CHAMA CHA WAANDISHI MTWARA CHAENDESHA ZOEZI LA USAFI NA KUPANDA MITI KATIKA HOSPITALI YA MKOA HUO

Mwandishi wa habari wa Mwananchi Communication,Haika Kimaro(kushoto) pamoja na Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Matina Nkurlu wakishiriki kufanya usafi katika hospitali ya mkoa wa Mtwara. Ambapo chama cha waandishi wa habari cha mkoa huo kwa kushirikia na Vodacom Tanzania na vijana waliohadhirika na madawa ya kulevya vilianda shughuli hiyo na kupanda miti 10 kuzunguka hospitali hiyo.… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM AONGOZA UPANDAJI MITI MABWEPANDE KATIKA MAADHIMISHO YA WIKI YA KUPANDA MITI
10 years ago
Michuzi.jpg)
MKOA WA KAGERA WAADHIMISHA SIKU YA KUPANDA MITI KITAIFA WILAYANI ‘MISSENYI MISITU NI MALI PANDA MITI'
.jpg)
Maadhimisho hayo yaliyoongozwa na mgeni rasmi Naibu Katibu Mkuu Celestine Gesimba kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii ambapo maadhimisho hayo yalianzia katika Kijiji cha Bugolola eneo la...
11 years ago
Dewji Blog06 Jun
Wizara ya Uchukuzi yaadhimisha wiki ya Mazingira Duniani kwa kufanya usafi na kupanda Miti Bandarini
Mkurugenzi wa Idara ya Usalama na Mazingira wa Wizara ya Uchukuzi, Bi, Tumpe Mwaijande (kulia), akipanda mti katika eneo la bandari ya Dar es Salaam jana, kama sehemu ya maadhimisho ya Wiki ya Mazingira. Maadhimisho ya Wiki ya Mazingira yanafanyika kitaifa mkoani Mwanza ambapo kwa mwaka huu kauli mbiu ni ‘Tunza mazingira ili kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi Tanzania’.
Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Rasilimali Watu wizara ya Uchukuzi, Bw. Issa Nchasi, akifanya usafi katika eneo...
10 years ago
Michuzi.jpg)
MKOA WA NJOMBE WAADHIMISHA SIKU YAKE YA KUPANDA MITI 10 JANUARI
.jpg)
Wananchi wa Mkoa wa Njombe wametakiwa kupanda miti kibiashara ili hatimaye kuongeza kipato katika familia zao. Wameagizwa pia kuitunza miti wanayoipanda na kusubiri ifikie umri wa kuvunwa ndipo ikatwe.
Maagizo hayo yametolewa na Mkuu wa Mkoa wa Njombe Dr. Rehema Nchimbi (pichani) jana tarehe 10 Januari 2015 alipozungumza kama Mgeni Rasmi katika maadhimisho ya Siku ya Taifa ya Kupanda Miti katika ngazi ya Mkoa.
Katika maadhimisho hayo ambayo mwaka huu yalifanyika wilayani Makete jumla ya miti...
11 years ago
Michuzi
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AZINDUA WIKI YA MAZINGIRA DUNIANI KWA KUPANDA MITI KATIKA KAMBI YA KIKOSI CHA JESHI LA KUJENGA TAIFA RUVU



11 years ago
MichuziWIZARA YA UCHUKUZI YAADHIMISHA SIKU YA MAZINGIRA KWA KUFANYA USAFI NA KUPANDA MITI YA KUZUIA MMOMOMYOKO WA ARDHI KWENYE ENEO LA BANDARI YA DAR ES SALAAM LEO
9 years ago
Michuzi
UVCCM MKOA WA KIGOMA WAFANYA USAFI HOSPITALI YA MKOA NA KUWAFARIJI WAGONJWA.



Mbunge wa viti maalum kupitia umoja wa vijana Zainabu Katibu akiwafariji watoto waliolazwa katika hospitali ya Mkoa wa Kigoma
Na Editha Karlo wa blog ya jamii, KigomaUmoja wa vijana wa chama cha Mapinduzi Mkoa wa Kigoma(UVCCM) wamefanya usafi katika hospitali ya Mkoa wa Kigoma (Maweni) sambamba na kuwafariji wagonjwa waliolazwa katika wodi mbalimbali hospitalini hapo.
Akiongea na waandishi wa habari...
11 years ago
Michuzi
KUFUATIA MUAMKO HAFIFU WA UCHANGIAJI DAMU MKOANI RUKWA KUTOKANA NA DHANA POTOFU ZILIZOPO, MADAKTARI WAONYESHA MFANO KWA KUCHANGIA DAMU KATIKA HOSPITALI KUU YA MKOA HUO

11 years ago
Michuzi.jpg)
chama cha wataanzania waishio ufaransa wasaidi kufanya usafi ubalozini katika kuadhimisha NYERERE DAY
.jpg)
.jpg)
.jpg)