MDAU WA MAZINGIRA ASIKITISHWA NA NAMNA USAFI UNAVYOFANYWA JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-OMPXF0YuhG8/Vco2YoYA3eI/AAAAAAAHwHQ/fhhyzauB16E/s72-c/unnamed%2B%252831%2529.jpg)
Ankal,Leo nimeshuhudia kitu kimoja ambacho hakikunipendeza hata kidogo na nimeona bora nikiongelee kwa vile ni hatarishi kwa mazingira yetu.Picha hii inaonyesha mdada mwenye t-shirt ya kijani ambaye alikuwa anafanya usafi hapo kwenye maeneo ya junction ya AHM na Barak Obama roads. Wakati sisi tunasubiri kuitwa na trafiki kipindi cha asubuhi, nimemshuhudia dada huyo akisafisha na kuzisukumiza taka ndani ya huo mtaro wa pembeni. Kwenye hizo takataka alizosukumiza ndani ya huo mtaro ilikuwepo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi26 Nov
Zoezi la Usafi wa Mazingira Kuwa Endelevu Jijini Dar es Salaam
Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam, Mhe. Said Meck Sadiki amesema zoezi la usafi wa mazingira litakalofanyika siku ya Maadhimisho ya Uhuru wa Tanzania Bara tarehe 9 Desemba, litakuwa ni endelevu kwa mkoa wa Dar es Salaam hata baada ya kumalizika kwa maadhimisho hayo.
Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa Awamu ya Tano. Mhe. Dkt John Pombe Joseph Magufuli aliagiza kuwa Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Tanzania Bara mwaka huu yatumike kwa kufanya usafi wa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-SU11xMyg3Lw/VXHqgznO-iI/AAAAAAAHcZY/HuG4rqvn9jY/s72-c/unnamedss1.jpg)
wafanyakazi wa Hoteli ya Dar es Salaam Serena waadhimisha siku ya mazingira kwa kufanya usafi maeneo ya barabara jijini dar
Akiongea mara baada ya zoezi hilo la usafi mkurugenzi mkuu wa masoko wa hoteli hiyo ndugu Seraphin Lusala aliwashukuru wafanyakazi wa hoteli hiyo kwa kushiriki katika zoezi hilo la kufanya usafi wa mazingira ili kuonyesha mfano kwa jamii kwamba uchafuzi wa mazingira haukubaliki na...
10 years ago
Dewji Blog01 Jun
Hotel ya DoubleTree By Hilton ya Jijini Dar yafanya usafi wa mazingira yanayoizunguka hotel hiyo
10 years ago
GPLBEACON AFRICA KUFANYA KAMPENI YA USAFI WA MAZINGIRA DAR
9 years ago
Dewji Blog10 Dec
Wafanyakazi TBL washiriki usafi wa mazingira Dar, Arusha na Mwanza
Wafanyakazi wa kiwanda Bia tawi la Arusha wakifanya usafi eneo la kituo kikuu cha mabasi jijini Arusha kuitikia wito wa Rais Dk John Magufuli kufanya usafi wakati wa maadhimisho ya ya Uhuru wa Tanganyika.
Baadhi ya wafanyakazi wa kampuni ya Bia Tanzania wakishiriki zoezi la kufanya usafi katika maeneo ya Mchikichini Ilala jijini Dar es Salaam ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya Uhuru ambapo kwa mwaka huu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.John Magufuli ameitangaza kuwa siku...
9 years ago
Mwananchi10 Dec
Makandarasi Dar matatani kwa kushindwa kufanya usafi wa mazingira
11 years ago
MichuziWIZARA YA UCHUKUZI YAADHIMISHA SIKU YA MAZINGIRA KWA KUFANYA USAFI NA KUPANDA MITI YA KUZUIA MMOMOMYOKO WA ARDHI KWENYE ENEO LA BANDARI YA DAR ES SALAAM LEO
9 years ago
Dewji Blog06 Dec
TAMISEMI yaendelea kuhamasisha suala la usafi jijini Dar es Salaam
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Kagyabukama Kiliba (wa tatu kutoka kushoto) akiwa na baadhi ya viongozi wa mkoa wa Dar es salaam na Halmashauri ya Wilaya ya Ilala wakiwasili eneo la soko la Feri jijini Dar es salaa kujionea hali ya usafi wa soko hilo.
Baadhi ya wahudumu wakiendelea na usafi eneo la soko la Feri jijini Dar es salaa huku Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Kagyabukama...
10 years ago
GPLMDAU SOPHIA NYANGASHA AADHIMISHA SIKU YAKE YA KUZALIWA JIJINI DAR