Rais Kikwete awasili Saudi Arabia kuhani msiba wa Mfalme
![](http://1.bp.blogspot.com/-6HrNDZH7GRs/VMVndx6iYqI/AAAAAAAAbbM/uArX9ylEzQ4/s72-c/jk2.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili katika Uwanja wa Ndege wan Kijeshi mjini Riyadh, Saudi Arabia, asubuhi ya Jumapili, Januari 25, kuhani kifo cha Mfalme Abdullah bin Abdul Aziz al Saud aliyefariki Alhamisi na kuzikwa Ijumaa ya wiki iliyopita.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili mjini Riyadh, Saudi Arabia,asubuhi ya Jumapili, Januari 25, 2015, kuhani kifo cha Mfalme...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-o5WYUnYrxJM/VMZ_IgwyZoI/AAAAAAACWSw/WjmuCjnaJYM/s72-c/jk1.jpg)
RAIS KIKWETE AHANI MSIBA WA MFALME WA SAUDI ARABIA, AWASILI BERLIN, UJERUMANI, KWA ZIARA YA KIKAZI
![](http://4.bp.blogspot.com/-o5WYUnYrxJM/VMZ_IgwyZoI/AAAAAAACWSw/WjmuCjnaJYM/s640/jk1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-LOVJApbTy7k/VMZ_FHFDbdI/AAAAAAACWSo/7IcpYiHp2hc/s640/jk4.jpg)
10 years ago
Dewji Blog25 Jan
Rais Kikwete aelekea Saudi Arabia kuhani kifo cha Mfalme Abdullah bin Abdul Aziz al Saud
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete (pichani) amekwenda Saudi Arabia asubuhi ya leo, Jumapili, Januari 25, 2015, kuhani kifo cha Mfalme Abdullah bin Abdul Aziz al Saud aliyefariki Alhamisi na kuzikwa Ijumaa ya wiki iliyopita.
Baada ya kuhani msiba wa Mfalme Abdullah, Rais Kikwete ataendelea na safari yake kwenda nchi za Ujerumani na Ufaransa kwa ziara za kikazi.
Mjini Berlin, Ujerumani ambako Rais Kikwete alitarajiwa kuwasili kesho, Jumatatu, Januari...
10 years ago
Habarileo27 Jan
Kikwete ahani msiba wa Mfalme Saudi Arabia
RAIS Jakaya Kikwete amehani kifo cha Mfalme Abdullah bin Abdul Aziz al Saud wa Saudi Arabia, aliyefariki Alhamisi na kuzikwa Ijumaa ya wiki iliyopita.
10 years ago
Mtanzania24 Jan
Mfalme wa Saudi Arabia afariki dunia
RIYADH, Saudi Arabia
MFALME wa Saudi Arabia, Abdullah bin Abdul-Aziz Al Saud (90), amefariki dunia jana na cheo chake kurithiwa mara moja na mdogo wake, Salman (79).
Kwa mujibu wa Shirika la Habari la DW, Ofisi ya Kifalme haijataja sababu ya kifo cha Mfalme Abdullah, lakini habari zaidi zinadai kuwa kiongozi huyo alilazwa hospitali tangu Desemba mwaka jana kutokana na kusumbuliwa na homa ya mapafu ambapo kwa muda wote tangu akiwa hospitali alipumua kwa msaada wa mashine.
Mfalme Abdullah bin...
10 years ago
BBCSwahili23 Jan
Buriani kwa mfalme wa Saudi Arabia
10 years ago
Habarileo24 Jan
Rais Kikwete atuma rambirambi Saudi Arabia
RAIS Jakaya Kikwete ameitumia Saudi Arabia salamu za rambirambi, kuomboleza kifo cha Mfalme Abdullah bin Abdul Aziz al Saud (90) aliyefariki juzi na kuzikwa jana mjini Riyadh.
10 years ago
Mwananchi28 Jan
Mfalme amekufa, wapi inaelekea Saudi Arabia?
10 years ago
Vijimambo28 Jan
Obama akutana na mfalme mpya wa Saudi Arabia
![](http://gdb.voanews.com/1B3B539C-0137-40F8-982C-9C9560AF04B7_w640_r1_s.jpg)
![](http://gdb.voanews.com/F72C5557-F7AA-4D5E-9683-0EA7FACDCB87_w640_r1_s.jpg)
Rais wa Marekani, Barack Obama alisafiri kwenda Saudi Arabia jumanne kutoa heshima zake kufuatia kifo cha wiki iliyopita cha mfalme Abdullah wa nchi hiyo aliyekuwa na umri wa miaka 90.
Bwana Obama alisimama muda mfupi katika mji mkuu Riyadh, huku akiongoza ujumbe wa watu 30 ambao ulijumuisha maafisa na wabunge pamoja na maafisa...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-58OK4lG9_Zo/VfWP-e-VTMI/AAAAAAAAh-w/ButtTOrIcF4/s72-c/Salman_bin_Abdull_aziz.jpg)
RAIS KIKWETE ATOA POLE WA FALME ZA SAUDI ARABIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-58OK4lG9_Zo/VfWP-e-VTMI/AAAAAAAAh-w/ButtTOrIcF4/s320/Salman_bin_Abdull_aziz.jpg)
PRESS RELEASE H.E. Jakaya Mrisho Kikwete, President of the United Republic of Tanzania has sent a sympathy and condolences massage to H.R. H. Salman bin Abdulaziz Al Saud, King of the Kingdom Saudi Arabia on great sadness the death of 107 pilgrims and more than 200 others injured due to collapse of construction crane at the Holy Mosque in Makka, Saudi Arabia on 11th September 2015.The massage reads as follows:“His Royal Highness...