UVCCM MKOA WA KIGOMA WAFANYA USAFI HOSPITALI YA MKOA NA KUWAFARIJI WAGONJWA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-jpFC0iTzfdY/VmaqRu5fqaI/AAAAAAAIK38/NVjl0Rox_gI/s72-c/e5cf66ab-3923-4961-bdaa-b48b06852339.jpg)
Baadhi ya wanachama wa UVCCM Mkoa wa Kigoma wakifanya usafi katika hospital ya mkoa wa kigoma.
Mbunge wa viti maalum kupitia umoja wa vijana Zainabu Katibu akiwafariji watoto waliolazwa katika hospitali ya Mkoa wa Kigoma
Na Editha Karlo wa blog ya jamii, KigomaUmoja wa vijana wa chama cha Mapinduzi Mkoa wa Kigoma(UVCCM) wamefanya usafi katika hospitali ya Mkoa wa Kigoma (Maweni) sambamba na kuwafariji wagonjwa waliolazwa katika wodi mbalimbali hospitalini hapo.
Akiongea na waandishi wa habari...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-WuRcYrz_WC0/VmgFNixtZeI/AAAAAAAABPE/q_nhmwT5uxo/s72-c/IMG_20151209_094857.jpg)
WAFANYAKAZI WA NURU FM 93.5 IRINGA WAFANYA USAFI HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA IRINGA KUMUUNGA MKONO RAIS DKT.MAGUFULI
![](http://3.bp.blogspot.com/-WuRcYrz_WC0/VmgFNixtZeI/AAAAAAAABPE/q_nhmwT5uxo/s640/IMG_20151209_094857.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-d5nb5p4lo8Y/VmgGArjVQ3I/AAAAAAAABP0/G96NDXp7hoo/s640/IMG_20151209_095033.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qXzQPNeFbEI/VmgGflq4QUI/AAAAAAAABQU/Pq0c_mofV2M/s640/IMG_20151209_100256.jpg)
9 years ago
StarTV05 Sep
Wagonjwa hospitali ya mkoa Singida watumia mashuka yao
Wagonjwa wanaolazwa katika hospitali ya mkoa wa Singida wapo hatarini kupata maambukizi ya magonjwa mengine kutokana na kutumia mashuka wanayotoa nyumbani na kujifunika bila kuyafanyia usafi suala ambali ni kinyume na taratibu na kanuni za afya.
Hii ni kutokana na Hospitali hiyo kuwa na mashuka 235 pekee kati ya 2,500 yanayohitajika, kiwango ambacho ni chini ya asilimia 10 ya mahitaji hivyo kuulazimu uongozi kutoa ruksa kwa kila mgonjwa anayelazwa kwenda na shuka lake.
Wagonjwa mbalimbali...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/F-9RLDKjng-Y00nt7psopFF3eRA3DtOcjSRUH7l0ABGvtZ0MJ4xKcDjWkB4d8Owzz7yo*KPBgqPUVHNFrK*FA11h6nj20vsa/001.MTWARA.jpg?width=750)
CHAMA CHA WAANDISHI MTWARA CHAENDESHA ZOEZI LA USAFI NA KUPANDA MITI KATIKA HOSPITALI YA MKOA HUO
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Gwauval1voc/U6LQQRJw4lI/AAAAAAAFrtY/iMN2kv1DR2M/s72-c/unnamed+(2).jpg)
NICE & LOVELY MISS TANGA 2014 WAFANYA USAFI OFISI YA MKUU WA MKOA TANGA
![](http://4.bp.blogspot.com/-Gwauval1voc/U6LQQRJw4lI/AAAAAAAFrtY/iMN2kv1DR2M/s1600/unnamed+(2).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-yV436Qx_Lfw/U6LQVDt_48I/AAAAAAAFrtg/4T7j87GsFAc/s1600/unnamed+(3).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-_fvF8g0djMo/U6LQVCmDiqI/AAAAAAAFrtk/Q3n9n9OUSuo/s1600/unnamed+(4).jpg)
10 years ago
Michuzi21 Aug
BARAZA LA VIJANA UVCCM MKOANI ARUSHA WALAKUTANA KUMJADILI NAIBU KATIBU UVCCM MKOA HUO
![???????????????????????????????](http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/08/ccm-4-robinson1.jpg?w=300&h=225)
Mwenyekiti UVCCM mkoa wa Arusha Robinson Meitinyiku akitoa taarifa ya ufafanuzi kwa waandishi wa habari juu ya taarifa za upotoshaji zilizotolewa na baadhi ya vyombo vya habari na baadhi ya viongozi wa UVCCM mkoani hapa. Ambao Mkutano huo ulitanguliwa na Kikao cha Baraza la UVCCM Mkoa wa Arusha waliaofikiana kutoa maamuzi juu ya mgogoro wao na Kaimu Katibu wa UVCCM Mkoa wa Arusha Gerald Mwadalu anayetuhumiwa kufunga ofisi na matumizi mabaya ya fedha za umoja huo.
![???????????????????????????????](http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/08/ccm-6.jpg?w=300&h=225)
Katibu wa UVCCM wilaya ya...
10 years ago
VijimamboMKUU WA WILAYA YA MBEYA AONGOZA CHAKULA CHA HISANI KUCHANGIA UJENZI WA NJIA ZA KUPITISHIA WAGONJWA HOSPITALI YA MKOA WA MBEYA.
MKUU wa wilaya ya Mbeya Dk. Norman Sigallah King, juzi usiku aliwaongoza wakazi wa Jiji la Mbeya kwenye chakula cha hisani ya kuchangia ujenzi wa njia za kupitishia wagonjwa katika Hospitali ya Mkoa wa Mbeya.
Mwenyekiti wa Kamati ya Marafiki wa Hospitali ya Mkoa wa Mbeya, Oleais Senga, Akimkaribisha mgeni rasmi
Baadhi ya wananchi waliohudhuria hafla hiyo
Subilaga Mwambeta Mkurugenzi AJ Technology moja ya wachangiaji wakubwa wa marafiki wa hospitali ya mkoa Mbeya
Lyimo M.L Meneja Beaco Resort
9 years ago
Michuzi09 Dec
WAFANYAKAZI HOSPITALI YA MUHIMBILI WAFANYA USAFI
![VE1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/VE1.jpg)
![VE2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/VE2.jpg)
10 years ago
GPLMAKAMU WA RAIS MHE. DKT. BILAL AWATEMBELEA NA KUWAFARIJI WAZEE WAASISI WA MKOA WA KASKAZINI UNGUJA
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10