TAARIFA YA WIZARA YA ULINZI NA JKT JUU YA UZUSHI KUHUSU AFYA YA MKUU WA MAJESHI
![](http://3.bp.blogspot.com/--n42I-KnkLg/VgasVu67GPI/AAAAAAAH7UI/ROBNkSlx_AM/s72-c/j1.jpg)
KUMEKUWAPO UVUMI WENYE KUUPOTOSHA UMMA KUWA MKUU WA MAJESHI YA ULINZI NCHINI AMENUSURIKA KIFO BAADA YA KUWEKEWA SUMU KATIKA CHAKULA NA HIVI SASA AMELAZWA KATIKA HOSPITALI YA AGA KHAN ILIYOPO NAIROBI, NCHINI KENYA, HUKU WENGINE WAKIDAI KUWA YUKO NCHINI INDIA KWA MATIBABU.
TAARIFA HIZO NI UONGO WENYE KILA DALILI YA KUTENGENEZWA KWA LENGO LA KUWATIA HOFU WATANZANIA JUU YA USALAMA WA KIONGOZI HUYU WA JUU WA MAJESHI YETU.
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog27 Sep
Taarifa Wizara ya Ulinzi na JKT juu ya Uzushi kuhusu Afya ya Mkuu wa Majeshi nchini
Jenerali Mwamunyange akiteta jambo na mwenyeji wake Rome, nchini Italia.
TAARIFA YA WIZARA YA ULINZI NA JKT JUU YA UZUSHI KUHUSU AFYA YA MKUU WA MAJESHI
KUMEKUWAPO UVUMI WENYE KUUPOTOSHA UMMA KUWA MKUU WA MAJESHI YA ULINZI NCHINI AMENUSURIKA KIFO BAADA YA KUWEKEWA SUMU KATIKA CHAKULA NA HIVI SASA AMELAZWA KATIKA HOSPITALI YA AGA KHAN ILIYOPO NAIROBI, NCHINI KENYA, HUKU WENGINE WAKIDAI KUWA YUKO NCHINI INDIA KWA MATIBABU.
TAARIFA HIZO NI UONGO WENYE KILA DALILI YA KUTENGENEZWA KWA LENGO LA...
9 years ago
MichuziRUVU JKT ILIVYOWAKILISHA WIZARA YA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA KUONYESHA MAFANIKIO YA SHUGHULI MBALIMBALI ZA MAJESHI NCHINI
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-DEvsXZ_pIOY/U7Jkx7zeooI/AAAAAAAFt4I/Tal98B4vqew/s72-c/unnamed+(22).jpg)
Mkuu wa Majeshi ya ulinzi Jenerali Davis Mwamunyange katika sherehe za miaka 10 ya chuo cha JKT mapinga
![](http://1.bp.blogspot.com/-DEvsXZ_pIOY/U7Jkx7zeooI/AAAAAAAFt4I/Tal98B4vqew/s1600/unnamed+(22).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-OZEsYqejBEk/U7JkyCW-VQI/AAAAAAAFt4U/G2e18OYbw3I/s1600/unnamed+(23).jpg)
11 years ago
Dewji Blog13 May
Taarifa ya Wizara ya Afya kuhusu ugonjwa wa Homa ya Dengue
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid na Kushoto ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii,Charles Pallangyo.
Utangulizi
Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii inapenda kutoa taarifa kwa Umma juu ya mwenendo wa ugonjwa wa homa ya dengue yaani “dengue fever” hapa nchini.Ugonjwa huu umethibitishwabaada ya sampuli zilizochukuliwa kutoka kwa watu waliohisiwa kuwa na ugonjwa huu jijini Dar es Salaam kupelekwa kwenye maabara yetu ya Taifa Dar es salaam na kuthibitisha kuwa na...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ZLrbuSNVVEY/VA3Ak11d-KI/AAAAAAAGh-0/zDT7_3zTL4c/s72-c/Untitled.jpg)
TAARIFA RASMI KUTOKA JESHI LA MAGEREZA KUHUSU TAARIFA ZA UZUSHI ZINAZOZAGAA KUWA BABU SEYA NA MAWAE WAMEACHIWA HURU
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZLrbuSNVVEY/VA3Ak11d-KI/AAAAAAAGh-0/zDT7_3zTL4c/s1600/Untitled.jpg)
Napenda kuufahamisha Umma wa Watanzania kuwa taarifa hizo zote zilizotolewa kupitia njia hizo ni za Uongo na uzushi mkubwa na zinalenga kuipotosha jamii kwani wafungwa hao wapo gerezani na...
9 years ago
Dewji Blog28 Dec
Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto yatoa taarifa kuhusu hali ya Kipindupindu nchini
Waziri Ummy Mwalimu alizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusiana na hali ya kipindupindu nchini ambapo hadi sasa ni mikoa 21 ya Tanzania Bara imeathirika.Jumla ya watu 12,222 wameugua kipindupindu na kati yao watu 196 wameshafariki.
Baadhi ya waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali wakimfuatilia waziri huyo(hayupo pichani) alipokuwa akitoa taarifa hiyo.Hata hivyo Waziri Ummy ameagiza kila wiki (jumatatu) wizara yake kutoa taarifa kwa vyombo vya habari kuhusu hali ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NUFv3AShtRw/XqBtCczNchI/AAAAAAALn14/JEJZJEajYFwgPy918nHN_iGaocG9GS7vQCLcBGAsYHQ/s72-c/1-38-2048x1255.jpg)
RAIS MAGUFULI AMUAPISHA KATIBU MKUU WIZARA YA AFYA NA KUZUNGUMZA NA VIONGOZI WAKUU WA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA. CHATO MKOANI GEITA
![](https://1.bp.blogspot.com/-NUFv3AShtRw/XqBtCczNchI/AAAAAAALn14/JEJZJEajYFwgPy918nHN_iGaocG9GS7vQCLcBGAsYHQ/s640/1-38-2048x1255.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Prof. Mabula Daudi Mchembe kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto . Hafla iliyofanyika Wilayani Chato Mkoani Geita , Aprili 22, 2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/2-28-scaled.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9-1mTnEFXdE/Xmy7zSis8sI/AAAAAAALjVw/NEW8M8K6aXI6guUthH2Z7HglaniJ4Lf3gCLcBGAsYHQ/s72-c/f7732e43-a835-48a7-ba3a-299ee5f97f08.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ggkCWPef5Jo/VYP8MTFnueI/AAAAAAAHhao/xWnI_mkAZvE/s72-c/unnamed%2B%252823%2529.jpg)
NAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI MWAMINI MALEMI AFUNGUA MKUTANO WA WADAU KUHUSU TEKNOLOJIA NA HUDUMA ZA ULINZI WA UMMA JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-ggkCWPef5Jo/VYP8MTFnueI/AAAAAAAHhao/xWnI_mkAZvE/s640/unnamed%2B%252823%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-XkCIgAhsVVc/VYP8MZZ-A3I/AAAAAAAHhas/rCmaYDJU0tc/s640/unnamed%2B%252824%2529.jpg)