WAHINDU WAADHIMISHA SIKU YA KUZALIWA MUNGU WAO MDOGO MWENYE DARAJA KUBWA WAMUWEKA BAHARINI JIJINI DAR ES SALAAM
Na Dotto MwaibaleWATANZANIA wenye asili ya India wa dhehebu la Hindu (Baniani), leo wameadhimisha siku ya kuzaliwa kwa Mungu wa mdogo wa kiume mwenye daraja kubwa (Ganpati Bappa Morya) na mwenye sura ya tembo.
Mungu huyo hufanyiwa sherehe baada ya kufanyika kwa ibada ya siku tisa ambapo siku yake ya kuzaliwa alipelekwa baharini kwaajili ya kuungana na Mungu wa kike walio kwenye mito mitatu mitakatifu iliyopo nchini India ambayo ni Sarasgad, Amba na Raigad.
Sherehe hizo zilianza kwa ibada...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-ggewrTbaYew/VOBUZc0MTTI/AAAAAAAAP6w/Retbl5r_FbE/s72-c/3.jpg)
JUMUIYA YA DAWOOD BOHRA, TANZANIA WAADHIMISHA SIKU YA KUZALIWA KIONGOZI WAO
![](http://3.bp.blogspot.com/-ggewrTbaYew/VOBUZc0MTTI/AAAAAAAAP6w/Retbl5r_FbE/s640/3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-SU11xMyg3Lw/VXHqgznO-iI/AAAAAAAHcZY/HuG4rqvn9jY/s72-c/unnamedss1.jpg)
wafanyakazi wa Hoteli ya Dar es Salaam Serena waadhimisha siku ya mazingira kwa kufanya usafi maeneo ya barabara jijini dar
Akiongea mara baada ya zoezi hilo la usafi mkurugenzi mkuu wa masoko wa hoteli hiyo ndugu Seraphin Lusala aliwashukuru wafanyakazi wa hoteli hiyo kwa kushiriki katika zoezi hilo la kufanya usafi wa mazingira ili kuonyesha mfano kwa jamii kwamba uchafuzi wa mazingira haukubaliki na...
9 years ago
Dewji Blog10 Oct
Posta waadhimisha Siku ya Posta Duniani jijini Dar es Salaam
Wafanyakazi na wadau wa Shirika la Posta nchini (TPC), wa ndani na nje ya nchi wakiwa katika Kongamano la Maadhimisho ya Siku ya Posta Duniani kwenye jengo la Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania (TCRA), jijini Dar es Salaam jana. Maadhimisho hayo, huadhimishwa duniani kote Oktoba 9. (Picha zote na Kassim Mbarouk- www.bayana.blogspot.com)
Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano wa Shirika la Posta Tanzania (TPC), Elia Madulesi (kulia), akiteta jambo na mmoja wa Maofisa wa shirika hilo, wakati...
10 years ago
Dewji Blog18 Mar
Mtoto mdogo wa Kitanzania mwenye IQ kubwa huyu hapa
Na Andrew Chale wa modewji blog
Huenda umesikia mengi juu ya watu wenye uwezo mkubwa wa kiakili na ufahamu hasa wa mambo ama IQ kubwa.
Kwa Tanzania mtoto mwenye IQ kubwa kwa ni Mtoto Nice Valentino mwenye umri wa miaka 3, (Pichani) ameweza kuonesha uwezo mkubwa wa kukariri mambo.
kwa mujibu wa kituo cha Cloud FM cha Tanzania, kimenukuu maelezo kadhaa ikiwemo ya Baba wa mtoto huyo, alieleza kuwa, mtoto huyo alianza kuonesha uwezo tokea akiwa na miezi sita (mtoto mchanga) kwa kufanya vitu...
10 years ago
MichuziSOS WAADHIMISHA SIKU YA KUZALIWA KWA MWANZILISHI WA VIJIJI VYA WATOTO DUNIANI
Akizungumza na leo katika maadhimisho ya kuezi kuzaliwa kwa mwanzilishi Vijiji vya Watoto SOS,Herman Gmeiner,Mkurugenzi wa Kijiji cha SOS,Anglolwisye Mwollo-ntalima,amesema kuwa kila juni 23 kila mwaka wanaadhimisho kuzaliwa kwa Gmeiner.Mwollo-ntalima amesema kuwa kutokana na mwanzilishi huyo kwa sasa Rais wa SOS ni mtu aliyetokana na...
11 years ago
Habarileo12 Apr
Mvua kubwa, mawimbi baharini kutikisa siku 4
MAMLAKA ya Hali ya Hewa (TMA) imetoa tahadhari ya kuwepo vipindi vya mvua kubwa, upepo mkali na mawimbi makubwa baharini kwa siku nne mfululizo.
10 years ago
MichuziUN Tanzania Waadhimisha Siku ya Kimataifa ya Maadhimisho ya Wahanga wa Maangamizi Makuu ya Moto dhidi ya Wayahudi Jijini Dar leo
10 years ago
Dewji Blog07 Oct
Sophia Nyagasha aadhimisha siku yake ya kuzaliwa Jijini Dar
Mwishoni mwa wiki iliyopita ilikuwa ni sherehe ya kuazimisha siku ya kuzaliwa Oktoba 4, 2014 kwa mwanadada Sophia Nyagasha ambaye ni mfanyakazi wa Airtel Tanzania (Kulia mwenye nguo nyeupe) ambapo hafla hiyo fupi iliweza kufana ndani ya Kiota cha Maraha cha High Spirit Lounge iliyopo jijini Dar.
Shangwe za marafiki katika hafla hiyo.
Wapendanao nao walikuwepo.
Ilikuwa ni furaha maana wafanyakazi wa Airtel Tanzania walipokutana pamoja kumpongeza mwenzao.
![IMG_0396](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/IMG_0396.jpg)
Shampeni ikigawiwa.
10 years ago
GPLMDAU SOPHIA NYANGASHA AADHIMISHA SIKU YAKE YA KUZALIWA JIJINI DAR