Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Update ya msiba wa MAREHEMU REHEMA RAMADHANI BARAKA, mdogo wake mwenyekiti wa ASET BARAKA MSIILWA


Ifuatayo ni update ya msiba wa mdogo wake Mwenyekiti wa African Stars Entertainment (ASET) Baraka Msiilwa, Marehemu Furaha Ramadhani Baraka, kilichotokea wikiendi iliyopita huko Ubelgiji.

Taarifa ni kwamba mwili wa Marehemu mdogo wetu Furaha unaondoka Brussels kesho  usiku kwenda Zurich. Utalala Zuruch na kusafirishwa Jumatano Asubuhi kwa ndege ya shirika la Swiss Air, na unatarajiwa kuwasili Dar es salaam siku  hiyo hiyo ya Jumatano mnamo saa mbili usiku
Mazishi yamepangwa kufanyika siku ya...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

UP DATES ZA MSIBA WA MPIGANAJI BARAKA KARASHANI

Habari wadau, naomba kuwajulisha kuwa mazishi ya aliyekuwa mwanachama mwenzetu wa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA), Baraka Karashani, aliyefariki jana, yatafanyika kesho alasiri katika makaburi ya Sinza, Dar es Salaam. 
Tunaomba tushirikiane katika kuhifadhi mwili wa mpendwa wetu, ambapo sekreterieti ya TASWA imemteua Majuto Omary ambaye ni Mwenyekiti wa TASWA FC, Mwani Nyangassa ambaye ni Mjumbe wa Kamati ya Utendaji na Zena Chande Mhazini Msaidizi kusimamia...

 

10 years ago

Michuzi

WENGI WAJITOKEZA MAZISHI YA MWANDISHI WA HABARI ZA MICHEZO, MAREHEMU BARAKA KARASHANI LEO

 Mwili wa Mwandishi wa Habari marehemu Baraka Karashani ukiwasili katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam. (Picha na Francis Dande) Mke wa Marehemu, Baraka Karashani, Gloria na watoto wake Bonny na Belinda wakiweka shada la maua katika kaburi wakati wa mazishi yaliyofanyika kwenye makaburi ya Kinondoni jijini Dar es SalaamMzee Phili Karashani akitoa neno la shukrani wakati wa mazishi ya mtoti wake Baraka Karashani. Mtoto wa marehemu, Baraka Karashani akiwa ameshika picha ya...

 

9 years ago

Michuzi

MAGUFULI AHANI MSIBA WA MDOGO WAKE FATHER CHARLES KITIMA

????????????????????????????????????Mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akitoa heshima zake katika kaburi la mdogo wake na Fadher Charles Kitima hapo jana katika kijiji cha Siuyu Singida Mashariki wakati alipohani msiba katika familia hiyo jimboni humo.  ????????????????????????????????????
Mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akisalimiana na wana familia wa Fadher Charles Kitima wakati akihani msiba huo hapo jana.

 

10 years ago

GPL

MWENYEKITI WA PROIN, JOHNSON LUKAZA NA MDOGO WAKE WASHINDA KESI YA EPA

Mwenyekiti wa Makampuni ya Proin, Johnson Lukaza. HATIMAYE Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, imewachia huru Mwenyekiti wa Makampuni ya Proin, Johnson Lukaza na mdogo wake Mwesiga Lukaza waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya wizi wa shilingi bilioni sita katika Akaunti ya Madeni ya Nje ya Benki Kuu (EPA), baada ya kuwaona hawana hatia. Hukumu hiyo Imetolewa na Jaji wa Mahakama Kuu, Edson Mkasimongwa aliyekuwa akisaidiana...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Baraka na laana — 2

ZIMWI likujualo halikuli likakwisha. Pia upo msemo usemao kuuma na kupulizia. Misemo yote hii haina mwisho mzuri. Niseme balaa na laana huandamana navyo na havileti matumaini ya utukufu wa Mwenyezi Mungu....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Baraka na laana

WANADAMU wote naamini tunaishi katika kivuli cha Mwenyezi Mungu wa kweli kilichojaa baraka tele zenye imani kamili ya upendo. Baraka maana yake ni mambo mema kwa jumla, heri, neema na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani