Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wazee Dodoma wataka usafi uwe endelevu

WAZEE wa Mkoa wa Dodoma wametaka usafi unaofanyika kwenye maeneo mbalimbali mkoani humo uwe endelevu na si kwa wakati wa ugeni tu kama ilivyo sasa ambapo Bunge Maalum la Mabadiliko ya Katiba linapoendelea kuketi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Ushirikiano huu wa ‘Ukawa’ uwe endelevu

Bila shaka kila mwananchi anayeitakia mema nchi yetu amevutiwa na habari zilizochapishwa katika gazeti hili jana kwamba vyama vya siasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), vimeamua kushirikiana katika Uchaguzi Mkuu wa 2015 kwa kusimamisha mgombea mmoja katika nafasi ya urais, ubunge na udiwani.

 

11 years ago

Mwananchi

Mradi wa gesi majumbani uwe endelevu

Tangu ilipogundulika hazina kubwa ya gesi nchini miaka michache iliyopita, kumekuwapo na kauli nyingi kuhusu manufaa ambayo wananchi mmoja mmoja au nchi wataweza kupata kutokana na rasilimali hiyo.

 

9 years ago

Mwananchi

Moyo wa Watanzania kwa Rais uwe endelevu

Watanzania jana waliadhimisha miaka 54 ya Uhuru kwa kufanya usafi wa mazingira kwa lengo la kupambana na ugonjwa wa kipindupindu. Kwa mujibu wa takwimu  za  Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kwenda kwa Shirika la Afya  Duniani (WHO), kipindupindu kwa mwaka huu kimekuwa tishio nchini.

 

10 years ago

Mwananchi

Mchakato wa kuimulika Mamlaka ya Bandari uwe endelevu

Mwezi Agosti mwaka 2012, aliyekuwa Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe alibadili ghafla mwelekeo wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) kwa kuwasimamisha viongozi wote waandamizi.

 

9 years ago

Dewji Blog

Waziri Mkuu ataka zoezi la usafi liwe endelevu

IMGS4237

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisafisha mtaro wa maji machafu kwenye soko kuu la Kariakoo jijini Dar es salaam Desemba 9, 2015.  Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Meck Sadiki.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

IMGS4254

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akielekea eneo la shimoni kwenye soko kuu la Kariakoo kufanya usafi Desemba 9, 2015.

IMGS4277

Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akitoka eneo la shimoni kwenye soko kuu la  Kariakoo kufanya usafi Desemba 9, 2015. Kulia kwake ni Mkuu wa wilaya ya Ilala, Raymond...

 

9 years ago

Michuzi

Zoezi la Usafi wa Mazingira Kuwa Endelevu Jijini Dar es Salaam

Na Lilian Lundo-MAELEZO
Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam, Mhe. Said Meck Sadiki amesema zoezi la usafi wa mazingira litakalofanyika siku ya Maadhimisho ya Uhuru wa Tanzania Bara tarehe 9 Desemba, litakuwa ni endelevu kwa mkoa wa Dar es Salaam hata baada ya kumalizika kwa maadhimisho hayo.

Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa Awamu ya Tano. Mhe. Dkt John Pombe Joseph Magufuli aliagiza kuwa Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Tanzania Bara mwaka huu yatumike kwa kufanya usafi wa...

 

9 years ago

Habarileo

Wazee Bunda washerehekea mwaka mpya kwa usafi

WAZEE wa Kata ya Nyamuswa, wilaya ya Bunda, mkoani Mara, kupitia umoja wao ujulikanao kwa jina la Umoja wa Wazee wa Maendeleo Kata ya Nyamuswa, juzi walisherehekea mwaka mpya wa 2016 kwa kufanya usafi wa mazingira na kujenga chumba cha maiti katika Kituo cha Afya Ikizu.

 

10 years ago

Habarileo

Wazee wataka mazuri ya Serikali yasemwe

Pancras Ndejembi MWENYEKITI mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dodoma, Pancras Ndejembi ametaka mazuri yaliyofanywa na serikali ambayo ni mengi yatangazwe.

 

10 years ago

Vijimambo

WAZEE WA CHAMA CHA CUF KISIWANI PEMBA WATAKA KUPEWA ELIMU YA KUPIGA KURA

  Katibu Mkuu wa CUF Maalim Seif Sharif Hamad, akiwahutubia wazee wa CUF wa Wilaya nne za Pemba katika mkutano na wazee hao uliofanyika Ofisi za CUF Mkanjuni ChakeNaibu Katibu Mkuu wa CUF Zanzibar Nassor Ahmed Mazrui akizungumza kwenye mkutano huo. (picha na Salmin Said, OMKR).  Baadhi ya wazee wa CUF kisiwani Pemba wakieleza dukuduku lao mbele ya Katibu Mkuu Maalim Seif Sharif Hamad, huko Mkanjuni Chake Chake Pemba.
Baadhi ya wazee wa CUF kisiwani Pemba wakieleza dukuduku lao mbele ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani