Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi alivyoshiriki zoezi la usafi Lugalo, Jijini Dar

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Jenerali Davis Mwamunyange (kulia), Mkuu wa Brigedi ya Chui, Brigedia Jenerali Sharif Othman (kushoto) pamoja na Maafisa na Askari wakishiriki zoezi la usafi katika kambi ya Lugalo, jijini Dar es Salaami wakati wa kuadhimisha miaka 54 ya Uhuru kama alivyoagiza Rais na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe Magufuli

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

Zoezi la Usafi wa Mazingira Kuwa Endelevu Jijini Dar es Salaam

Na Lilian Lundo-MAELEZO
Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam, Mhe. Said Meck Sadiki amesema zoezi la usafi wa mazingira litakalofanyika siku ya Maadhimisho ya Uhuru wa Tanzania Bara tarehe 9 Desemba, litakuwa ni endelevu kwa mkoa wa Dar es Salaam hata baada ya kumalizika kwa maadhimisho hayo.

Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa Awamu ya Tano. Mhe. Dkt John Pombe Joseph Magufuli aliagiza kuwa Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Tanzania Bara mwaka huu yatumike kwa kufanya usafi wa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Rais Kikwete aagwa na Majeshi ya Ulinzi na Usalama nchini mapema leo jijini Dar es Salaam

1 (1)

Picha ya juu na chini: Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya ulinzi  na Usalama Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akikagua gwaride rasmi liliandaliwa na vikosi mbalimbali wakati wa sherehe ya kuagewa rasmi na vyombo vya ulinzi na usalama iliyofanyika katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam leo.

2 (1)

…Naaga!!

 

9 years ago

Dewji Blog

Waziri Mkuu ataka zoezi la usafi liwe endelevu

IMGS4237

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisafisha mtaro wa maji machafu kwenye soko kuu la Kariakoo jijini Dar es salaam Desemba 9, 2015.  Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Meck Sadiki.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

IMGS4254

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akielekea eneo la shimoni kwenye soko kuu la Kariakoo kufanya usafi Desemba 9, 2015.

IMGS4277

Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akitoka eneo la shimoni kwenye soko kuu la  Kariakoo kufanya usafi Desemba 9, 2015. Kulia kwake ni Mkuu wa wilaya ya Ilala, Raymond...

 

9 years ago

Michuzi

TAARIFA YA WIZARA YA ULINZI NA JKT JUU YA UZUSHI KUHUSU AFYA YA MKUU WA MAJESHI

 KUMEKUWAPO UVUMI WENYE KUUPOTOSHA UMMA KUWA MKUU WA MAJESHI YA ULINZI NCHINI AMENUSURIKA KIFO BAADA YA KUWEKEWA SUMU KATIKA CHAKULA NA HIVI SASA AMELAZWA KATIKA HOSPITALI YA AGA KHAN ILIYOPO NAIROBI, NCHINI KENYA, HUKU WENGINE WAKIDAI KUWA YUKO NCHINI INDIA KWA MATIBABU. 
TAARIFA HIZO NI UONGO WENYE KILA DALILI YA KUTENGENEZWA KWA LENGO LA KUWATIA HOFU WATANZANIA JUU YA USALAMA WA KIONGOZI HUYU WA JUU WA MAJESHI YETU.

UKWELI NI KUWA MKUU WA MAJESHI YA ULINZI, JENERALI DAVIS MWAMUNYANGE NI...

 

9 years ago

Dewji Blog

Taarifa Wizara ya Ulinzi na JKT juu ya Uzushi kuhusu Afya ya Mkuu wa Majeshi nchini

j4Jenerali Mwamunyange akiteta jambo na mwenyeji wake Rome, nchini Italia.

TAARIFA YA WIZARA YA ULINZI NA JKT JUU YA UZUSHI KUHUSU AFYA YA MKUU WA MAJESHI

 KUMEKUWAPO UVUMI WENYE KUUPOTOSHA UMMA KUWA MKUU WA MAJESHI YA ULINZI NCHINI AMENUSURIKA KIFO BAADA YA KUWEKEWA SUMU KATIKA CHAKULA NA HIVI SASA AMELAZWA KATIKA HOSPITALI YA AGA KHAN ILIYOPO NAIROBI, NCHINI KENYA, HUKU WENGINE WAKIDAI KUWA YUKO NCHINI INDIA KWA MATIBABU. 

TAARIFA HIZO NI UONGO WENYE KILA DALILI YA KUTENGENEZWA KWA LENGO LA...

 

5 years ago

Michuzi

MKUU WA MAJESHI YA ULINZI JENERALI MABEYO AIPONGEZA RTS KIHANGAIKO KUENDESHA MAFUNZO NA MIRADI


Na Luteni Selemani Semunyu

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi nchini Jenerali Venance Mabeyo amepongeza chuo Cha mafunzo ya awali ya Kijeshi cha RTS Kihangaiko kutokana na usisimamizi wa mafunzo na Ujenzi wa Miradi ya kujitegemea.

Jenerali Mabeyo alisema hayo mwishoni mwa wiki wakati wa sherehe za kuapa kwa Askari wapya kundi la 39 katika chuo hicho kilichopo Msata Bagamoyo Mkoani Pwani.

"Sina Shaka na mazoezi mliopatiwa na nimeshuhudia pia kupitiaa vyombo vya habari mlipokuwa mkihitoimisha mafunzo...

 

11 years ago

Michuzi

Mkuu wa Majeshi ya ulinzi Jenerali Davis Mwamunyange katika sherehe za miaka 10 ya chuo cha JKT mapinga

  Mkuu wa Majeshi ya ulinzi Jenerali Davis Mwamunyange akiwa anakata utepe kuashiria uzinduzi rasimi wa uwanja  uliopewa jina la Jenerali Davisi Mwamunyange  ambao utatumika kwa shughuli mabalimbali ikiwemo gwaride kulia ni Mkuu wa JKT Meja Jenerali Raphael Muhuga na kushoto ni Mkuu wa chuo cha JKT Mapinga Meja Aristides Rutta sherehe hizo ziliambatana na kutimiza miaka kumi ya kuanzishwa kwa chuo cha JKT Mapinga  kilichopo jijini Dar es salaam  Mkuu wa majeshi ya ulinzi Jenerali Devisi...

 

11 years ago

GPL

AJALI ENEO LA LUGALO JIJINI DAR

Lori la mchanga likiwa limeangukia gari dogo eneo la Lugalo, Makongo jijini Dar mapema leo. Dereva wa gari dogo aina ya Toyota Cresta 'GX 100' akiwa amenasa katika gari lake baada ya kuangukiwa na lori. AJALI hii imetokea leo asubuhi baada ya magari kusimamishwa ghafla eneo la Lugalo, Makongo ili kuruhusu wanafunzi wavuke ndipo lori liliposhindwa kusimama na kuparamia kingo za barabarani kisha kuiangukia gari… ...

 

11 years ago

Michuzi

ajali lugalo jijini DAr es salaam leo

 Ajali hii imetokea leo jirani na shule ya sekondari ya Mkongo jijini Dar es salaam

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani