Waziri Mkuu ataka zoezi la usafi liwe endelevu
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisafisha mtaro wa maji machafu kwenye soko kuu la Kariakoo jijini Dar es salaam Desemba 9, 2015. Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Meck Sadiki.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akielekea eneo la shimoni kwenye soko kuu la Kariakoo kufanya usafi Desemba 9, 2015.
Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akitoka eneo la shimoni kwenye soko kuu la Kariakoo kufanya usafi Desemba 9, 2015. Kulia kwake ni Mkuu wa wilaya ya Ilala, Raymond...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi26 Nov
Zoezi la Usafi wa Mazingira Kuwa Endelevu Jijini Dar es Salaam
Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam, Mhe. Said Meck Sadiki amesema zoezi la usafi wa mazingira litakalofanyika siku ya Maadhimisho ya Uhuru wa Tanzania Bara tarehe 9 Desemba, litakuwa ni endelevu kwa mkoa wa Dar es Salaam hata baada ya kumalizika kwa maadhimisho hayo.
Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa Awamu ya Tano. Mhe. Dkt John Pombe Joseph Magufuli aliagiza kuwa Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Tanzania Bara mwaka huu yatumike kwa kufanya usafi wa...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-2LbeyDfahtQ/Vmk6nOuz0II/AAAAAAAILVs/ss8ajQ4YfsY/s72-c/1db7d2af-5ad7-4591-9dc1-0a98fd6736cd.jpeg)
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi alivyoshiriki zoezi la usafi Lugalo, Jijini Dar
![](http://3.bp.blogspot.com/-2LbeyDfahtQ/Vmk6nOuz0II/AAAAAAAILVs/ss8ajQ4YfsY/s640/1db7d2af-5ad7-4591-9dc1-0a98fd6736cd.jpeg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-aUouuiz75bo/UvH_Z9GGGFI/AAAAAAAFK88/0RkS-2GqjGQ/s72-c/unnamed+(31).jpg)
OFISI YA WAZIRI MKUU KUANZA KUFANYA ZOEZI LA KUJIANDAA NA MAAFA
![](http://2.bp.blogspot.com/-aUouuiz75bo/UvH_Z9GGGFI/AAAAAAAFK88/0RkS-2GqjGQ/s1600/unnamed+(31).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/--F4vMGbTgw8/UvH_caGzmOI/AAAAAAAFK9E/AnHQA6ZjaS0/s1600/unnamed+(32).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-xxzamvlpIMs/UvH_d46FkhI/AAAAAAAFK9M/8PFdLk1Xd34/s1600/unnamed+(33).jpg)
9 years ago
MichuziWAZIRI MKUU, MAJLIWA AFANYA USAFI SOKO KUU LA KARIAKOO
11 years ago
Habarileo19 Feb
Wazee Dodoma wataka usafi uwe endelevu
WAZEE wa Mkoa wa Dodoma wametaka usafi unaofanyika kwenye maeneo mbalimbali mkoani humo uwe endelevu na si kwa wakati wa ugeni tu kama ilivyo sasa ambapo Bunge Maalum la Mabadiliko ya Katiba linapoendelea kuketi.
9 years ago
Dewji Blog29 Dec
Waziri Mkuu aitaka TPA kupitia upya zoezi la fidia kwa wananchi wa Kigoma
Wananchi wa Kata ya kibirizi mkoani Kigoma wakiwa na mabango yaliyolenga kumpa ujumbe Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuhusu fidia za ujenzi wa bandari. (Picha na Emmanuel Senny).
Wananchi wa Kata ya kibirizi mkoani Kigoma wakiwa na mabango yaliyolenga kumpa ujumbe Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuhusu fidia za ujenzi wa bandari.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa, akikagua soko jipya la samaki lililoko kata ya Kibirizi katika Manispaa ya Kigoma Ujiji baada ya...
10 years ago
BBCSwahili18 Feb
Waziri mkuu Ugiriki ataka aungwe mkono
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4i1w6W-bFmE/U7MBkgH5VuI/AAAAAAAFt_4/haAWClKy-xo/s72-c/images.jpg)
WAZIRI MKUU: OMBEENI TAIFA NA UCHAGUZI MKUU UJAO - Askofu Niwemugizi ataka UKAWA warudi bungeni mwezi ujao, asema siyo ombi
![](http://2.bp.blogspot.com/-4i1w6W-bFmE/U7MBkgH5VuI/AAAAAAAFt_4/haAWClKy-xo/s1600/images.jpg)
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amewaomba viongozi wa dini kote nchini na wananchi waungane pamoja ili kuombea uchaguzi mkuu wa viongozi wakuu wa Rais, wabunge na madiwani unaotarajiwa kufanyika mwakani.
Ametoa wito huo leo mchana (Jumanne, Julai mosi, 2014) wakati akizungumza na maelfu ya waumini na viongozi mbalimbali waliohudhuria ibada ya Jubilei ya miaka 25 ya Askofu Mkuu wa Jimbo Katoliki la Iringa, Mhashamu Tarsicius Ngalalekumtwa katika uwanja wa Kichangani wa Kanisa Kuu la Kihesa.
"Maaskofu...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-KlX-qr4GgsU/VlxiUl-0yKI/AAAAAAAIJUg/8pnoMtCZnys/s72-c/Asa%2BMwambene.jpg)
Watumishi wa Umma watakiwa kushiriki zoezi la usafi disemba 9
![](http://3.bp.blogspot.com/-KlX-qr4GgsU/VlxiUl-0yKI/AAAAAAAIJUg/8pnoMtCZnys/s400/Asa%2BMwambene.jpg)
Serikali imewaagiza watumishi wa umma kushiriki zoezi la usafi wa nchi litakalofanyika tarehe 9 disemba mwaka huu katika maeneo yao wanaoishi.
Agizo hilo limetolewa na Mkurugenzi wa Idara ya Habari Bw Assah Mwambene alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari leo jijin Dar es salaam na kusema kwamba Watumishi wa Umma wanatakiwa wabaki nyumbani na kufanya usafi katika maeneo yao na yale watakayo pangiwa na viongozi wa mitaa wanayoishi.
“Kila mwananchi ahakikishe...