Mbuyu wa Uandishi, Fili Karashani, Umeanguka
![](https://1.bp.blogspot.com/-1FZQqMVDQYU/XrlRlwC5GnI/AAAAAAALpy4/s1DRks4Z4G091BW_nFd-xcmKVar5FlV_gCLcBGAsYHQ/s72-c/Karashani6.jpg)
Na Kajubi Mukajanga SAA sita na dakika ishirini na moja mchana wa Jumapili, Mei 10, 2020 nilizungumza na Kagina Karashani kuhusu maendeleo ya matibabu ya baba yake, Fili, na mipango ya kumtembelea hospitali katika mazingira ya homa kali ya mapafu (Covid-19) yaliyofanya uongozi wa Hospitali ya Muhimbili (MNH) kuamua awe anaonwa na mtu mmoja tu kwa siku!.
Alikuwa amelazwa Muhimbili kwa matatizo ya moyo ambayo yamekuwa yakimsumbua kwa muda wa miaka kadhaa.Saa sita baadaye, saa kumi na mbili na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi23 Oct
Uandishi usio uandishi wa habari
11 years ago
Mwananchi10 Dec
‘Alikuwa kama mbuyu’
10 years ago
VijimamboMbuyu Mnene Kisauni kuishnehi
11 years ago
Tanzania Daima27 Apr
Dodoma kuna mzimu au mbuyu?
WATU wengi wa Zanzibar wanajiuliza, hivi kule Dodoma kuna nini… mzimu au mbuyu ambao huwabadilisha mawazo baadhi ya Wazanzibari? Wapo wanaosema kama ni mzimu basi ni wenye nguvu isiyoelezeka. Vilevile, ...
10 years ago
Tanzania Daima22 Nov
Munyuku, Karashani kuzikwa leo
WAANDISHI wa Habari, Innocent Munyuku (New Habari -2006 Ltd) na Baraka Karashani (mwandishi wa kujitegemea) watazikwa leo kwa nyakati tofauti jijini Dar es Salaam na Mkoani Morogoro. Munyuku alifariki dunia...
10 years ago
AllAfrica.Com20 Nov
Sports Fraternity to Miss Munyuku, Karashani
AllAfrica.com
TANZANIA Sports Writers Association (TASWA) on Wednesday got a big blow following the death of its member Baraka Karashani and another vibrant sports writer Innocent Munyuku, who both passed away in Dar es Salaam. According to TASWA Secretary ...
10 years ago
Michuzi19 Nov
mdau Baraka Karashani afariki dunia
Hilo ni pigo kwa waandishi wa habari za michezo na wanamichezo kwa ujumla, maana wote wameondoka wakati bado mchango wao...
10 years ago
Michuzi20 Nov
UP DATES ZA MSIBA WA MPIGANAJI BARAKA KARASHANI
Tunaomba tushirikiane katika kuhifadhi mwili wa mpendwa wetu, ambapo sekreterieti ya TASWA imemteua Majuto Omary ambaye ni Mwenyekiti wa TASWA FC, Mwani Nyangassa ambaye ni Mjumbe wa Kamati ya Utendaji na Zena Chande Mhazini Msaidizi kusimamia...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/bjzSTR4B_cA/default.jpg)