MKUU WA MAJESHI YA ULINZI JENERALI MABEYO AIPONGEZA RTS KIHANGAIKO KUENDESHA MAFUNZO NA MIRADI

Na Luteni Selemani Semunyu
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi nchini Jenerali Venance Mabeyo amepongeza chuo Cha mafunzo ya awali ya Kijeshi cha RTS Kihangaiko kutokana na usisimamizi wa mafunzo na Ujenzi wa Miradi ya kujitegemea.
Jenerali Mabeyo alisema hayo mwishoni mwa wiki wakati wa sherehe za kuapa kwa Askari wapya kundi la 39 katika chuo hicho kilichopo Msata Bagamoyo Mkoani Pwani.
"Sina Shaka na mazoezi mliopatiwa na nimeshuhudia pia kupitiaa vyombo vya habari mlipokuwa mkihitoimisha mafunzo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi.jpg)
Mkuu wa Majeshi ya ulinzi Jenerali Davis Mwamunyange katika sherehe za miaka 10 ya chuo cha JKT mapinga
.jpg)
.jpg)
11 years ago
Michuzi
mkuu wa majeshi jenerali Davis Mwamunyange na ujumbe wake wakiwa Dubai


11 years ago
MichuziMKUU WA MAJESHI TANZANIA JENERALI DAVIS MWAMUNYANGE AFUNGUA KIWANJA KIPYA CHA MICHEZO
5 years ago
Michuzi26 Feb
Jenerali Mabeyo Azindua Makao Makuu ya JKT Chamwino Dodoma

Na Frank MvungiMkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama Jenerali Venance Mabeyo amezindua Makao Makuu ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Wilayani Chamwino Mkoani Dodoma.Akizungumza leo Februari 26, 2020 wakati akizundua makao makuu hayo Jenerali Mabeyo amesema kuwa, JKT imekuwa yakupigiwa mfano kwa utendaji unaotokana...
10 years ago
Vijimambo
MKUU WA MAJESHI CDF JENERALI DAVIS MWAMUNYANGE YU BUHERI WA AFYA NA YUPO NCHINI ITALIA KIKAZI

Kwa mujibu wa taarifa za familia ya Jenerali Mwamunyange pamoja na makao makuu ya jeshi ambazo Globu ya Jamii imezisaka na kuzipata, kiongozi huyu wa JWTZ hivi sasa yupo nchini Italia kwa ziara ya kikazi ya siku tisa kama anavyoonekana pichani...
9 years ago
Michuzi
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi alivyoshiriki zoezi la usafi Lugalo, Jijini Dar

10 years ago
Michuzi
STOP PRESS: MKUU WA MAJESHI JENERALI DAVIS MWAMUNYANGE YU BUHERI WA AFYA NA YUPO NCHINI ITALIA KIKAZI

Kwa mujibu wa taarifa za familia ya Jenerali Mwamunyange pamoja na makao makuu ya jeshi ambazo Globu ya Jamii imezisaka na kuzipata, kiongozi huyu wa JWTZ hivi sasa yupo nchini Italia kwa ziara ya kikazi ya siku tisa kama anavyoonekana pichani...
9 years ago
Michuzi
MKUU WA MAJESHI MSTAAFU, JENERALI GEORGE WAITARA AONGOZA TIMU YA MAAFISA 24 WA JESHI KUPANDA MLIMA KILIMANJARO


Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Moshi,Fulgence Mponji akizungumza katia hafla fupi ya kuanzisha safari ya kupanda Mlima Kilimanjaro kwa maofisa 24 wa jeshi la wananchi Tanzania .kulia ni Mkuu wa Majeshi Mstaafu,Jenerali George Waitara na kushoto ni Mnadhimu mkuu wa Jeshi la wananchi ,Luteni...
5 years ago
MichuziSHIRIKA LA NYUMBU WAKABIDHI VICHANJA KWA TPA, JENERALI MABEYO ATOA SHUKRANI