Kikwete ahani msiba wa Mfalme Saudi Arabia
RAIS Jakaya Kikwete amehani kifo cha Mfalme Abdullah bin Abdul Aziz al Saud wa Saudi Arabia, aliyefariki Alhamisi na kuzikwa Ijumaa ya wiki iliyopita.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-o5WYUnYrxJM/VMZ_IgwyZoI/AAAAAAACWSw/WjmuCjnaJYM/s72-c/jk1.jpg)
RAIS KIKWETE AHANI MSIBA WA MFALME WA SAUDI ARABIA, AWASILI BERLIN, UJERUMANI, KWA ZIARA YA KIKAZI
![](http://4.bp.blogspot.com/-o5WYUnYrxJM/VMZ_IgwyZoI/AAAAAAACWSw/WjmuCjnaJYM/s640/jk1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-LOVJApbTy7k/VMZ_FHFDbdI/AAAAAAACWSo/7IcpYiHp2hc/s640/jk4.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-6HrNDZH7GRs/VMVndx6iYqI/AAAAAAAAbbM/uArX9ylEzQ4/s72-c/jk2.jpg)
Rais Kikwete awasili Saudi Arabia kuhani msiba wa Mfalme
![](http://1.bp.blogspot.com/-6HrNDZH7GRs/VMVndx6iYqI/AAAAAAAAbbM/uArX9ylEzQ4/s640/jk2.jpg)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili mjini Riyadh, Saudi Arabia,asubuhi ya Jumapili, Januari 25, 2015, kuhani kifo cha Mfalme...
10 years ago
Dewji Blog25 Jan
Rais Kikwete aelekea Saudi Arabia kuhani kifo cha Mfalme Abdullah bin Abdul Aziz al Saud
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete (pichani) amekwenda Saudi Arabia asubuhi ya leo, Jumapili, Januari 25, 2015, kuhani kifo cha Mfalme Abdullah bin Abdul Aziz al Saud aliyefariki Alhamisi na kuzikwa Ijumaa ya wiki iliyopita.
Baada ya kuhani msiba wa Mfalme Abdullah, Rais Kikwete ataendelea na safari yake kwenda nchi za Ujerumani na Ufaransa kwa ziara za kikazi.
Mjini Berlin, Ujerumani ambako Rais Kikwete alitarajiwa kuwasili kesho, Jumatatu, Januari...
10 years ago
Mtanzania24 Jan
Mfalme wa Saudi Arabia afariki dunia
RIYADH, Saudi Arabia
MFALME wa Saudi Arabia, Abdullah bin Abdul-Aziz Al Saud (90), amefariki dunia jana na cheo chake kurithiwa mara moja na mdogo wake, Salman (79).
Kwa mujibu wa Shirika la Habari la DW, Ofisi ya Kifalme haijataja sababu ya kifo cha Mfalme Abdullah, lakini habari zaidi zinadai kuwa kiongozi huyo alilazwa hospitali tangu Desemba mwaka jana kutokana na kusumbuliwa na homa ya mapafu ambapo kwa muda wote tangu akiwa hospitali alipumua kwa msaada wa mashine.
Mfalme Abdullah bin...
10 years ago
BBCSwahili23 Jan
Buriani kwa mfalme wa Saudi Arabia
10 years ago
Mwananchi28 Jan
Mfalme amekufa, wapi inaelekea Saudi Arabia?
10 years ago
Vijimambo28 Jan
Obama akutana na mfalme mpya wa Saudi Arabia
![](http://gdb.voanews.com/1B3B539C-0137-40F8-982C-9C9560AF04B7_w640_r1_s.jpg)
![](http://gdb.voanews.com/F72C5557-F7AA-4D5E-9683-0EA7FACDCB87_w640_r1_s.jpg)
Rais wa Marekani, Barack Obama alisafiri kwenda Saudi Arabia jumanne kutoa heshima zake kufuatia kifo cha wiki iliyopita cha mfalme Abdullah wa nchi hiyo aliyekuwa na umri wa miaka 90.
Bwana Obama alisimama muda mfupi katika mji mkuu Riyadh, huku akiongoza ujumbe wa watu 30 ambao ulijumuisha maafisa na wabunge pamoja na maafisa...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-lXU3_AO7ElY/VMVJ5vcieoI/AAAAAAAEXzQ/i8c2fgv4HWA/s72-c/a.jpg)
Tazama picha ya mfalme wa Saudi Arabia aliyefariki akiwa na wake zake 30.
![](http://2.bp.blogspot.com/-lXU3_AO7ElY/VMVJ5vcieoI/AAAAAAAEXzQ/i8c2fgv4HWA/s640/a.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/--UJPmQxiZlU/VMLNTa6VcgI/AAAAAAAG_O4/_yYwzC-w1bo/s72-c/download.jpg)
JK AOMBOLEZA KIFO CHA Mfalme Abdullah bin Abdul Aziz al Saud wa saudi Arabia
![](http://1.bp.blogspot.com/--UJPmQxiZlU/VMLNTa6VcgI/AAAAAAAG_O4/_yYwzC-w1bo/s1600/download.jpg)
Mfalme Abdullah bin Abdul Aziz al Saud (90) ambaye alifariki jana, Alhamisi, Januari 22, 2015, na kuzikwa leo, Ijumaa, Januari 23, 2015 mjini Riyadh.Katika salamu zake kwa Mfalme mpya, Mfalme Salman bin Abdul Aziz al Saud, Rais Kikwete amesema kuwa anaungana na wananchi wa Saudi Arabia na dunia nzima kuomboleza kifo cha kiongozi aliyetoa mchango mkubwa...