Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtoto mdogo wa Kitanzania mwenye IQ kubwa huyu hapa

10247290_791221147626346_6602541928733584586_n

Na Andrew Chale wa modewji blog

Huenda umesikia mengi juu ya watu wenye uwezo mkubwa wa kiakili na ufahamu hasa wa mambo ama IQ kubwa.

Kwa Tanzania mtoto mwenye IQ kubwa kwa  ni Mtoto Nice Valentino mwenye umri wa miaka 3, (Pichani) ameweza kuonesha uwezo mkubwa wa kukariri mambo.

kwa mujibu wa kituo cha Cloud FM cha Tanzania, kimenukuu maelezo kadhaa ikiwemo ya Baba  wa mtoto huyo, alieleza  kuwa, mtoto huyo alianza kuonesha uwezo tokea akiwa na miezi sita (mtoto mchanga) kwa kufanya vitu...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

GRACE MAGORI MTOTO WA KITANZANIA MWENYE KIPAJI CHA KUIMBA AZIDI KUPAA DMV

Mtoto Grace Magori mwenye umri wa miaka 12 ambaye yupo 6 grade (darasa la 6) Columbia, Maryland mchini Marekani anazidi kupaa baada ya siku ya Jumamosi Novemba 15, 20`14 kuimba kwenye onyesho lililobeba jina la "Studio Recital" katika uimbaji huo ambo Grace Magori ndio mtoto pekee aliyeimba nyimbo alizoandika na kuzitengeneza yeye mwenyewe. Watoto wengine waliokuwepo kwenye onesho hilo ni  Jack Zhao aliyeimba wimbo wa mahadhi ya Kihindi, Cindy Zhao aliyeimba wimbo wa Willie and Tillie- Swan...

 

9 years ago

Michuzi

WAHINDU WAADHIMISHA SIKU YA KUZALIWA MUNGU WAO MDOGO MWENYE DARAJA KUBWA WAMUWEKA BAHARINI JIJINI DAR ES SALAAM

Na Dotto MwaibaleWATANZANIA wenye asili ya India wa dhehebu la Hindu (Baniani), leo wameadhimisha siku ya kuzaliwa kwa Mungu wa mdogo wa kiume mwenye daraja kubwa (Ganpati Bappa Morya) na mwenye sura ya tembo.
Mungu huyo hufanyiwa sherehe baada ya kufanyika kwa ibada ya siku tisa ambapo siku yake ya kuzaliwa alipelekwa baharini kwaajili ya kuungana na Mungu wa kike walio kwenye mito mitatu mitakatifu iliyopo nchini India ambayo ni Sarasgad, Amba na Raigad.
Sherehe hizo zilianza kwa ibada...

 

11 years ago

GPL

POLISI WA KIKE ANAYEDAIWA KUIBA MTOTO, HUYU HAPA!

Stori: Mwandishi Wetu, Mbeya SIKU chache baada ya kukamatwa kwa askari wa Jeshi la Polisi aliyefahamika kwa jina la Prisca Kilwai mwenye namba WP 5367 na picha yake kudaiwa ‘kuminyiwa’ na askari wenzake ili isionekane, hatimaye Ijumaa Wikienda limeinasa. Mwanamama ambaye ni askari wa Jeshi la Polisi aliyefahamika kwa jina la Prisca Kilwai mwenye namba WP 5367 anayedaiwa kuiba mtoto wa jinsia ya kiume aliyefahamika...

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha: Huyu Hapa ‘Cookie’ Mtoto wa Aunty Ezekiel na Mose Iyobo

Staa wa Bongo movies, Aunty Ezekiel ame ‘share’ nasi  picha hii kwenye ukurasa wake mtandaoni akiwa na mzazi mwenzie, Mose Iyobo pamoja na mtoto wao waliompa jina la COOKIE

"La Family @cookie_la_princessa at hosp Sio kwa Ubusy huo looh! Watu na Cookie zao"-Aunty ameabika mara baada ya kubandika picha hiyo hapo juu.

Mzee wa Ubuyu

 

11 years ago

CloudsFM

YULE MTOTO ALIYEFUNGIWA KWENYE BOKSI MOROGORO HUYU HAPA AKIWA KATIKA HOSPITALI YA MUHIMBILI

Mtoto aliyekuwa amefichwa kwenye boksi mkoani Morogoro, Nasra Mvungi ambaye alikuwa amelazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Morogoro, amehamishiwa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), kwa uchunguzi zaidi.
Mganga Mkuu wa Hospitali ya Morogoro, Dk Godfrey Mtei alisema Nasra alipelekwa Muhimbili juzi usiku baada ya hali yake kutoridhisha.
Alisema afya ya Nasra ilibadilika ghafla juzi asubuhi na kushindwa kupumua vizuri, jambo lililowalazimu madaktari kumpeleka Muhimbili kwa gari maalumu la wagonjwa...

 

11 years ago

Bongo5

Tazama video mbili mpya za Diamond (Bum Bum na Mdogo Mdogo) hapa

Kama alivyoahidi, Diamond Platnumz ameachia video mbili za ngoma zake. Ya kwanza ni Mdogo Mdogo iliyoongozwa na Godfather na kufanyika Afrika Kusini na ya pili ni Bum Bum aliyomshirikisha Iyanya na kuongozwa na Mr Moe Musa nchini Uingereza. Zitazame hapa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani