Mbuyu Mnene Kisauni kuishnehi
Mbuyu mnene kuliko yote Zanzibar uliko katika eneo la kisauni ambao ulikuwa historia kwa wageni na wapita njia katika barabara iendayo fumba ukikatwa kupisha ujenzi wa uzio wa uwanja wa ndege na kutowa nafasi kwa ndege zinazotuwa katika uwanja huu. Kama unavyoonekana pichani ukiwa katika hatua za mwisho ya ukataji wake huo unaoendelea kidogo kidogo baada ya kumpata mkataji wa mbuyu huo. Picha na ZanziNews Blog
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi10 Dec
‘Alikuwa kama mbuyu’
11 years ago
Tanzania Daima27 Apr
Dodoma kuna mzimu au mbuyu?
WATU wengi wa Zanzibar wanajiuliza, hivi kule Dodoma kuna nini… mzimu au mbuyu ambao huwabadilisha mawazo baadhi ya Wazanzibari? Wapo wanaosema kama ni mzimu basi ni wenye nguvu isiyoelezeka. Vilevile, ...
10 years ago
AllAfrica.Com17 Apr
Kisauni MP's Son Weds in Impressive Swahili Ceremony
AllAfrica.com
Juma Rashid, Kisauni MP Rashid Bedzimba's second son, said "I do" to his long term girl-friend Muzdalifa Mohamed a Tanzanian national from Zanzibar last weekend. The wedding ceremony held in Zanzibar with the who's who from Mombasa in attendance.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1FZQqMVDQYU/XrlRlwC5GnI/AAAAAAALpy4/s1DRks4Z4G091BW_nFd-xcmKVar5FlV_gCLcBGAsYHQ/s72-c/Karashani6.jpg)
Mbuyu wa Uandishi, Fili Karashani, Umeanguka
![](https://1.bp.blogspot.com/-1FZQqMVDQYU/XrlRlwC5GnI/AAAAAAALpy4/s1DRks4Z4G091BW_nFd-xcmKVar5FlV_gCLcBGAsYHQ/s640/Karashani6.jpg)
Alikuwa amelazwa Muhimbili kwa matatizo ya moyo ambayo yamekuwa yakimsumbua kwa muda wa miaka kadhaa.Saa sita baadaye, saa kumi na mbili na...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/bjzSTR4B_cA/default.jpg)
9 years ago
Vijimambo01 Sep
TIMU YA MADAKTARI BINGWA KUTOKA NCHINI CHINA WATOA HUDUMA ZA KIJAMII KATIKA KIJIJI CHA KISAUNI ZANZIBAR.
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/09/1.jpg)
![2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/09/2.jpg)
![3](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/09/3.jpg)
![4](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/09/4.jpg)
![5](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/09/5.jpg)
Wananchi mbalimbali wakipatiwa huduma za matibabu katika kijiji cha Kisauni Zanzibar.
Mwashungi Tahir Maelezo-Zanzibar
Jumla ya madaktari bingwa tisa kutoka nchini china wakishirikiyana na madaktari wa hapa Zanzibar wameweza kutoa...
9 years ago
MichuziTIMU YA MADAKTARI BINGWA KUTOKA NCHINI CHINA WAKISHIRIKIANA NA MADAKTARI WA ZANZIBAR WATOA HUDUMA ZA KIJAMII KATIKA KIJIJI CHA KISAUNI ZANZIBAR
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-wfdsHTTqnY8/VgoONJVZctI/AAAAAAAH7qk/-VU4LnvRhW0/s72-c/DU7C0126.jpg)
MUZIKI MNENE KIBAHA
![](http://3.bp.blogspot.com/-wfdsHTTqnY8/VgoONJVZctI/AAAAAAAH7qk/-VU4LnvRhW0/s640/DU7C0126.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-dm0Pn2oBnak/VgoONPAF0lI/AAAAAAAH7qs/XXEvMzl51MY/s640/DU7C9593.jpg)
93.7 EFM yajinyakulia ushindi baada ya kuwafunga kibaha veterans mabao mawili kwa moja, katika mchezo uliochezwa mwishoni mwa wiki katika uwanja wa Tamco kibaha, Mechi hiyo ni baadhi ya mechi zinazoendelea baina ya EFM na timu mbalimbali za wasikilizaji wake, Kupitia kampeni ya Muziki mnene bar kwa bar .Burudani haikuishia hapo, baada ya mechi hiyo shangwe ziliendelea ndani ya kibaha kontena. Ilikuwa ni bandika bandua ya ngoma kali kutoka kwa Rdj’s wa 93.7 EFM na shamra shamra kutoka...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-z_l-AkWg-cE/VhJnUFpA4UI/AAAAAAAH9FU/bN-_PQsJUMk/s72-c/DU7C0985.jpg)
MUZIKI MNENE BAGAMOYO
![](http://1.bp.blogspot.com/-z_l-AkWg-cE/VhJnUFpA4UI/AAAAAAAH9FU/bN-_PQsJUMk/s1600/DU7C0985.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-EN6mE0uoNt4/VhJnUPsKtYI/AAAAAAAH9FY/1Td5W7eElJ4/s1600/DU7C1120.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ncONnDeEKVg/VhJnUF9GhcI/AAAAAAAH9Fc/G3pdyVW5mTY/s1600/DU7C1233.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-vUUXLWpnajE/VhJnWWXet1I/AAAAAAAH9F4/WNpaFYksbPY/s1600/DU7C2105.jpg)
Muziki mnene bar kwa bar ulipambwa na kabumbu kati ya EFM na Bagamoyo veterani ambapo Bagamoyo veteran waliibuka na ushindi wa bao moja huku EFM wakiambulia sifuri.
Tangu...