mkuu wa majeshi jenerali Davis Mwamunyange na ujumbe wake wakiwa Dubai
![](http://2.bp.blogspot.com/-D9nkOYmUZWc/U-Gv2ZjaItI/AAAAAAAF9do/tzioY02699Q/s72-c/20140805_115440.jpg)
Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis Mwamunyange pamoja na ujumbe wake, akiwa na Balozi Mdogo wa Tanzania, Dubai, Mhe. Omar Mjenga, wakiwa katika picha ya pamoja na mtumishi wa Hoteli ya Continental ya Dubai, ambaye kwa sasa ndiye Mtu Mrefu Duniani.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMKUU WA MAJESHI TANZANIA JENERALI DAVIS MWAMUNYANGE AFUNGUA KIWANJA KIPYA CHA MICHEZO
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-J3LhQZ2lk3U/VgV5Rk9E8RI/AAAAAAAH7Ks/q0l4Z86Jk28/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
MKUU WA MAJESHI CDF JENERALI DAVIS MWAMUNYANGE YU BUHERI WA AFYA NA YUPO NCHINI ITALIA KIKAZI
![](http://3.bp.blogspot.com/-J3LhQZ2lk3U/VgV5Rk9E8RI/AAAAAAAH7Ks/q0l4Z86Jk28/s400/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
Kwa mujibu wa taarifa za familia ya Jenerali Mwamunyange pamoja na makao makuu ya jeshi ambazo Globu ya Jamii imezisaka na kuzipata, kiongozi huyu wa JWTZ hivi sasa yupo nchini Italia kwa ziara ya kikazi ya siku tisa kama anavyoonekana pichani...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-DEvsXZ_pIOY/U7Jkx7zeooI/AAAAAAAFt4I/Tal98B4vqew/s72-c/unnamed+(22).jpg)
Mkuu wa Majeshi ya ulinzi Jenerali Davis Mwamunyange katika sherehe za miaka 10 ya chuo cha JKT mapinga
![](http://1.bp.blogspot.com/-DEvsXZ_pIOY/U7Jkx7zeooI/AAAAAAAFt4I/Tal98B4vqew/s1600/unnamed+(22).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-OZEsYqejBEk/U7JkyCW-VQI/AAAAAAAFt4U/G2e18OYbw3I/s1600/unnamed+(23).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-J3LhQZ2lk3U/VgV5Rk9E8RI/AAAAAAAH7Ks/q0l4Z86Jk28/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
STOP PRESS: MKUU WA MAJESHI JENERALI DAVIS MWAMUNYANGE YU BUHERI WA AFYA NA YUPO NCHINI ITALIA KIKAZI
![](http://3.bp.blogspot.com/-J3LhQZ2lk3U/VgV5Rk9E8RI/AAAAAAAH7Ks/q0l4Z86Jk28/s400/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
Kwa mujibu wa taarifa za familia ya Jenerali Mwamunyange pamoja na makao makuu ya jeshi ambazo Globu ya Jamii imezisaka na kuzipata, kiongozi huyu wa JWTZ hivi sasa yupo nchini Italia kwa ziara ya kikazi ya siku tisa kama anavyoonekana pichani...
9 years ago
Habarileo27 Sep
‘Waliomzushia Jenerali Davis Mwamunyange waombe radhi’
WIZARA ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, imewataka watu waliosambaza uvumi katika mitandao ya kijamii kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi nchini, Jenerali Davis Mwamunyange, kuwa amelazwa nje ya nchi kwa ugonjwa, kuomba radhi mapema la sivyo watachukuliwa hatua.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-NOZ4bW1TnJI/VANq7Z6Tk5I/AAAAAAAGYhU/CPNrKunxLtg/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
Dkt. Jabiri Bakari, Mtendaji Mkuu wa Wakala wa e- Government na ujumbe wake wamtembelea balozi wetu mdogo Dubai
![](http://3.bp.blogspot.com/-NOZ4bW1TnJI/VANq7Z6Tk5I/AAAAAAAGYhU/CPNrKunxLtg/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-cpPqddwRMQE/VANq765vIyI/AAAAAAAGYhY/iWZtqQDFGsI/s1600/unnamed%2B(4).jpg)
9 years ago
Mtanzania15 Oct
Kaka wa Jenerali Mwamunyange naye akanusha mdogo wake kulishwa sumu
Na Victoria Patrick, Dar es Salaam
KAMISHINA Msadizi na Mwandamizi mstaafu wa Jeshi la Polisi, Aden Mwamunyange ambaye ni kaka wa Mkuu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Jenerali Davis Mwamunyange, naye amekanusha taarifa zilizoenezwa hivi karibuni katika mitandao ya jamii kuwa amelishwa simu.
Akizungumza na waandishi wa habari nyumbani kwake Jeti Lumo, Dar es Salaam jana, alisema hizo taarifa hizo si za kweli na ni uzushi.
“Mimi kama mwana familia nakanusha taarifa hizo...
10 years ago
Michuzi18 Sep
Mwenyekiti wa Shirika la Nyumba la Serikali ya Dubai akutana na Mkuu wa Majeshi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ewh-ogED2IY/Xt-Xx0cDzCI/AAAAAAALtMI/NKJPkrEV50gyXWPQDs99LuRcfY-M_nSfgCLcBGAsYHQ/s72-c/mradi%2Bmaji%2Bmabeyo.jpg)
MKUU WA MAJESHI YA ULINZI JENERALI MABEYO AIPONGEZA RTS KIHANGAIKO KUENDESHA MAFUNZO NA MIRADI
Na Luteni Selemani Semunyu
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi nchini Jenerali Venance Mabeyo amepongeza chuo Cha mafunzo ya awali ya Kijeshi cha RTS Kihangaiko kutokana na usisimamizi wa mafunzo na Ujenzi wa Miradi ya kujitegemea.
Jenerali Mabeyo alisema hayo mwishoni mwa wiki wakati wa sherehe za kuapa kwa Askari wapya kundi la 39 katika chuo hicho kilichopo Msata Bagamoyo Mkoani Pwani.
"Sina Shaka na mazoezi mliopatiwa na nimeshuhudia pia kupitiaa vyombo vya habari mlipokuwa mkihitoimisha mafunzo...