Wafanyakazi NMB Waifanyia Usafi Hospitali ya Sinza, Parestina jijini Dar.
![](http://1.bp.blogspot.com/-Tes8G59CHIk/VmfzVfTKEmI/AAAAAAAAFps/t86A9C1AMbM/s72-c/IMG_0148.jpg)
Mmoja wa wafanyakazi wa Benki ya NMB, Waziri Barnabas (tatu kushoto) ambaye ni Ofisa Mkuu wa Kitengo cha Fedha wa Benki ya NMB, akimkabidhi Mganga Msaidizi Hospitali Sinza Parestina, Dk. Faith Mdee (wa tatu kulia) baadhi ya vifaa vya usafi ili vibaki vikitumika kusaidia zoezi la usafi katika hospitali hiyo.
Baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya NMB wakishirikiana na wafanyakazi wa Hospitali ya Sinza Parestina wakifanya usafi maeneo anuai ya hospitali hiyo ikiwa ni kuitikia mwito wa Rais Dk....
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog09 Dec
Wafanyakazi NMB waifanyia usafi Hospitali ya Sinza, Palestina
![](http://1.bp.blogspot.com/-Tes8G59CHIk/VmfzVfTKEmI/AAAAAAAAFps/t86A9C1AMbM/s640/IMG_0148.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-x0uOVXjB4Lk/VmfzUMCHS8I/AAAAAAAAFoA/VROu1eVtwSM/s640/IMG_0129.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-SU11xMyg3Lw/VXHqgznO-iI/AAAAAAAHcZY/HuG4rqvn9jY/s72-c/unnamedss1.jpg)
wafanyakazi wa Hoteli ya Dar es Salaam Serena waadhimisha siku ya mazingira kwa kufanya usafi maeneo ya barabara jijini dar
Akiongea mara baada ya zoezi hilo la usafi mkurugenzi mkuu wa masoko wa hoteli hiyo ndugu Seraphin Lusala aliwashukuru wafanyakazi wa hoteli hiyo kwa kushiriki katika zoezi hilo la kufanya usafi wa mazingira ili kuonyesha mfano kwa jamii kwamba uchafuzi wa mazingira haukubaliki na...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-9H4qzsRmOgg/VmiSTP_vvrI/AAAAAAAILSY/Rs0sOkICLzc/s72-c/picha%2Bno.3.jpg)
WAFANYAKAZI WA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII WAFANYA USAFI MAENEO MBALIMBALI JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-9H4qzsRmOgg/VmiSTP_vvrI/AAAAAAAILSY/Rs0sOkICLzc/s640/picha%2Bno.3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-95kqMR8lgEU/VmiSOV25w9I/AAAAAAAILR8/X2OMnGTqlAk/s640/Picha%2Bno.%2B4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-3RCsCH-4hWY/VmiSOo9GjGI/AAAAAAAILSA/1KldodrMqKw/s640/Picha%2Bno.%2B2.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-OntVWxrCG9s/VmkoGZM3oAI/AAAAAAAAYOM/LFQ0-reorJc/s72-c/IMG_0560%2B%25281024x683%2529.jpg)
WAFANYAKAZI WA BENKI YA NMB MOSHI WAJITOKEZA KATIKA ZOEZI LA USAFI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-OntVWxrCG9s/VmkoGZM3oAI/AAAAAAAAYOM/LFQ0-reorJc/s640/IMG_0560%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-MH-1zf6nUGM/VmkpVE6HgWI/AAAAAAAAYR8/KYEsfInPIc4/s640/IMG_1027%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-0OLVUwj7IGI/VmkpF9FIItI/AAAAAAAAYRE/NYITp018Gd8/s640/IMG_0771%2B%25281024x683%2529.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-5RXR3NvMiw0/U5392ogdL3I/AAAAAAAFq3g/E2pM6icn0dg/s72-c/unnamed+(59).jpg)
Wana Njia Panda washiriki kufanya usafi katika Hospitali ya Amana jijini Dar es salaam
![](http://3.bp.blogspot.com/-5RXR3NvMiw0/U5392ogdL3I/AAAAAAAFq3g/E2pM6icn0dg/s1600/unnamed+(59).jpg)
Mtangazaji wa Kipindi cha Redio cha Njia Panda kinachorushwa na Clouds FM Dkt. Isack Maro akizungumza na mwandishi wa habari wa Zanzibar Media Bi. Sophia Kingimali wakatika wa zoezi la usafi katika Hospilali ya Amana iliyopo Ilala, jana jijini Dar es Salaam. Wananjiapanda wamejitolea kufanya shughuli za usafi katika Hospitali hiyo ikiwa ni kutoa mchango wao kwa jamii inayowazunguka.
![](http://1.bp.blogspot.com/-itKkrvfERUY/U5394jwQkMI/AAAAAAAFq20/5odHgJiJFNc/s1600/unnamed+(65).jpg)
9 years ago
Michuzi09 Dec
WAFANYAKAZI HOSPITALI YA MUHIMBILI WAFANYA USAFI
![VE1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/VE1.jpg)
![VE2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/VE2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JXe827GjW24/XvGW-KFhB4I/AAAAAAAEH-c/1ZeKE1CHl_YGuufaNQmkBFTJ_y9hQ8GBACLcBGAsYHQ/s72-c/image002.jpg)
Wafanyakazi wa Benki ya NMB Waisaidia Hospitali ya Ocean Road
![](https://1.bp.blogspot.com/-JXe827GjW24/XvGW-KFhB4I/AAAAAAAEH-c/1ZeKE1CHl_YGuufaNQmkBFTJ_y9hQ8GBACLcBGAsYHQ/s640/image002.jpg)
9 years ago
Dewji Blog09 Dec
Wafanyakazi wa kituo cha mafuta cha Puma cha Uwanja wa Ndege jijini Dar Es Salaam watekeleza agizo la Rais kwa kufanya usafi
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Mafuta cha Puma cha Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Brown Francis akishiriki kufanya usafi katika kituo hicho ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Rais Dk.John Magufuli kuwa maadhimisho ya Siku ya Uhuru 2015 yatumike kwa kufanya usafi nchini kote.
Meneja wa Kituo hicho, Shadrack Mwamaso naye akishiriki kufanya usafi.
Hapa usafi ukiendelea.
Hapa ni kazi usafi ukifanyika.
Ni kama anaongea ‘Ngoja nikazitupe taka taka hizi eneo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XkRrFz4ymKkXjxb27jdW9-WzoyL7yA*Y7peCKPAb2H2JR3fwK9uuCypElmYME7-lLZWdRrIF9Dp6uj4baq77HO*PZZZPiKy1/WEZI5.jpg?width=640)
MAJAMBAZI WAKAMATWA WAKITAKA KUIBA KATIKA BENKI YA NMB TAWI LA SINZA-MORI, DAR