BALOZI ZOKA AWAONGOZA MAAFISA WA UBALOZI KATIKA ZOEZI LA USAFI WA MAZINGIRA
![](http://4.bp.blogspot.com/-w9KWA_Keelk/VmqM3lpywsI/AAAAAAAILmE/eF6kNW7wzac/s72-c/Untitled1.png)
Balozi wa Tanzania nchini Canada, Mhe. Jack Mugendi Zoka akifanya usafi nje ya ofisi yake mjini Ottawa, ikiwa ni sehemu ya kutekeleza agizo la Mhe. Rais Dk. John Pombe Magufuli la kufanya usafi siku ya maadhimisho ya miaka 54 ya Uhuru wa Tanzania.
Balozi wa Tanzania nchini Canada, Balozi Jack Mugendi Zoka, akiwa pamoja na maafisa wa Ubalozi wakitekeleza kwa vitendo agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli la kusherehekea Sikukuu ya Uhuru na Kazi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi26 Nov
Zoezi la Usafi wa Mazingira Kuwa Endelevu Jijini Dar es Salaam
Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam, Mhe. Said Meck Sadiki amesema zoezi la usafi wa mazingira litakalofanyika siku ya Maadhimisho ya Uhuru wa Tanzania Bara tarehe 9 Desemba, litakuwa ni endelevu kwa mkoa wa Dar es Salaam hata baada ya kumalizika kwa maadhimisho hayo.
Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa Awamu ya Tano. Mhe. Dkt John Pombe Joseph Magufuli aliagiza kuwa Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Tanzania Bara mwaka huu yatumike kwa kufanya usafi wa...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-UAR9sIxjVQ4/Vmk8Mjz1jFI/AAAAAAAILWI/8FezXKsnBlY/s72-c/DSC_3039.jpg)
ZOEZI LA USAFI WA MAZINGIRA NCHI NZIMA DK.SHEIN AJUMUIKA NA WANANCHI
![](http://2.bp.blogspot.com/-UAR9sIxjVQ4/Vmk8Mjz1jFI/AAAAAAAILWI/8FezXKsnBlY/s640/DSC_3039.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-EWeB7TEcl3A/Vmk8QRKpKXI/AAAAAAAILWk/YSgCw9Ppz-c/s640/DSC_3086.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-OntVWxrCG9s/VmkoGZM3oAI/AAAAAAAAYOM/LFQ0-reorJc/s72-c/IMG_0560%2B%25281024x683%2529.jpg)
WAFANYAKAZI WA BENKI YA NMB MOSHI WAJITOKEZA KATIKA ZOEZI LA USAFI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-OntVWxrCG9s/VmkoGZM3oAI/AAAAAAAAYOM/LFQ0-reorJc/s640/IMG_0560%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-MH-1zf6nUGM/VmkpVE6HgWI/AAAAAAAAYR8/KYEsfInPIc4/s640/IMG_1027%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-0OLVUwj7IGI/VmkpF9FIItI/AAAAAAAAYRE/NYITp018Gd8/s640/IMG_0771%2B%25281024x683%2529.jpg)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/F-9RLDKjng-Y00nt7psopFF3eRA3DtOcjSRUH7l0ABGvtZ0MJ4xKcDjWkB4d8Owzz7yo*KPBgqPUVHNFrK*FA11h6nj20vsa/001.MTWARA.jpg?width=750)
CHAMA CHA WAANDISHI MTWARA CHAENDESHA ZOEZI LA USAFI NA KUPANDA MITI KATIKA HOSPITALI YA MKOA HUO
10 years ago
MichuziKAMANDA MSTAAFU WA UVCCM KINONDONI ASHIRIKI KATIKA USAFI WA MAZINGIRA
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-IruOrqnqMi8/VhZ4BRKEnVI/AAAAAAABJk8/pJAAfqvHVVQ/s72-c/122.jpg)
BALOZI SEIF AWAONGOZA WALIOPITISHWA KUGOMBEA NAFASI MBALIMBALI JIMBO LA MAHONDA KATIKA UCHAGUZI WA MWAKA HUU KUWASHUKURU WANA CCM
![](http://4.bp.blogspot.com/-IruOrqnqMi8/VhZ4BRKEnVI/AAAAAAABJk8/pJAAfqvHVVQ/s640/122.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-P7LKDaHXg8k/VhZ4B9sVl9I/AAAAAAABJlI/Ahl7-s6vz_U/s640/384.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FfX3QwR9kuE/VhZ4B_oZ_qI/AAAAAAABJlE/1EEfaA5qtNw/s640/388.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OcxvxG4wHxbLqIHal3CM2et2gIcVJ*YJFrVXHQh5E4wV-oq9pwZ3dT18VpLGfr9XIYMgl5RV8Us94IbQ9t7GN8w2gM2oq4-6/1ajalinew.jpg?width=650)
MFANYAKAZI WA MAMLAKA YA MAJI SAFI NA USAFI WA MAZINGIRA MJINI MOSHI (MUWSA) AFARIKI DUNIA KATIKA AJALI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XTKd-MfC7fg/U-r0zTrP6CI/AAAAAAAAHBE/HIffhdCubpM/s72-c/IMG-20140812-WA0042.jpg)
MFANYAKAZI WA MAMLAKA YA MAJI SAFI NA USAFI WA MAZINGIRA MJINI MOSHI(MUWSA)AFARIKI DUNIA KATIKA AJALI
![](http://1.bp.blogspot.com/-XTKd-MfC7fg/U-r0zTrP6CI/AAAAAAAAHBE/HIffhdCubpM/s1600/IMG-20140812-WA0042.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-SpWPsULA-Qc/U-r00FUJdeI/AAAAAAAAHBQ/NBj3Nocy6ek/s1600/IMG-20140812-WA0041.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-LdZZliWu-fk/U-r02_Pn8yI/AAAAAAAAHBk/qV2Ime3Szo4/s1600/IMG-20140812-WA0044.jpg)
Ajali mbaya imetokea barabara kuu ya Arusha Moshi ikihusisha Lori aina ya Sacania lenye namba za Usajili T 137 ATA na pikipiki aina ya Suzuki yenye namba SU 40262 mali...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-wnbnBlOHUtw/VjMzn_W8l7I/AAAAAAAIDeE/dfmX5455fvI/s72-c/Untitled.png)
BALOZI ZOKA AWASILISHA HATI ZA UWAKILISHI KWA MAKAMU WA RAIS WA CUBA
Mhe. Balozi aliambatana na Mama Balozi Bibi Esther Zoka na Afisa wa Ubalozi Bw. Paul Makelele. Sherehe hiyo pia ilihudhuriwa na Mkuu wa Itifaki wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Cuba, Mhe. Balozi Miguel Lamazares Puello na Maafisa wengine kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na ofisi ya...