ZOEZI LA KITAIFA LA KUANDIKISHA RAIA WA KIGENI NCHI NZIMA LAZINDULIWA RASMI KIGOMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-2FA7GxawN6M/VIAu9rueJRI/AAAAAAAG1JA/rAoiRMNECCQ/s72-c/KAMISHANATWO.jpg)
kamishna wa uhamiaji na usimamazi na uthibiti wa mipaka Abdallah Khamis akipata maelekezo kutoka kwa maofisa wa uhamiaji namna zoezi la kuandikisha raia wa kigeni linavyofanyika.
Maofisa wa uhamiaji wakichukua alama za vidole
Moja ya kitambulisho wanachopewa Raia wasio wa Tanzania .
Raia wa Congo ambaye ameishi nchini isivyo halali kwa miaka kumi na moja akifurahi na familia yake baada ya kupata vitambulisho vya kuishi nchini kihalali.
Baadhi ya wananchi ambao si raia wa Tanzania...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-UAR9sIxjVQ4/Vmk8Mjz1jFI/AAAAAAAILWI/8FezXKsnBlY/s72-c/DSC_3039.jpg)
ZOEZI LA USAFI WA MAZINGIRA NCHI NZIMA DK.SHEIN AJUMUIKA NA WANANCHI
![](http://2.bp.blogspot.com/-UAR9sIxjVQ4/Vmk8Mjz1jFI/AAAAAAAILWI/8FezXKsnBlY/s640/DSC_3039.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-EWeB7TEcl3A/Vmk8QRKpKXI/AAAAAAAILWk/YSgCw9Ppz-c/s640/DSC_3086.jpg)
11 years ago
Michuzi14 Jun
MAMA SALMA KIKWETE AWASILI KIGOMA AKIWA MGENI RASMI WA MAADHIMISHO YA SIKU YA UCHANGIAJI DAMU SALAMA KITAIFA.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/--EsEBeArhDU/U_dhp9zoyfI/AAAAAAAGBc4/Hn4C9mANAOY/s72-c/unnamed%2B(5).jpg)
BREAKING NEWZZZZZ: idara ya uhamiaji yaendelea kucharuka, yamzuia raia wa netherlands kuingia nchini kwa kujihusisha na kusafrisha kimazabe raia wa kigeni
![](http://1.bp.blogspot.com/--EsEBeArhDU/U_dhp9zoyfI/AAAAAAAGBc4/Hn4C9mANAOY/s1600/unnamed%2B(5).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-dHnPbYwDnEg/U_dhvcv-mxI/AAAAAAAGBdA/61pMNRyp4uo/s1600/scan0001.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-dXE026mtggo/U_djUzEFIqI/AAAAAAAGBdU/I8j6UL4Z5JU/s1600/scan00002.jpg)
11 years ago
BBCSwahili18 Jan
Raia wa kigeni wauawa Afghanistan
11 years ago
Mwananchi22 Jan
Chadema kutikisa nchi; Helikopta tatu kurushwa nchi nzima
5 years ago
Bongo514 Feb
Raia wa kigeni nchini wapewa siku 90
Idara ya Uhamiaji nchini Tanzania imetoa siku 90 kwa wageni kufanya uhakiki wa vibali vya ukazi ili kuimarisha udhibiti wa wageni wanaoishi nchini pamoja na kuzuia mianya ya upotevu wa maduhui ya serikali.
Anna Makakala, Kamishna Jenerali wa Uhamiaji
Akizungumza jijini Dar es Salaam Kamishna Jenerali wa Uhamiaji Dkt. Anna Makakala baada ya uzinduzi wa mfumo wa uhakiki kwa kutumia njia ya kielekroniki amesema mfumo huo ni rahisi na unatoa fursa kwa waajiri na wageni wote wenye vibali vya...
10 years ago
Mtanzania19 Feb
Raia wa kigeni wakamatwa na madini JNIA
Na Ruth Mnkeni, Dar es Salaam
RAIA wa kigeni wanaofanya biashara haramu ya madini wamekamatwa na madini yenye thamani ya Dola za Marekani 113,807.11 sawa Sh milioni 641.853 katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA).
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Mkurugenzi wa Fedha na Utawala wa TMAA, Bron Mteta alisema watu hao walikamatwa katika matukio 27 tofauti huku wakiwa na madini ya aina mbalimbali.
Alisema miongoni mwa matukio hayo ni pamoja na lile la...
11 years ago
BBCSwahili31 Jan
Msako dhidi ya raia wa kigeni Kenya
10 years ago
Habarileo17 Oct
Raia wa kigeni wafa hotelini Dar
WATU sita wameaga dunia jijini Dar es Salaam wakiwemo raia wawili wa kigeni ambao wamekutwa wamekufa chumbani kwao na miili yao ikiwa haina jeraha lolote.