RAIS WA ZANZIBAR DK.SHEIN AJUMUIKA NA WANANCHI KATIKA MAZIKO YA JAJI WA MAHKAMA KUU ZANZIBAR MKUSA SEPETU ALIYEZIKWA KIJIJI KWAO MBUZINI UNGUJA LEO.
![](https://1.bp.blogspot.com/-3OkS5mXcP0s/XkmOK2X6NiI/AAAAAAALdow/t_hV8vCFhrsL9zgnKoNUvHtGr436QAXFQCLcBGAsYHQ/s72-c/d4b3a13b-0ef4-42d2-bac8-28d51650e838.jpg)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akitia mchanga katika kaburi lililokuwa na mwili wa Marehemu Jaji wa Mahkama Kuu Zanzibar Jaji Mkusa Sepetu , wakati wa maziko hayo yaliofanyika Kijiji kwao Mbuzini Wilaya ya Magharibi “A” Unguja leo 16-2-2020(
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wZ95rsyc_bw/XkkKDdif_5I/AAAAAAALdj4/7nBxOExN2RUGv6QsoJhjNDzYdr-QzOWlgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-16%2Bat%2B12.10.36.jpeg)
JAJI SEPETU WA MAHAKAMA KUU ZANZIBAR AFARIKI DUNIA, KUZIKWA LEO KIJIJINI KWAO MBUZINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-wZ95rsyc_bw/XkkKDdif_5I/AAAAAAALdj4/7nBxOExN2RUGv6QsoJhjNDzYdr-QzOWlgCLcBGAsYHQ/s1600/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-16%2Bat%2B12.10.36.jpeg)
JAJI wa Mahakama kuu ya Zanzibar Mhe Mkusa Issack Sepetu amefariki dunia asubuhi ya leo na mjini hapa.
Kwa mujibu wa taarifa ya Afisa Habari wa Mahakama Kuu Zanzibar, asubuhi ya leo February 16, ilieza taarifa juu ya kifo hicho.
Pia inaelezwa kuwa, maziko yanataraji kufanyika leo saa 10 Kijijini kwao Mbuzini.
Enzi za uhai wake amewahi kushika nyadhifa mbalimbali ikiwemo Mwanasheria mkuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na baadae Kaimu jaji mkuu wa Zanzibar.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-f5OD4F0fcaU/XkkFgZEs0cI/AAAAAAAAmuE/_67-noGjE6AmLIRzlx_8TbDBzOX7tu0JQCLcBGAsYHQ/s72-c/fe7cc182-8e9a-4938-a907-18314cfd9b19.jpg)
JAJI SEPETU WA MAHAKAMA KUU ZANZIBAR AFARIKI DUNIA, KUZIKWA LEO KIJIJINI KWAO MBUZINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-f5OD4F0fcaU/XkkFgZEs0cI/AAAAAAAAmuE/_67-noGjE6AmLIRzlx_8TbDBzOX7tu0JQCLcBGAsYHQ/s640/fe7cc182-8e9a-4938-a907-18314cfd9b19.jpg)
NA ANDREW CHALE, UNGUJA,ZANZIBAR
JAJI wa Mahakama Kuu ya Zanzibar Mhe Mkusa Issack Sepetu amefariki Dunia asubuhi ya leo na mjini hapa.
Kwa mujibu wa taarifa ya Afisa Habari wa Mahakama Kuu Zanzibar, asubuhi ya leo February 16, ilieleza taarifa juu ya kifo hicho.
Pia inaelezwa kuwa, maziko yanataraji kufanyika leo saa 10 Kijijini kwao Mbuzini.
Enzi za uhai wake amewahi kushika nyadhifa mbalimbali ikiwemo Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na baadae Kaimu Jaji Mkuu wa Zanzibar.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-yO4cgtaVy_Q/XkjoOLFafQI/AAAAAAACHtM/-xdfBVCm7pUk7MzpEjV6JTI2n6fh2oUPACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200216-WA0019.jpg)
JAJI WA MAHAKAMA KUU YA ZANZIBAR MKUSA ISSAC SEPETU AMEFARIKI DUNIA LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-yO4cgtaVy_Q/XkjoOLFafQI/AAAAAAACHtM/-xdfBVCm7pUk7MzpEjV6JTI2n6fh2oUPACLcBGAsYHQ/s400/IMG-20200216-WA0019.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aWle64YZjug/XoDrUmruRxI/AAAAAAALlfk/dMCLIccsrzYsGK-U_tOy9W-KN_8DQvt1ACLcBGAsYHQ/s72-c/DSC0895AA-768x529.jpg)
RAIS DK.SHEIN AHUDHURIA MAZIKO YA WAZIRI KIONGOZI MSTAAF RAMADHAN HAJIN FAKI KIJIJI KWAO MKWAJUNI ZANZIBAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-aWle64YZjug/XoDrUmruRxI/AAAAAAALlfk/dMCLIccsrzYsGK-U_tOy9W-KN_8DQvt1ACLcBGAsYHQ/s640/DSC0895AA-768x529.jpg)
MAKAMANDA wa JWTZ wakiwa wamebeba jeneza la mwili wa Marehemu Ramadhani Haji Faki wakiingia katika viwanja vya Masjid Mushawar Muembeshauri Wilaya ya Mjini Unguja kwa ajili ya kuusala na kuuombea dua
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/DSC0913AA-1024x795.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-qEoiD0sC0WQ/XkbN7OFErTI/AAAAAAALdbM/H8H700epV3EqlV3EoNbPG0YC4PwT6xofwCLcBGAsYHQ/s72-c/8b7d75d3-8935-4a7a-9d21-6f678c552e28.jpg)
RAIS WA ZANZIBAR DK.SHEIN AHUDHURIA MAZIKO YA MAREHEMU ALI SALIM HAFIDH NA AZUNGUMZA NA WAZIRI WA NCHI OFISI YA MAKAMU WA RAIS MUUNGANO NA MAZINGIRA IKULU ZANZIBAR.
![](https://1.bp.blogspot.com/-qEoiD0sC0WQ/XkbN7OFErTI/AAAAAAALdbM/H8H700epV3EqlV3EoNbPG0YC4PwT6xofwCLcBGAsYHQ/s640/8b7d75d3-8935-4a7a-9d21-6f678c552e28.jpg)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiweka mchanga katika kaburi la Marehemu Ali Salim Hafidh, aliyekuwa Msaidi wa Rais Hutuba , maziko hayo yamefanyika katika makaburi ya family Fuoni Mambosasa Wilaya ya Magharibi “B” Unguja.(Picha na Ikulu)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/f4aaa3cf-e447-42d0-abfa-d6e575f60f00.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-q8XUDTlp8wU/XoyFypuRDxI/AAAAAAALmYA/2QAFrzlyKTkMcyR7SZkxRkq-UMgC6N4PwCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC1422AAA-768x413.jpg)
RAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN AONGOZA DUA YA KUMUOMBEA RAIS WA KWANZA WA ZANZIBAR MAREHEMU MZEE ABEID AMANI KARUME ILIOFANYIKA VIWANJA VYA AFISI KUU YA CCM ZANZIBAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-q8XUDTlp8wU/XoyFypuRDxI/AAAAAAALmYA/2QAFrzlyKTkMcyR7SZkxRkq-UMgC6N4PwCLcBGAsYHQ/s640/DSC1422AAA-768x413.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/DSC1428AAAA-1024x609.jpg)
5 years ago
MichuziRAIS WA ZANZIBAR DK.SHEIN ATEMBELEA JENGO LINALOTARAJIWA KUWA LA UCHUNGUZI WA VIRUSI UNGUJA LEO
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali vilioko Zanzibar wakati alipotembelea jengo linalotarajiwa kuwa la Uchunguzi wa Virusi Zanzibar, Binguni Wilaya ya Kati Unguja leo.25/3/2020 (kushoto kwa Rais) Waziri wa Afya Zanzibar Mhe. Hamad Rashid Mohammed na Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Afya Zanzibar Dkt. Mayasa Salum Ali.(Picha na Ikulu).
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la...
11 years ago
Michuzi04 Apr
Rais wa Zanzibar Dk Ali Shein Atembelea Mnara wa Kumbukumbu ya miaka 50 ya Mapinduzi Zanzibar Michezani na Uwanja wa mabembea wa Kariakoo Mjini Unguja
![](https://3.bp.blogspot.com/-OL279nW9uvc/Uz1zvwQU1PI/AAAAAAACtyo/acaJtwiGJMU/s1600/IMG_9328.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/--SlP6p7LWRM/Uz1zs2m6WfI/AAAAAAACtyU/9bKJDwWuU4g/s1600/IMG_9309.jpg)
5 years ago
CCM BlogRAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN AZUNGUMZA NA BALOZI WA NIGERIA IKULU JIJINI ZANZIBAR, LEO