MAGUFULI AHANI MSIBA WA MDOGO WAKE FATHER CHARLES KITIMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Hb0ZorDlcEQ/VhH6VL6vWZI/AAAAAAADAPw/S36MPp2EIOQ/s72-c/_MG_2406.jpg)
Mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akitoa heshima zake katika kaburi la mdogo wake na Fadher Charles Kitima hapo jana katika kijiji cha Siuyu Singida Mashariki wakati alipohani msiba katika familia hiyo jimboni humo.
Mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akisalimiana na wana familia wa Fadher Charles Kitima wakati akihani msiba huo hapo jana.
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-pd3PcLpTTU8/XsFyZ0fIxgI/AAAAAAABMHk/jupZqbAo-FIEg1mo-KlA652WY6bRZyF5gCLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpeg)
RAIS MAGUFULI AHANI MSIBA WA DADAKE WILAYANI CHATO
![](https://1.bp.blogspot.com/-pd3PcLpTTU8/XsFyZ0fIxgI/AAAAAAABMHk/jupZqbAo-FIEg1mo-KlA652WY6bRZyF5gCLcBGAsYHQ/s400/2.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZKj3fbHu_68/XsFydP_FxfI/AAAAAAABMHo/x2dVlzgdpFouUin7bGxBw0EbMGSbrgEOgCLcBGAsYHQ/s400/3.jpeg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Pxoan8odKh0/Vf-xjOxRQYI/AAAAAAAH6cs/eZ-FnUYcFwU/s72-c/_MG_8365.jpg)
MAGUFULI AHANI MSIBA WA ALIYEKUWA MGOMBEA UDIWANI KATA YA MULEBA MKOANI KAGERA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Pxoan8odKh0/Vf-xjOxRQYI/AAAAAAAH6cs/eZ-FnUYcFwU/s640/_MG_8365.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5lwNq7wTZ14/Vf-xkbveSFI/AAAAAAAH6c0/qyDG2kG2VSM/s640/_MG_8375.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-GJR15TzOjjw/Vf-xeN7RViI/AAAAAAAH6cQ/zdSXrgCPWWg/s640/_MG_8336.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XOPcP3wzQ8g/VEYZ2Xytr3I/AAAAAAAGsIc/otP9N3qQdLw/s72-c/unnamed%2B(5).jpg)
Update ya msiba wa MAREHEMU REHEMA RAMADHANI BARAKA, mdogo wake mwenyekiti wa ASET BARAKA MSIILWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-XOPcP3wzQ8g/VEYZ2Xytr3I/AAAAAAAGsIc/otP9N3qQdLw/s1600/unnamed%2B(5).jpg)
Ifuatayo ni update ya msiba wa mdogo wake Mwenyekiti wa African Stars Entertainment (ASET) Baraka Msiilwa, Marehemu Furaha Ramadhani Baraka, kilichotokea wikiendi iliyopita huko Ubelgiji.
Taarifa ni kwamba mwili wa Marehemu mdogo wetu Furaha unaondoka Brussels kesho usiku kwenda Zurich. Utalala Zuruch na kusafirishwa Jumatano Asubuhi kwa ndege ya shirika la Swiss Air, na unatarajiwa kuwasili Dar es salaam siku hiyo hiyo ya Jumatano mnamo saa mbili usiku
Mazishi yamepangwa kufanyika siku ya...
10 years ago
Habarileo27 Jan
Kikwete ahani msiba wa Mfalme Saudi Arabia
RAIS Jakaya Kikwete amehani kifo cha Mfalme Abdullah bin Abdul Aziz al Saud wa Saudi Arabia, aliyefariki Alhamisi na kuzikwa Ijumaa ya wiki iliyopita.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-txid3jp89QE/U01xoXGYfCI/AAAAAAAFbCc/pdn8rdYLbCk/s72-c/g1.jpg)
JUST IN: JK AHANI MSIBA WA MUHIDIN MAALIM GURUMO JIONI HII
![](http://3.bp.blogspot.com/-txid3jp89QE/U01xoXGYfCI/AAAAAAAFbCc/pdn8rdYLbCk/s1600/g1.jpg)
Marehemu Gurumo, aliyefariki dunia juzi katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwa matatizo ya moyo, atakumbukwa kama Baba wa Muziki wa dansi nchini akianzia miaka ya 1960 na bendi mbalimbali ikiwemo NUTA Jazz na kumalizia...
10 years ago
MichuziMH. MIZENGO PINDA AHANI MSIBA WA CHIFU ABDU MKWAWA
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Chief wa Wahehe,Mtwa Adam Mkwawa wa II wakati alipokwenda nyumbani kwa Chifu huyo, Kalenga Iringa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4MXCALxsrL2IM1jk8sT0qOCFLAi5AEDcNKXp1rG26CxMGBMA5DC4qDH3R3HzWhA4J78MFZ57ZCir91yrvYQMZ5PZ74gTsoFK/g1.jpg?width=650)
JK AHANI MSIBA WA MUHIDIN MAALIM GURUMO JIONI YA JANA
11 years ago
MichuziMh. Lowassa ahani Msiba wa Mkurugenzi wa zamani wa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli