Wazee Dodoma wataka usafi uwe endelevu
WAZEE wa Mkoa wa Dodoma wametaka usafi unaofanyika kwenye maeneo mbalimbali mkoani humo uwe endelevu na si kwa wakati wa ugeni tu kama ilivyo sasa ambapo Bunge Maalum la Mabadiliko ya Katiba linapoendelea kuketi.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi29 Apr
Ushirikiano huu wa ‘Ukawa’ uwe endelevu
11 years ago
Mwananchi31 Jul
Mradi wa gesi majumbani uwe endelevu
9 years ago
Mwananchi10 Dec
Moyo wa Watanzania kwa Rais uwe endelevu
10 years ago
Mwananchi25 Feb
Mchakato wa kuimulika Mamlaka ya Bandari uwe endelevu
9 years ago
Dewji Blog09 Dec
Waziri Mkuu ataka zoezi la usafi liwe endelevu
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisafisha mtaro wa maji machafu kwenye soko kuu la Kariakoo jijini Dar es salaam Desemba 9, 2015. Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Meck Sadiki.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akielekea eneo la shimoni kwenye soko kuu la Kariakoo kufanya usafi Desemba 9, 2015.
Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akitoka eneo la shimoni kwenye soko kuu la Kariakoo kufanya usafi Desemba 9, 2015. Kulia kwake ni Mkuu wa wilaya ya Ilala, Raymond...
9 years ago
Michuzi26 Nov
Zoezi la Usafi wa Mazingira Kuwa Endelevu Jijini Dar es Salaam
Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam, Mhe. Said Meck Sadiki amesema zoezi la usafi wa mazingira litakalofanyika siku ya Maadhimisho ya Uhuru wa Tanzania Bara tarehe 9 Desemba, litakuwa ni endelevu kwa mkoa wa Dar es Salaam hata baada ya kumalizika kwa maadhimisho hayo.
Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa Awamu ya Tano. Mhe. Dkt John Pombe Joseph Magufuli aliagiza kuwa Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Tanzania Bara mwaka huu yatumike kwa kufanya usafi wa...
9 years ago
Habarileo04 Jan
Wazee Bunda washerehekea mwaka mpya kwa usafi
WAZEE wa Kata ya Nyamuswa, wilaya ya Bunda, mkoani Mara, kupitia umoja wao ujulikanao kwa jina la Umoja wa Wazee wa Maendeleo Kata ya Nyamuswa, juzi walisherehekea mwaka mpya wa 2016 kwa kufanya usafi wa mazingira na kujenga chumba cha maiti katika Kituo cha Afya Ikizu.
10 years ago
Habarileo23 Jan
Wazee wataka mazuri ya Serikali yasemwe
MWENYEKITI mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dodoma, Pancras Ndejembi ametaka mazuri yaliyofanywa na serikali ambayo ni mengi yatangazwe.
10 years ago
VijimamboWAZEE WA CHAMA CHA CUF KISIWANI PEMBA WATAKA KUPEWA ELIMU YA KUPIGA KURA