Zoezi la Usafi wa Mazingira Kuwa Endelevu Jijini Dar es Salaam
Na Lilian Lundo-MAELEZO
Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam, Mhe. Said Meck Sadiki amesema zoezi la usafi wa mazingira litakalofanyika siku ya Maadhimisho ya Uhuru wa Tanzania Bara tarehe 9 Desemba, litakuwa ni endelevu kwa mkoa wa Dar es Salaam hata baada ya kumalizika kwa maadhimisho hayo.
Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa Awamu ya Tano. Mhe. Dkt John Pombe Joseph Magufuli aliagiza kuwa Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Tanzania Bara mwaka huu yatumike kwa kufanya usafi wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-SU11xMyg3Lw/VXHqgznO-iI/AAAAAAAHcZY/HuG4rqvn9jY/s72-c/unnamedss1.jpg)
wafanyakazi wa Hoteli ya Dar es Salaam Serena waadhimisha siku ya mazingira kwa kufanya usafi maeneo ya barabara jijini dar
Akiongea mara baada ya zoezi hilo la usafi mkurugenzi mkuu wa masoko wa hoteli hiyo ndugu Seraphin Lusala aliwashukuru wafanyakazi wa hoteli hiyo kwa kushiriki katika zoezi hilo la kufanya usafi wa mazingira ili kuonyesha mfano kwa jamii kwamba uchafuzi wa mazingira haukubaliki na...
9 years ago
Dewji Blog09 Dec
Waziri Mkuu ataka zoezi la usafi liwe endelevu
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisafisha mtaro wa maji machafu kwenye soko kuu la Kariakoo jijini Dar es salaam Desemba 9, 2015. Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Meck Sadiki.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akielekea eneo la shimoni kwenye soko kuu la Kariakoo kufanya usafi Desemba 9, 2015.
Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akitoka eneo la shimoni kwenye soko kuu la Kariakoo kufanya usafi Desemba 9, 2015. Kulia kwake ni Mkuu wa wilaya ya Ilala, Raymond...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-2LbeyDfahtQ/Vmk6nOuz0II/AAAAAAAILVs/ss8ajQ4YfsY/s72-c/1db7d2af-5ad7-4591-9dc1-0a98fd6736cd.jpeg)
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi alivyoshiriki zoezi la usafi Lugalo, Jijini Dar
![](http://3.bp.blogspot.com/-2LbeyDfahtQ/Vmk6nOuz0II/AAAAAAAILVs/ss8ajQ4YfsY/s640/1db7d2af-5ad7-4591-9dc1-0a98fd6736cd.jpeg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-OMPXF0YuhG8/Vco2YoYA3eI/AAAAAAAHwHQ/fhhyzauB16E/s72-c/unnamed%2B%252831%2529.jpg)
MDAU WA MAZINGIRA ASIKITISHWA NA NAMNA USAFI UNAVYOFANYWA JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-OMPXF0YuhG8/Vco2YoYA3eI/AAAAAAAHwHQ/fhhyzauB16E/s640/unnamed%2B%252831%2529.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-UAR9sIxjVQ4/Vmk8Mjz1jFI/AAAAAAAILWI/8FezXKsnBlY/s72-c/DSC_3039.jpg)
ZOEZI LA USAFI WA MAZINGIRA NCHI NZIMA DK.SHEIN AJUMUIKA NA WANANCHI
![](http://2.bp.blogspot.com/-UAR9sIxjVQ4/Vmk8Mjz1jFI/AAAAAAAILWI/8FezXKsnBlY/s640/DSC_3039.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-EWeB7TEcl3A/Vmk8QRKpKXI/AAAAAAAILWk/YSgCw9Ppz-c/s640/DSC_3086.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-w9KWA_Keelk/VmqM3lpywsI/AAAAAAAILmE/eF6kNW7wzac/s72-c/Untitled1.png)
BALOZI ZOKA AWAONGOZA MAAFISA WA UBALOZI KATIKA ZOEZI LA USAFI WA MAZINGIRA
![](http://4.bp.blogspot.com/-w9KWA_Keelk/VmqM3lpywsI/AAAAAAAILmE/eF6kNW7wzac/s640/Untitled1.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qoq7W8gjles/VmqM47YuJ4I/AAAAAAAILmQ/SR8Ppt_3YOc/s640/Untitled2.png)
9 years ago
Dewji Blog06 Dec
TAMISEMI yaendelea kuhamasisha suala la usafi jijini Dar es Salaam
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Kagyabukama Kiliba (wa tatu kutoka kushoto) akiwa na baadhi ya viongozi wa mkoa wa Dar es salaam na Halmashauri ya Wilaya ya Ilala wakiwasili eneo la soko la Feri jijini Dar es salaa kujionea hali ya usafi wa soko hilo.
Baadhi ya wahudumu wakiendelea na usafi eneo la soko la Feri jijini Dar es salaa huku Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Kagyabukama...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YGvjN1w1Mv4/XmTd9m0bUEI/AAAAAAALh60/BcPXuTxye_4BNAFnC_-ZdowBxuN2fsg2ACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAZIRI ZUNGU ASHIRIKI USAFI WA FUKWE ZA BAHARI JIJINI DAR ES SALAAM
Aliongeza kuwa anawashukuru sana kikundi cha utunzaji wa mazingira cha Save the Coast kwa...
9 years ago
MichuziRAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA AFANYA USAFI JIJINI DAR ES SALAAM
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiokota taka taka katika eneo la ufukwe wa ferry akiwa sambamba na mkewe Mama Janeth...