Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MDAU SOPHIA NYANGASHA AADHIMISHA SIKU YAKE YA KUZALIWA JIJINI DAR

Mwishoni mwa wiki iliyopita, Oktoba 4, 2014 ilikuwa ni sherehe ya kuadhimisha siku ya kuzaliwa  kwa mwanadada Sophia Nyangasha ambaye ni mfanyakazi wa Airtel Tanzania (Kulia mwenye nguo nyeupe) ambapo hafla hiyo fupi iliweza kufana ndani ya Kiota cha Maraha cha High Spirit Lounge jijini Dar. Shangwe za marafiki katika hafla hiyo.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Sophia Nyagasha aadhimisha siku yake ya kuzaliwa Jijini Dar

Mwishoni mwa wiki iliyopita ilikuwa ni sherehe ya kuazimisha siku ya kuzaliwa Oktoba 4, 2014 kwa mwanadada Sophia Nyagasha ambaye ni mfanyakazi wa Airtel Tanzania (Kulia mwenye nguo nyeupe) ambapo hafla hiyo fupi iliweza kufana ndani ya Kiota cha Maraha cha High Spirit Lounge iliyopo jijini Dar.

Shangwe za marafiki katika hafla hiyo.

Wapendanao nao walikuwepo.

Ilikuwa ni furaha maana wafanyakazi wa Airtel Tanzania walipokutana pamoja kumpongeza mwenzao.

IMG_0396

Shampeni ikigawiwa.

 

10 years ago

Vijimambo

SOPHIA ASHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA KWENYE MGAHAWA WA SAPHIRE NEW YORK

Sophia mkazi wa DMV akiwa ndani ya mgahawa wa Saphire uliopo Harlem, Lenox New York siku ya Jumamosi Desemba 13, 2014 aliposherehekea siku yake ya kuzaliwa ndani ya jiji la wasiolala.Sophia(kulia) akiwa na ndugu zake siku ya Jumamosi Desemba 13, 2014 alipokua jiji la wasiolala kusherehekea siku yake ya kuzaliwa.Sophia akiwa ndani ya mgahawa wa Saphire uliopo Harlem, Lenox New York akisherehekea siku yake ya kuzaliwa.  Sophia akipata picha ya pamoja na BahiaKutoka kushoto ni Issa, Farida,...

 

11 years ago

Michuzi

PINDA AFUNGUA MKUTANO WA PACF- BAGAMOYO, AADHIMISHA SIKU YA KUZALIWA

  Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama dawa mbali mbali  zilizotengenezwa kwa kutumia Karafuu kabla ya kufungua  mkutano wa Pan African Competitiveness  Forum (PACF)  kwenye hoteli ya Stella Maris mjini Bagamoyo leo Agosti 13, 2014. Kulia ni Waziri wa Sayansi na Tekinolojia  Profesa Makame Mbarawa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akizungumza na Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mwantumu  Mahiza (kushoto) na Waziri wa Sayansi na Tekinoloji, Profesa  Makame Mbarawa baada ya kufungua Mkutano wa Mwaka wa  Pan...

 

10 years ago

Dewji Blog

Leo ni siku ya kuzaliwa ya mdau Othman Michuzi

Napenda Kuchukua Fursa hii Kumshukuru Mwenyezi Mungu Mwingi wa Rehma na Mwenye Kurehemu kwa kunijaalia Uhai na afya njema hadi kufikia siku hii ya leo,ambapo ninayo furaha kubwa sana kwa kuongeza namba moja katika umri wangu,kwani bila yeye hakuna kitu chochote kinachoweza kufanyika.

pia nitakuwa ni mchoyo wa Fadhila iwapo sitotoa shukrani za kipekee kwa ndugu zangu woote (wakiwemo wazazi wangu wawili, Ankal Issa Michuzi, Ahmad Michuzi, Karim Michuzi, Ramadhan Michuzi, Ismail Michuzi,...

 

9 years ago

Michuzi

MAMA SHEKHA NASSER ASHEREKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA NA WANAWAKE WAJASIRIAMALI WA JIJI LA DAR ES SALAAM

Mama Shekha Nasser Akikata Keki ikiwa ni kuadhimisha  siku yake ya kuzaliwa.Mama Shekha Nasser aliamua kusherehekea siku yake ya kuzaliwa kwa kula mlo wa jioni pamoja na wafanyakazi wake wote wakiwa na washiriki wa Manjano Dream-makers. 

Ikiwa ni utamaduni wa kampuni yake kufanya sherehe ya kuuaga mwaka alitumia kuadhimisha  siku yake ya kuzaliwa pamoja na wanawake Wajasiriamali wa Taasisi yake aliyoianzisha ya Manjano Foundation ambayo amewawezesha kwa kuwapa mafunzo ya ujasiriamali...

 

10 years ago

Michuzi

Mdau Anne Kivembele alamba Nondozz yake katika Chuo Kikuu Huria jijini Dar

Mdau Anne Kivembele ambaye ni Mhariri na Mchanganya picha wa Kituo cha Televisheni cha ITV akiwa kapozi kwa picha mara baada ya kulamba nondozz yake ya Uzamili ya Uchumi na Maendeleo ya Jamii katika Chuo Kikuu Huria jijini Dar es Salaam,mwishoni mwa wiki iliyopita. Mdau Anne Kivembele akiwa na marafiki zake mara baada ya kulamba Nondooz zao katika Chuo Kikuu Huria,jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

Dewji Blog

Leo Mei 3 ni siku ya kuzaliwa mdau Mh.Shy rose Bhanji, hongera sana

IMG-20140504-WA0009Mh. Shy rose Bhanji  ambaye leo Mei 3, ametimiza miaka kadhaa. Happy Birthday  Shy rose.

Na Andrew Chale, Modewji blog

Leo ni siku muhimu kwa mdau mkubwa wa Mo blog,  Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Mh. Shy Rose Bhanji  ambaye ametimiza miaka yake kadhaa katika ulimwengu huu Mei 3, 2015.

Mtandao  huu wa Modewji blog unamtakia kila lakheri katika haarakaati zake mbalimbali za ujenzi wa Taifa na Dunia kwa ujumla. Hongera sana ‘Happy Birthday’  ‘Happy Birthday Shy rose.

11193429_836337136403159_7495161636993222906_nMy birthday wish...

 

10 years ago

Dewji Blog

Dkt. Bilal ashiriki sherehe za maadhimisho ya siku ya kuzaliwa mwanzilishi wa uskauti duniani, jijini Dar

1.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akivishwa Skafu na Kamishna Mkuu wa Skauti Tanzania,  Abdulkarim Shah (kulia) na Kiongozi wa Skauti, wakati alipowasili kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam, jana Feb 21, 2015 kwa ajili ya kuhudhuria sherehe za maadhimisho ya Siku ya kuzaliwa Mwanzilishi wa Uskauti Duniani, Lord Rebert Stevenson Smyth Baden-Powell. (Picha na OMR).

2.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed...

 

10 years ago

Bongo Movies

Lulu Amzawadia Nyumba Mama Yake Kwenye Siku Yake ya Kuzaliwa

Mrembo na mwigizaji wa filamu, Elizabeth Michael, ‘Lulu’siku ya jana alimfanyia sherehe mama yake mzazi kwa kufikisha miaka 45 ya kuzaliwa ilyofanyika  kwenye hoteli ya Great Wall, Masaki ambapo mastaa kadhaa wa hapa bongo walihudhuria sherehe hiyo ambapo inadaiwa kuwa mbali kuandaa sherehe hizo mwanadada Lulu alimzawadia jumba mama yake ambayo inasemekana ipo Kimara hapa jijini Dar.

Hii ni kwa mijibu wa mwigizaji Flora Mvungi “H mama”ambae ni moja kati ya mastaa kadhaa waliohudhuria...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani