Sophia Nyagasha aadhimisha siku yake ya kuzaliwa Jijini Dar
Mwishoni mwa wiki iliyopita ilikuwa ni sherehe ya kuazimisha siku ya kuzaliwa Oktoba 4, 2014 kwa mwanadada Sophia Nyagasha ambaye ni mfanyakazi wa Airtel Tanzania (Kulia mwenye nguo nyeupe) ambapo hafla hiyo fupi iliweza kufana ndani ya Kiota cha Maraha cha High Spirit Lounge iliyopo jijini Dar.
Shangwe za marafiki katika hafla hiyo.
Wapendanao nao walikuwepo.
Ilikuwa ni furaha maana wafanyakazi wa Airtel Tanzania walipokutana pamoja kumpongeza mwenzao.
![IMG_0396](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/IMG_0396.jpg)
Shampeni ikigawiwa.
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMDAU SOPHIA NYANGASHA AADHIMISHA SIKU YAKE YA KUZALIWA JIJINI DAR
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-koSx2at3t04/VI2TDM3T8WI/AAAAAAADR2E/vktVFfVYnmc/s72-c/sophia%2B13.jpg)
SOPHIA ASHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA KWENYE MGAHAWA WA SAPHIRE NEW YORK
![](http://2.bp.blogspot.com/-koSx2at3t04/VI2TDM3T8WI/AAAAAAADR2E/vktVFfVYnmc/s1600/sophia%2B13.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-T5vYBUU3jYg/VI2RNI_v_lI/AAAAAAADR1g/sSt0i6hrnrE/s1600/sophia%2B8.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9rbzP8ky3oI/VI2RKOXbR3I/AAAAAAADR0o/iMKNfs4y4WU/s1600/Sophia%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-h79jAC2F-rg/VI2RKA84GgI/AAAAAAADR0g/7y8ih5Zfohg/s1600/Sophia%2B11.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-n3c_XxNcb2o/VI2RKvnJb-I/AAAAAAADR08/IISJRVPCkQ4/s1600/Sophia.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-MUZCjLpdsL0/U-teKPFz_XI/AAAAAAAF_MQ/4zT_EVG73-U/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
PINDA AFUNGUA MKUTANO WA PACF- BAGAMOYO, AADHIMISHA SIKU YA KUZALIWA
![](http://1.bp.blogspot.com/-MUZCjLpdsL0/U-teKPFz_XI/AAAAAAAF_MQ/4zT_EVG73-U/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-oL5spiwjpiA/U-teJKUz3UI/AAAAAAAF_MM/C-u1-2vFhoY/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-63rH2pkEg94/Vm1czhDU-hI/AAAAAAAAIag/JUcFvCXVC5s/s72-c/0d3d983d-b935-46f7-adc6-f3ac0c76c4ec.jpg)
MAMA SHEKHA NASSER ASHEREKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA NA WANAWAKE WAJASIRIAMALI WA JIJI LA DAR ES SALAAM
![](http://4.bp.blogspot.com/-63rH2pkEg94/Vm1czhDU-hI/AAAAAAAAIag/JUcFvCXVC5s/s640/0d3d983d-b935-46f7-adc6-f3ac0c76c4ec.jpg)
Ikiwa ni utamaduni wa kampuni yake kufanya sherehe ya kuuaga mwaka alitumia kuadhimisha siku yake ya kuzaliwa pamoja na wanawake Wajasiriamali wa Taasisi yake aliyoianzisha ya Manjano Foundation ambayo amewawezesha kwa kuwapa mafunzo ya ujasiriamali...
10 years ago
Dewji Blog22 Feb
Dkt. Bilal ashiriki sherehe za maadhimisho ya siku ya kuzaliwa mwanzilishi wa uskauti duniani, jijini Dar
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akivishwa Skafu na Kamishna Mkuu wa Skauti Tanzania, Abdulkarim Shah (kulia) na Kiongozi wa Skauti, wakati alipowasili kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam, jana Feb 21, 2015 kwa ajili ya kuhudhuria sherehe za maadhimisho ya Siku ya kuzaliwa Mwanzilishi wa Uskauti Duniani, Lord Rebert Stevenson Smyth Baden-Powell. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed...
10 years ago
Bongo Movies02 Jan
Lulu Amzawadia Nyumba Mama Yake Kwenye Siku Yake ya Kuzaliwa
Mrembo na mwigizaji wa filamu, Elizabeth Michael, ‘Lulu’siku ya jana alimfanyia sherehe mama yake mzazi kwa kufikisha miaka 45 ya kuzaliwa ilyofanyika kwenye hoteli ya Great Wall, Masaki ambapo mastaa kadhaa wa hapa bongo walihudhuria sherehe hiyo ambapo inadaiwa kuwa mbali kuandaa sherehe hizo mwanadada Lulu alimzawadia jumba mama yake ambayo inasemekana ipo Kimara hapa jijini Dar.
Hii ni kwa mijibu wa mwigizaji Flora Mvungi “H mama”ambae ni moja kati ya mastaa kadhaa waliohudhuria...
10 years ago
CloudsFM03 Feb
PETIT MAN AMFANYIA ‘’SURPRISE’DADA YAKE DIAMOND KWENYE SIKU YAKE YA KUZALIWA
Meneja wa msanii wa Bongo Fleva,Mirror,Petit Man kutoka kampuni ya Endless Fame chini yake Wema Sepetu jana alimfanyia Surprise mke wake ambaye ni dada yake aitwaye Esma Platinumz kwa kumzawadia zawadi ya gari kwenye sherehe yake ya kuzaliwa iliyofanyika Samaki Samaki maeneo ya Masaki.
Katika Sherehe iliyohudhuliwa na mastaa kibao akiwemo Wema Sepetu,Petit Man wakati akimzawadia mke wake huyo hakuamini na kuanza kulia kwa furaha.
Kupitia Instagram Esma aliandika hivi....Thank u my husband for...
9 years ago
MichuziWAHINDU WAADHIMISHA SIKU YA KUZALIWA MUNGU WAO MDOGO MWENYE DARAJA KUBWA WAMUWEKA BAHARINI JIJINI DAR ES SALAAM
Mungu huyo hufanyiwa sherehe baada ya kufanyika kwa ibada ya siku tisa ambapo siku yake ya kuzaliwa alipelekwa baharini kwaajili ya kuungana na Mungu wa kike walio kwenye mito mitatu mitakatifu iliyopo nchini India ambayo ni Sarasgad, Amba na Raigad.
Sherehe hizo zilianza kwa ibada...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-mZF3gMeSFpw/VhWX3k-AgeI/AAAAAAAH9gE/kJHF4KSKmis/s72-c/hb2.jpg)
JK ASHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA NA WAJUKUU
![](http://3.bp.blogspot.com/-mZF3gMeSFpw/VhWX3k-AgeI/AAAAAAAH9gE/kJHF4KSKmis/s640/hb2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9nyGk1LZxy4/VhWYyD2G1JI/AAAAAAAH9g8/1tc5zQx64yk/s640/hb3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-upfQJLV-QMY/VhWZKBFYW_I/AAAAAAAH9hU/qDD8_TCm2-8/s640/hb4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-fwDVhxLt46o/VhWZgzejnAI/AAAAAAAH9hc/xkNp5jsur54/s640/hb5.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-cAvmJS0zLoE/VhWZ1TyavCI/AAAAAAAH9hs/xj56jVnK9HA/s640/hb7.jpg)