATA YA MBAGALA KUU (CCM) YUSUF MANJI AZINDUA KAMPENI ZAKE