Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kaka wa Jenerali Mwamunyange naye akanusha mdogo wake kulishwa sumu

Davis MwamunyangeNa Victoria Patrick, Dar es Salaam

KAMISHINA Msadizi na Mwandamizi  mstaafu wa Jeshi la Polisi, Aden Mwamunyange ambaye ni kaka wa Mkuu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Jenerali Davis Mwamunyange, naye amekanusha taarifa   zilizoenezwa hivi karibuni katika mitandao ya  jamii kuwa amelishwa simu.

Akizungumza na waandishi wa habari nyumbani kwake Jeti Lumo,  Dar es Salaam jana, alisema hizo taarifa hizo si za kweli na ni uzushi.

“Mimi kama mwana familia nakanusha taarifa hizo...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

mkuu wa majeshi jenerali Davis Mwamunyange na ujumbe wake wakiwa Dubai

 Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis Mwamunyange pamoja na ujumbe wake, akiwa na Balozi Mdogo wa Tanzania, Dubai, Mhe. Omar Mjenga, wakiwa katika picha ya pamoja na mtumishi wa Hoteli ya Continental ya Dubai, ambaye kwa sasa ndiye Mtu Mrefu Duniani.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kaka auawa na mdogo wake

MKAZI wa Kijiji cha Kapele, wilayani Momba, Adamu Silumbe (27), amefariki dunia wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Wilaya ya Mbozi baada ya kuchomwa kisu mgongoni na mdogo wake. Kamanda...

 

9 years ago

GPL

A-Z MR. NICE KULISHWA SUMU

Msanii aliyewahi kubamba kwa staili ya Tanzania, Kenya na Uganda (Takeu), Lucas Mkenda ‘Mr. Nice’. Chande Abdallah MASIKINI! Msanii aliyewahi kubamba kwa staili ya Tanzania, Kenya na Uganda (Takeu), Lucas Mkenda ‘Mr. Nice’ hivi karibuni alinusurika kifo baada ya kudaiwa kula chakula chenye sumu hali iliyosababisha akimbizwe hospitali na kulazwa. Amani lina mkanda mzima. Kwa mujibu wa chanzo cha karibu na...

 

10 years ago

Bongo5

Tyga akanusha kuwa na uhusiano na mdogo wake Kim Kardashian, azungumzia diss ya Drake

Rapper wa YMCMB, Tyga amekanusha kuwa na uhusiano na mdogo wake Kim Kardashian, Kylie Jenner. Akiongea kwenye kipindi cha Power 105.1, The Breakfast Club jana, Tyga alidai kuwa hakuiacha familia yake kuwa na Kyle. Kabla ya hapo Amber Rose ambaye rafiki yake na mke wa zamani wa Tyga, Blac Chyna alihojiwa kwenye kipindi hicho pia […]

 

10 years ago

Mwananchi

Jenerali Mwamunyange awafunda wakufunzi

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama wa Tanzania (JWTZ), Jenerali Devis Mwamunyange amesema katika kuendeleza juhudi za Serikali juu ya kuboresha mafunzo ya JKT nchini, wakufunzi wa mafunzo hayo wanapaswa kufuata maadili ya taaluma yao katika utekelezaji wa majukumu waliyokabidhiwa na jeshi hilo.

 

9 years ago

Vijimambo

Jenerali Mwamunyange sasa aibukia Ngerengere.

\Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi nchini, Jenerali Davis Mwamunyange, (pichani) ameibukia katika Kamandi ya Anga Kizuka iliyopo Ngerengere, mkoani Morogoro wakati Rais Jakaya Kikwete, akizindua uwanja wa Ndege wa Kamandi hiyo.

Akizungumza wakati wa hafla hiyo, Rais Kikwete alisema kuwa katika miaka 10 ya uongozi wake, amefanya mambo mengi kwa Watanzania pamoja na kuliacha Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) likiwa katika hali nzuri ya kiutendaji.
Alisema hakuna nchi inayoweza kupata maendeleo...

 

9 years ago

Habarileo

‘Waliomzushia Jenerali Davis Mwamunyange waombe radhi’

WIZARA ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, imewataka watu waliosambaza uvumi katika mitandao ya kijamii kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi nchini, Jenerali Davis Mwamunyange, kuwa amelazwa nje ya nchi kwa ugonjwa, kuomba radhi mapema la sivyo watachukuliwa hatua.

 

9 years ago

Mtanzania

Mahakama yakusudia kumpa dhamana aliyemzushia Jenerali Mwamunyange

Davis MwamunyangeNA KULWA MZEE, DAR ES SALAAM

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, inaangalia mwelekeo wa kumpa dhamana mwanafunzi wa Chuo cha Teknolojia cha Dar es Salaam (DIT), Benedict Ngonyani, anayetuhumiwa kusambaza taarifa za uzushi kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Jenerali Davis Mwamunyange, amelishwa sumu.

Hayo yalidaiwa jana mahakamani hapo, wakati kesi hiyo ilipokuwa ikitajwa na upande wa Jamhuri na kudai kuwa upelelezi haujakamilika.

Hakimu Mkazi Respicius Mwijage, aliahirisha kesi hiyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani