MDAU SOPHIA NYANGASHA AADHIMISHA SIKU YAKE YA KUZALIWA JIJINI DAR
Mwishoni mwa wiki iliyopita, Oktoba 4, 2014 ilikuwa ni sherehe ya kuadhimisha siku ya kuzaliwa  kwa mwanadada Sophia Nyangasha ambaye ni mfanyakazi wa Airtel Tanzania (Kulia mwenye nguo nyeupe) ambapo hafla hiyo fupi iliweza kufana ndani ya Kiota cha Maraha cha High Spirit Lounge jijini Dar. Shangwe za marafiki katika hafla hiyo.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog07 Oct
Sophia Nyagasha aadhimisha siku yake ya kuzaliwa Jijini Dar
Mwishoni mwa wiki iliyopita ilikuwa ni sherehe ya kuazimisha siku ya kuzaliwa Oktoba 4, 2014 kwa mwanadada Sophia Nyagasha ambaye ni mfanyakazi wa Airtel Tanzania (Kulia mwenye nguo nyeupe) ambapo hafla hiyo fupi iliweza kufana ndani ya Kiota cha Maraha cha High Spirit Lounge iliyopo jijini Dar.
Shangwe za marafiki katika hafla hiyo.
Wapendanao nao walikuwepo.
Ilikuwa ni furaha maana wafanyakazi wa Airtel Tanzania walipokutana pamoja kumpongeza mwenzao.

Shampeni ikigawiwa.
10 years ago
Vijimambo
SOPHIA ASHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA KWENYE MGAHAWA WA SAPHIRE NEW YORK





11 years ago
Michuzi.jpg)
PINDA AFUNGUA MKUTANO WA PACF- BAGAMOYO, AADHIMISHA SIKU YA KUZALIWA
.jpg)
.jpg)
10 years ago
Dewji Blog02 Mar
Leo ni siku ya kuzaliwa ya mdau Othman Michuzi

Napenda Kuchukua Fursa hii Kumshukuru Mwenyezi Mungu Mwingi wa Rehma na Mwenye Kurehemu kwa kunijaalia Uhai na afya njema hadi kufikia siku hii ya leo,ambapo ninayo furaha kubwa sana kwa kuongeza namba moja katika umri wangu,kwani bila yeye hakuna kitu chochote kinachoweza kufanyika.
pia nitakuwa ni mchoyo wa Fadhila iwapo sitotoa shukrani za kipekee kwa ndugu zangu woote (wakiwemo wazazi wangu wawili, Ankal Issa Michuzi, Ahmad Michuzi, Karim Michuzi, Ramadhan Michuzi, Ismail Michuzi,...
9 years ago
Michuzi
MAMA SHEKHA NASSER ASHEREKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA NA WANAWAKE WAJASIRIAMALI WA JIJI LA DAR ES SALAAM

Ikiwa ni utamaduni wa kampuni yake kufanya sherehe ya kuuaga mwaka alitumia kuadhimisha siku yake ya kuzaliwa pamoja na wanawake Wajasiriamali wa Taasisi yake aliyoianzisha ya Manjano Foundation ambayo amewawezesha kwa kuwapa mafunzo ya ujasiriamali...
10 years ago
Michuzi
Mdau Anne Kivembele alamba Nondozz yake katika Chuo Kikuu Huria jijini Dar



10 years ago
Dewji Blog03 May
Leo Mei 3 ni siku ya kuzaliwa mdau Mh.Shy rose Bhanji, hongera sana
Mh. Shy rose Bhanji ambaye leo Mei 3, ametimiza miaka kadhaa. Happy Birthday Shy rose.
Na Andrew Chale, Modewji blog
Leo ni siku muhimu kwa mdau mkubwa wa Mo blog, Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Mh. Shy Rose Bhanji ambaye ametimiza miaka yake kadhaa katika ulimwengu huu Mei 3, 2015.
Mtandao huu wa Modewji blog unamtakia kila lakheri katika haarakaati zake mbalimbali za ujenzi wa Taifa na Dunia kwa ujumla. Hongera sana ‘Happy Birthday’ ‘Happy Birthday Shy rose.
My birthday wish...
10 years ago
Dewji Blog22 Feb
Dkt. Bilal ashiriki sherehe za maadhimisho ya siku ya kuzaliwa mwanzilishi wa uskauti duniani, jijini Dar
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akivishwa Skafu na Kamishna Mkuu wa Skauti Tanzania, Abdulkarim Shah (kulia) na Kiongozi wa Skauti, wakati alipowasili kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam, jana Feb 21, 2015 kwa ajili ya kuhudhuria sherehe za maadhimisho ya Siku ya kuzaliwa Mwanzilishi wa Uskauti Duniani, Lord Rebert Stevenson Smyth Baden-Powell. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed...
10 years ago
Bongo Movies02 Jan
Lulu Amzawadia Nyumba Mama Yake Kwenye Siku Yake ya Kuzaliwa
Mrembo na mwigizaji wa filamu, Elizabeth Michael, ‘Lulu’siku ya jana alimfanyia sherehe mama yake mzazi kwa kufikisha miaka 45 ya kuzaliwa ilyofanyika kwenye hoteli ya Great Wall, Masaki ambapo mastaa kadhaa wa hapa bongo walihudhuria sherehe hiyo ambapo inadaiwa kuwa mbali kuandaa sherehe hizo mwanadada Lulu alimzawadia jumba mama yake ambayo inasemekana ipo Kimara hapa jijini Dar.
Hii ni kwa mijibu wa mwigizaji Flora Mvungi “H mama”ambae ni moja kati ya mastaa kadhaa waliohudhuria...