Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Msako dhidi ya raia wa kigeni Kenya

Polisi nchini Kenya wamewakamata mamia ya raia wa kigeni mjini Nairobi huku msako mkali ukifanywa dhidi ya watu wanaoshukiwa kuwa nchini humo kinyume na sheria.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Ubaguzi dhidi ya raia wa Kigeni Afrika Mashariki kwa hofu ya virusi

Huku maambukizi ya Corona yakiendelea kuongezeka Afrika, hofu ya janga hili linalokumba dunia limepelekea ubaguzi dhidi ya raia wa kigeni Afrika Mashariki.

 

10 years ago

Michuzi

BREAKING NEWZZZZZ: idara ya uhamiaji yaendelea kucharuka, yamzuia raia wa netherlands kuingia nchini kwa kujihusisha na kusafrisha kimazabe raia wa kigeni

 Bw. Shirwan Naseh, raia wa Netherlands  mwenye asili ya Iraq aliyezuiliwa kuingia nchini na kupigwa pigwa PI na Idara ya Uhamiaji



 

11 years ago

BBCSwahili

Raia wa kigeni wauawa Afghanistan

Takriban watu 15 wameuawa mjini Kabul baada ya mlipuaji wa kujitoa mhanga kushambulia mkahawa unaopendwa na raia wa kigeni

 

10 years ago

Mtanzania

Raia wa kigeni wakamatwa na madini JNIA

Na Ruth Mnkeni, Dar es Salaam
RAIA wa kigeni wanaofanya biashara haramu ya madini wamekamatwa na madini yenye thamani ya Dola za Marekani 113,807.11 sawa Sh milioni 641.853 katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA).
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Mkurugenzi wa Fedha na Utawala wa TMAA, Bron Mteta alisema watu hao walikamatwa katika matukio 27 tofauti huku wakiwa na madini ya aina mbalimbali.
Alisema miongoni mwa matukio hayo ni pamoja na lile la...

 

10 years ago

Habarileo

Raia wa kigeni wafa hotelini Dar

WATU sita wameaga dunia jijini Dar es Salaam wakiwemo raia wawili wa kigeni ambao wamekutwa wamekufa chumbani kwao na miili yao ikiwa haina jeraha lolote.

 

5 years ago

Bongo5

Raia wa kigeni nchini wapewa siku 90

Idara ya Uhamiaji nchini Tanzania imetoa siku 90 kwa wageni kufanya uhakiki wa vibali vya ukazi ili kuimarisha udhibiti wa wageni wanaoishi nchini pamoja na kuzuia mianya ya upotevu wa maduhui ya serikali.

Anna Makakala, Kamishna Jenerali wa Uhamiaji
Akizungumza jijini Dar es Salaam Kamishna Jenerali wa Uhamiaji Dkt. Anna Makakala baada ya uzinduzi wa mfumo wa uhakiki kwa kutumia njia ya kielekroniki amesema mfumo huo ni rahisi na unatoa fursa kwa waajiri na wageni wote wenye vibali vya...

 

10 years ago

Habarileo

Raia wa kigeni chachu ya vitendo vya kihuni

Mbunge wa Jimbo la Simanjiro, Christopher ole SendekaMJI wa Mirerani uliopo wilayani Simanjiro mkoani Manyara unadaiwa kuvamiwa na raia wa nje wanaotuhumiwa kuendesha vitendo vya kihuni.

 

10 years ago

Dewji Blog

Raia wa kigeni na utalii ndani ya Mlima Kilimanjaro

DSC00047(1)

Baadhi ya wageni kundi la  KJIYA 7 kutoka Hispania wakiwa ndani ya geti la KINAPA wakijiandikisha kuanza kupanda Mlima Kilimanjaro kama walivyokutwa na kamera ya matukio mkoani Kilimanjaro.(Picha na Mahmoud Ahmad -Kinapa).

 

 

10 years ago

Mwananchi

Raia wa kigeni wadaiwa kuchaguliwa kuwa wenyeviti wa vijiji

Dodoma.Wabunge wanaotoka mikoa ya mipakani wamelalamikia kuhusiana na watu wasio rai kupiga kura na kuchaguliwa katika chaguzi kinyume cha sheria.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani