ZOEZI LA USAFI WA MAZINGIRA NCHI NZIMA DK.SHEIN AJUMUIKA NA WANANCHI
![](http://2.bp.blogspot.com/-UAR9sIxjVQ4/Vmk8Mjz1jFI/AAAAAAAILWI/8FezXKsnBlY/s72-c/DSC_3039.jpg)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akifuatana na Mstahiki Meya wa Manispaa ya Zanzibar Khatib Abrahman Khatib wakati alipowasilikati eneo la Malindi Mjini Zanzibar katika zoezi ka Usafi wa mazingira katika kuadhimisha miaka 54 ya Muungano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lililoshirikisha Viongozi na Wananchi mbali mbali nchini.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizoa taka katika zoezi ka Usafi wa mazingira...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi26 Nov
Zoezi la Usafi wa Mazingira Kuwa Endelevu Jijini Dar es Salaam
Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam, Mhe. Said Meck Sadiki amesema zoezi la usafi wa mazingira litakalofanyika siku ya Maadhimisho ya Uhuru wa Tanzania Bara tarehe 9 Desemba, litakuwa ni endelevu kwa mkoa wa Dar es Salaam hata baada ya kumalizika kwa maadhimisho hayo.
Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa Awamu ya Tano. Mhe. Dkt John Pombe Joseph Magufuli aliagiza kuwa Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Tanzania Bara mwaka huu yatumike kwa kufanya usafi wa...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-w9KWA_Keelk/VmqM3lpywsI/AAAAAAAILmE/eF6kNW7wzac/s72-c/Untitled1.png)
BALOZI ZOKA AWAONGOZA MAAFISA WA UBALOZI KATIKA ZOEZI LA USAFI WA MAZINGIRA
![](http://4.bp.blogspot.com/-w9KWA_Keelk/VmqM3lpywsI/AAAAAAAILmE/eF6kNW7wzac/s640/Untitled1.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qoq7W8gjles/VmqM47YuJ4I/AAAAAAAILmQ/SR8Ppt_3YOc/s640/Untitled2.png)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-2FA7GxawN6M/VIAu9rueJRI/AAAAAAAG1JA/rAoiRMNECCQ/s72-c/KAMISHANATWO.jpg)
ZOEZI LA KITAIFA LA KUANDIKISHA RAIA WA KIGENI NCHI NZIMA LAZINDULIWA RASMI KIGOMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-2FA7GxawN6M/VIAu9rueJRI/AAAAAAAG1JA/rAoiRMNECCQ/s1600/KAMISHANATWO.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/--rjaocIyiOU/VIAvC5PssII/AAAAAAAG1Jc/HoTPNwa4PfY/s1600/kuchukua.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-dBW_VO5B6mM/VIAu9as0m6I/AAAAAAAG1I8/KiWkeLDpDaM/s1600/MOJA%2BYA%2BKITAMBULISHO.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-3Kfn9HLZFbk/VIAu_Evqv9I/AAAAAAAG1JM/xR8FSs4guSA/s1600/RAIA%2BWA%2BCONGO.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-pWLE4rSrRGQ/VIAvB4aQlWI/AAAAAAAG1JU/uBAKRp7FzDc/s1600/WANANCHI.jpg)
9 years ago
StarTV24 Dec
Zoezi la usafi 9 Disemba la Maguful laongeza hamasa kwa wananchi
Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii Wazee na Watoto imesema zoezi la usafi lililofanyika nchi nzima Desemba 9 mwaka huu ikiwa ni agizo la Rais Magufuli la kuadhimsiha sherehe za Uhuru kwa kufanya usafi, limeibua hisia kubwa kwa watanzani katika kuhamasika kutunza mazingira.
Wizara imesema kuwa zoezi hilo limepunguza kasi ya kipindupindu na jamii imetambua umuhimu wa usafi hasa maeneo ya vijijini ambako wengi hudhani suala la usafi linafanyika mjini pekee.
Desemba 9 mwaka huu ilikuwa ni siku...
9 years ago
Global Publishers03 Jan
Dkt. Shein azindua Sherehe za Mapinduzi kwa Usafi wa Mazingira
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akizoa taka katika zoezi la Usafi wa mazingira uliofanyika leo eneo la Soko la Mbogamboga Mombasa Mjini Zanzibar ikiwa ni Uzinduzi wa Sherehe za miaka 52 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akibeba taka katika zoezi la Usafi wa mazingira uliofanyika leo eneo la Soko la Mbogamboga Mombasa Mjini Zanzibar ikiwa ni Uzinduzi wa...
11 years ago
Dewji Blog29 Apr
Wananchi waaswa kuzingatia usafi wa mazingira
Afisa Afya wa Manispaa ya Temeke Bw.Willium Muhemu akifafanua kwa waandishi wa habari mafanikio yaliyofikiwa na Manispaa hiyo katika kuwaondoa wafanyabiashara wanaofanya biashara katika maeneo yasiyo rasmi pamoja na watu wote wanaochafua mazingira,Kulia ni Afisa Uhusiano wa Manispa hiyo Bi. Joyce Nsumba.(Picha zote na FRANK MVUNGI-maelezo).
Afisa Mazingira wa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke Bw.Ernest Mamuya akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani)kuhusu hatua...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-yoehOnRZV8U/VojPBuOtFpI/AAAAAAAIQAk/3rcP76F7UAk/s72-c/IMG_3011.jpg)
Dkt. Shein afanya Uzinduzi wa Sherehe za Mapinduzi kwa Usafi wa Mazingira Kitaifa
![](http://3.bp.blogspot.com/-yoehOnRZV8U/VojPBuOtFpI/AAAAAAAIQAk/3rcP76F7UAk/s640/IMG_3011.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-23KAOMJK7pU/VojPB6P9E-I/AAAAAAAIQAo/mbKRooRlUrk/s640/IMG_3016.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3OkS5mXcP0s/XkmOK2X6NiI/AAAAAAALdow/t_hV8vCFhrsL9zgnKoNUvHtGr436QAXFQCLcBGAsYHQ/s72-c/d4b3a13b-0ef4-42d2-bac8-28d51650e838.jpg)
RAIS WA ZANZIBAR DK.SHEIN AJUMUIKA NA WANANCHI KATIKA MAZIKO YA JAJI WA MAHKAMA KUU ZANZIBAR MKUSA SEPETU ALIYEZIKWA KIJIJI KWAO MBUZINI UNGUJA LEO.
![](https://1.bp.blogspot.com/-3OkS5mXcP0s/XkmOK2X6NiI/AAAAAAALdow/t_hV8vCFhrsL9zgnKoNUvHtGr436QAXFQCLcBGAsYHQ/s640/d4b3a13b-0ef4-42d2-bac8-28d51650e838.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/81c75572-8fa4-417a-9b62-6125c582372f.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-UbhF3YILPdQ/VmflLuX_YgI/AAAAAAACmqo/gtxDL-dFkLc/s72-c/6.jpg)
MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA SULUHU HASSAN ASHIRIKI NA WANANCHI WA ENEO LAKE KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA, MAADHIMISHO YA SIKU YA UHURU.
![](http://1.bp.blogspot.com/-UbhF3YILPdQ/VmflLuX_YgI/AAAAAAACmqo/gtxDL-dFkLc/s640/6.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mhe. Samia Suluhu Hassan, akishiriki kuzoa taka na baadhi ya wananchi wakazi wa eneo lake la Oysterbay- Karume Raod, wakati wa zoezi la kufanya usafi wa mazingira ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 54 ya Uhuru wa Tanzania kama alivyoagiza Mhe Rais Dkt. John Pombe Magufuli, ambapo zoezi hilo limefanyika nchini kote hii leo.
![](http://2.bp.blogspot.com/-Yzr49bVVyqg/VmflMIPfw3I/AAAAAAACmqs/j_0tXVT_yzw/s640/7.jpg)