Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


THE SPOTLIGHT: MSIKILIZE KAKA WA MAREHEMU BAADA YA MDOGO WAKE NA FAMILIA KUTEKETEA KWA MOTO

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

FAMILIA KUTEKETEA KWA MOTO SIMULIZI YAKE INATISHA!

Na Haruni Sanchawa/Uwazi SIMULIZI ya vifo vya watu sita wa familia moja waliopoteza maisha kwa ajali ya moto huko Kipunguni jijini Dar es Salaam wiki iliyopita inatisha, baada ya majirani kuanika ushuhuda waliousikia dakika chache kabla ya wapendwa hao kukata pumzi, Uwazi lina habari kamili. Nyumba iliyoteketea kwa moto na kusababisha vifo vya watu sita. Katika ajali hiyo, Kapteni mstaafu wa JWTZ, David Mpira, mkewe, watoto wao...

 

9 years ago

StarTV

Fahamu kiundani tukio la Familia kuteketea kwa moto Dar

Hii ni nyumba iliyoteketea kwa moto maeneo ya

Hii ni nyumba iliyoteketea kwa moto maeneo ya Buguruni Malapa .

 Watu tisa wa familia moja wameteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo huko Buguruni Malapa jijini Dar es Salaam, mashuhuda wamethibitisha.

Tukio hilo la kusikitisha limetokea Mtaa wa Ulam ambapo, bibi, watoto watatu wa kike na wajukuu watano waliokuwa wanaishi nyumba namba 40 wameteketea.

Mashuhuda wa tukio hilo wameliambia Mwanannchi Digital kuwa baba wa familia hiyo amenusurika kwa kuwa hakuwepo nyumbani, na kwamba...

 

5 years ago

Michuzi

MAJALIWA ATOA POLE KWA KWA FAMILIA YA MAREHEMU CHAMPANDA, KAKA YAKE KATIBU MKUU WA TFF



Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa Februari 22, 2020 ametoa pole kwa familia ya Mathew Champanda  nyumbani kwa marehemu eneo la Mwanga mjini Kigoma. Marehemu Champanda   ambaye ni kaka  mkubwa wa Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa MiguuTanzania  (TFF), Kidao Wilfred (wa pili kulia ) alifriiki dunia  Februari 19, 2020 na anatarajiwa kuzikwa leo...

 

9 years ago

StarTV

Watoto wawili wafariki Dihombo Mvomero baada ya Nyumba kuteketea Kwa Moto

Watoto wawili wa familia moja wamefariki dunia na mmoja kujeruhiwa baada ya nyumba walimokuwa wakiishi kuteketea kwa moto katika kijiji cha Dihombo wilayani Mvomero mkoani Morogoro.

Tukio hilo limetokea  usiku wa kuamkia jana wakati watoto hao watatu wakiwa wamelala peke yao, mama yao mzazi akiwa ameenda kanisani.

Mmoja wa watoto hao aliwasha kibatari kwa lengo la kwenda kujisaidia lakini kwa bahati mbaya kibatari hicho kililipuka na moto kuanza kusambaa nyumba nzima.

Watoto waliofariki...

 

11 years ago

Michuzi

HIVI NDIVYO HALI ILIVYO KATIKA SOKO LA ILALA MCHIKICHINI JIJINI DAR BAADA YA KUTEKETEA KWA MOTO

 Sehemu ya wafanyakazi wa Kikosi zimamoto wakiendelea na zoezi la kuzima moto ulioteketeza kabisa Soko la Ilala Mchikichini Jijini Dar es salaam leo.Moto huo ulianza majira ya saa sita usiku wa kuamkia leo na kuteketeza kila kilichokuwepo katika eneo la soko hilo. Chanzo cha kutokea kwa moto huo bado hakijajulikana mpaka sasa.Picha zote na Othman Michuzi.  Kazi ya kuzima moto ikiendelea.  Jitihada za kuuzima moto huo bado zinaendelea.  Moto bado unaendelea kuwaka mpaka wakati huu,huku...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kaka auawa na mdogo wake

MKAZI wa Kijiji cha Kapele, wilayani Momba, Adamu Silumbe (27), amefariki dunia wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Wilaya ya Mbozi baada ya kuchomwa kisu mgongoni na mdogo wake. Kamanda...

 

9 years ago

Mtanzania

Kaka wa Jenerali Mwamunyange naye akanusha mdogo wake kulishwa sumu

Davis MwamunyangeNa Victoria Patrick, Dar es Salaam

KAMISHINA Msadizi na Mwandamizi  mstaafu wa Jeshi la Polisi, Aden Mwamunyange ambaye ni kaka wa Mkuu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Jenerali Davis Mwamunyange, naye amekanusha taarifa   zilizoenezwa hivi karibuni katika mitandao ya  jamii kuwa amelishwa simu.

Akizungumza na waandishi wa habari nyumbani kwake Jeti Lumo,  Dar es Salaam jana, alisema hizo taarifa hizo si za kweli na ni uzushi.

“Mimi kama mwana familia nakanusha taarifa hizo...

 

9 years ago

Bongo5

AY akutana na mdogo wake kwa mara kwanza baada ya miaka 16

Rapper Ambwene Yessayah aka AY amekutana na mdogo wake wa kiume kwa mara ya kwanza baada ya miaka 16. AY ameiambia 255 ya XXL kupitia Clouds FM kuwa kuonana na mdogo wake huyo kunaenda sambamba na siku ambayo baba yake mzee Yessayah anatimiza miaka 12 toka afariki dunia. “Tulikuwa hatujawahi kuwasiliana na wala kuongea kwenye […]

 

9 years ago

Mtanzania

Jengo la Polisi lanusurika kuteketea kwa moto

adveraNa Mwandishi Wetu, Dar es Salaam

JENGO la Polisi Makao Makuu, jijini Dar es Salaam limenusurika kuteketea kwa moto baada ya kutokea hitilafu ya umeme katika jengo hilo.

Moto huo uliwashtua wafanyakazi wa polisi makao makuu ambao walikuwa wakikimbizana kutoka nje ili kunusuru maisha yao.

Akizungumzia tukio hilo, Msemaji wa Jeshi la Polisi, Advera Bulimba,  alisema moto huo ulianzia katika dari kwenye jengo la ghorofa ya nne ambao baada ya kuanza kuungua moto na moshi kuenea katika baadhi ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani