Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAFANYAKAZI WA BENKI YA NMB MOSHI WAJITOKEZA KATIKA ZOEZI LA USAFI.

Meneja wa Benki ya NMB tawi la Moshi,Emanuel Kishosha akishiriki na wafanyakazi wenzake katika zoezi la kufanya usafi katika maeneo ya uwanja wa michezo wa King George.  Meneja wa NMB,Emanuel Kishosha akisukuma tololi kuzoa taka. Wafanyakazi wa Benki ya NMB,wakiwa katika picha ya pamoja na mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro,Amosi Makala pamoja na Mbunge wa jimbo la Moshi mjini (kushoto) mara baada ya kumaliza kufanya usafi katika uwanja wa michezo wa King George.Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO,AMOS MAKALLA ASHIRIKI KIFUNGUA KINYWA NA WAFANYAKAZI PAMOJA NA WATEJA WA BENKI YA NMB TAWI LA NELSON MANDELA-MOSHI

Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, Amos  Makalla leo asubuhi ameshiriki kifungua kinywa na wafanyakazi na wateja waNMB Tawi la Moshi na kuipongeza benki ya NMB kwa kuwa benki 10 bora Afrika mashariki, benki inayoongoza kwa kuwa na matawi mengi nchini, benki inayoongoza kwa kutengeneza faida na kusaidia jamii, benki ya riba na gharama nafuu nchini na benki yenye  huduma bora kwa wateja nchini.


Pamoja na mafanikio hayo ameishauri benki hiyo kuendelea kuwa wabunifu wa bidhaa na kuendeleza huduma bora...

 

9 years ago

Dewji Blog

Wafanyakazi NMB waifanyia usafi Hospitali ya Sinza, Palestina

Mmoja wa wafanyakazi wa Benki ya NMB, Waziri Barnabas (tatu kushoto) ambaye ni Ofisa Mkuu wa Kitengo cha Fedha wa Benki ya NMB, akimkabidhi Mganga Msaidizi Hospitali Sinza Parestina, Dk. Faith Mdee (wa tatu kulia) baadhi ya vifaa vya usafi ili vibaki vikitumika kusaidia zoezi la usafi katika hospitali hiyo. Baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya NMB wanaoishi Sinza na maeneo jirani wakijipanga kuanza kufanya usafi katiki Hospitali ya Sinza, Palestina ikiwa ni kuitikia mwito wa Rais Dk. John...

 

9 years ago

Michuzi

Wafanyakazi NMB Waifanyia Usafi Hospitali ya Sinza, Parestina jijini Dar.

Mmoja wa wafanyakazi wa Benki ya NMB, Waziri Barnabas (tatu kushoto) ambaye ni Ofisa Mkuu wa Kitengo cha Fedha wa Benki ya NMB, akimkabidhi Mganga Msaidizi Hospitali Sinza Parestina, Dk. Faith Mdee (wa tatu kulia) baadhi ya vifaa vya usafi ili vibaki vikitumika kusaidia zoezi la usafi katika hospitali hiyo.  Baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya NMB wakishirikiana na wafanyakazi wa Hospitali ya Sinza Parestina wakifanya usafi maeneo anuai ya hospitali hiyo ikiwa ni kuitikia mwito wa Rais Dk....

 

11 years ago

Michuzi

mnuso wa wafanyakazi wa mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Moshi

Mkurugenzi wa mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Moshi(MUWSA)Mhandisi Cyprian Luhemeja akizungumza katika sherehe ya wajumbe wa bodi na wafanyakazi wa mamlaka hiyo. Mjumbe wa bodi ya wakurugenzi wa mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Moshi,Hajira Mmambe akizungumza na wafanyakazi wa mamlaka hiyo (Hawako pichani) Mjumbe wa bodi ya wakurugenzi wa mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Moshi,Elizabeth Minde akizungumza na wafanyakazi wa mamlaka...

 

9 years ago

Michuzi

Wafanyakazi Benki ya NMB washerehekea 'Family Day'

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NMB, Ineke Bussemaker (kushoto) akimkabidhi kikombe mmoja wa washindi katika mchezo wa kuogelea kwenye maadhimisho ya Siku ya Familia iliyofanyika Kunduchi Wet 'n' Wild Water Park ya Jijini Dar es Salaam jana. Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NMB, Ineke Bussemaker (kushoto) akimkabidhi kikombe mmoja wa washindi katika mchezo wa kuogelea kwenye maadhimisho ya Siku ya Familia iliyofanyika Kunduchi Wet 'n' Wild Water Park ya Jijini Dar es Salaam jana....

 

5 years ago

Michuzi

Wafanyakazi wa Benki ya NMB Waisaidia Hospitali ya Ocean Road

Benki ya NMB wakati wote inaamini katika kugusa na kubadili maisha ya wanajamii, ushiriki wa Wafanyakazi katika programu za kuisaidia jamii umeongezeka maradufu ukichangiwa zaidi na ari waliyonayo kutaka kupunguza changamoto na kero zilizopo kwenye jamii inayowazunguka na wanayoihudumia.Kaimu Meneja wa NMB Kanda ya Dar es Salaam, Seka Urio (kushoto) akimkabidhi vifaa vya Hospitali Kaimu Mkurugenzi wa Tiba wa Taasisi ya Ocean Road , Dk. Asafu Munema ikiwa ni michango ya wafanyakazi wa Benki...

 

11 years ago

Michuzi

BENKI YA NMB YADHAMINI MKUTANO MKUU WA MAKAMANDA WA POLISI MOSHI

BENKI ya NMB imetoa kiasi cha shilingi milioni 75, kudhamini mkutano mkuu wa siku sita wa Maafisa wa Jeshi la Polisi nchini unaoendelea katika chuo cha taaluma ya Jeshi la Moshi (MPA), Mkoani Kilimanjaro.   Mkutano huo ambao unajumuisha makamishna, makamanda wa mikoa ya Tanzania bara na Visiwani pamoja na maafisa wakuu waandamizi wa Jeshi hilo kutoka Makao makuu, ulizinduliwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Mhe.Pereira Sirima.   Akizungumza katika uzinduzi huo, Meneja wa NMB, kanda ya...

 

9 years ago

Michuzi

BALOZI ZOKA AWAONGOZA MAAFISA WA UBALOZI KATIKA ZOEZI LA USAFI WA MAZINGIRA

Balozi wa Tanzania nchini Canada, Mhe. Jack Mugendi Zoka akifanya usafi nje ya ofisi yake mjini Ottawa, ikiwa ni sehemu ya kutekeleza agizo la Mhe. Rais Dk. John Pombe Magufuli la kufanya usafi siku ya maadhimisho ya miaka 54 ya Uhuru wa Tanzania.Balozi wa Tanzania nchini Canada, Balozi Jack Mugendi Zoka, akiwa pamoja na maafisa wa Ubalozi wakitekeleza kwa vitendo agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli la kusherehekea Sikukuu ya Uhuru na Kazi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani