UP DATES ZA MSIBA WA MPIGANAJI BARAKA KARASHANI
Habari wadau, naomba kuwajulisha kuwa mazishi ya aliyekuwa mwanachama mwenzetu wa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA), Baraka Karashani, aliyefariki jana, yatafanyika kesho alasiri katika makaburi ya Sinza, Dar es Salaam.
Tunaomba tushirikiane katika kuhifadhi mwili wa mpendwa wetu, ambapo sekreterieti ya TASWA imemteua Majuto Omary ambaye ni Mwenyekiti wa TASWA FC, Mwani Nyangassa ambaye ni Mjumbe wa Kamati ya Utendaji na Zena Chande Mhazini Msaidizi kusimamia...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi19 Nov
mdau Baraka Karashani afariki dunia
Hilo ni pigo kwa waandishi wa habari za michezo na wanamichezo kwa ujumla, maana wote wameondoka wakati bado mchango wao...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XOPcP3wzQ8g/VEYZ2Xytr3I/AAAAAAAGsIc/otP9N3qQdLw/s72-c/unnamed%2B(5).jpg)
Update ya msiba wa MAREHEMU REHEMA RAMADHANI BARAKA, mdogo wake mwenyekiti wa ASET BARAKA MSIILWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-XOPcP3wzQ8g/VEYZ2Xytr3I/AAAAAAAGsIc/otP9N3qQdLw/s1600/unnamed%2B(5).jpg)
Ifuatayo ni update ya msiba wa mdogo wake Mwenyekiti wa African Stars Entertainment (ASET) Baraka Msiilwa, Marehemu Furaha Ramadhani Baraka, kilichotokea wikiendi iliyopita huko Ubelgiji.
Taarifa ni kwamba mwili wa Marehemu mdogo wetu Furaha unaondoka Brussels kesho usiku kwenda Zurich. Utalala Zuruch na kusafirishwa Jumatano Asubuhi kwa ndege ya shirika la Swiss Air, na unatarajiwa kuwasili Dar es salaam siku hiyo hiyo ya Jumatano mnamo saa mbili usiku
Mazishi yamepangwa kufanyika siku ya...
10 years ago
MichuziWENGI WAJITOKEZA MAZISHI YA MWANDISHI WA HABARI ZA MICHEZO, MAREHEMU BARAKA KARASHANI LEO
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4tVVZIywkLs/VRALu-lD4QI/AAAAAAAHMag/BAFPsYg4ZaA/s72-c/unnamed%2B(32).jpg)
LEO NI HEPI BESDEI YA KUZALIWA MPIGANAJI MAULID BARAKA WAA KITENGE WA EFM
![](http://2.bp.blogspot.com/-4tVVZIywkLs/VRALu-lD4QI/AAAAAAAHMag/BAFPsYg4ZaA/s1600/unnamed%2B(32).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XGPUELD8rRc/Vaj7E4R03hI/AAAAAAAHqPg/9bHTVbqnxJ8/s72-c/20150717055204.jpg)
UP DATES: MSIBA WA BANZA STONE NYUMBANI KWAO SINZA JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-XGPUELD8rRc/Vaj7E4R03hI/AAAAAAAHqPg/9bHTVbqnxJ8/s640/20150717055204.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-1alDyW0Btnw/Vaj7E4R0cSI/AAAAAAAHqPk/BEaGxxny6ww/s640/20150717055203.jpg)
Mawasiliano yakiendelea kupeana taarifa na ndugu wengine.
![](http://3.bp.blogspot.com/-AN2gae_650o/Vaj7FAxpV1I/AAAAAAAHqPs/Dc0ubGe0hq0/s640/20150717055205.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima22 Nov
Munyuku, Karashani kuzikwa leo
WAANDISHI wa Habari, Innocent Munyuku (New Habari -2006 Ltd) na Baraka Karashani (mwandishi wa kujitegemea) watazikwa leo kwa nyakati tofauti jijini Dar es Salaam na Mkoani Morogoro. Munyuku alifariki dunia...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1FZQqMVDQYU/XrlRlwC5GnI/AAAAAAALpy4/s1DRks4Z4G091BW_nFd-xcmKVar5FlV_gCLcBGAsYHQ/s72-c/Karashani6.jpg)
Mbuyu wa Uandishi, Fili Karashani, Umeanguka
![](https://1.bp.blogspot.com/-1FZQqMVDQYU/XrlRlwC5GnI/AAAAAAALpy4/s1DRks4Z4G091BW_nFd-xcmKVar5FlV_gCLcBGAsYHQ/s640/Karashani6.jpg)
Alikuwa amelazwa Muhimbili kwa matatizo ya moyo ambayo yamekuwa yakimsumbua kwa muda wa miaka kadhaa.Saa sita baadaye, saa kumi na mbili na...
10 years ago
AllAfrica.Com20 Nov
Sports Fraternity to Miss Munyuku, Karashani
AllAfrica.com
TANZANIA Sports Writers Association (TASWA) on Wednesday got a big blow following the death of its member Baraka Karashani and another vibrant sports writer Innocent Munyuku, who both passed away in Dar es Salaam. According to TASWA Secretary ...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-NefYiu42lUw/VYcyC2AKTkI/AAAAAAAHiPU/LpOGIUxkdUU/s72-c/unnamed%2B%252848%2529.jpg)
MEMBE AHUDHURIA MSIBA WA MTOTO WA JENERALI MSUGURI NA KUHANI MSIBA WA JOHN NYERERE BUTIAMA MKOANI MARA
![](http://3.bp.blogspot.com/-NefYiu42lUw/VYcyC2AKTkI/AAAAAAAHiPU/LpOGIUxkdUU/s640/unnamed%2B%252848%2529.jpg)