Mchakato wa kuimulika Mamlaka ya Bandari uwe endelevu
Mwezi Agosti mwaka 2012, aliyekuwa Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe alibadili ghafla mwelekeo wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) kwa kuwasimamisha viongozi wote waandamizi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi29 Apr
Ushirikiano huu wa ‘Ukawa’ uwe endelevu
Bila shaka kila mwananchi anayeitakia mema nchi yetu amevutiwa na habari zilizochapishwa katika gazeti hili jana kwamba vyama vya siasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), vimeamua kushirikiana katika Uchaguzi Mkuu wa 2015 kwa kusimamisha mgombea mmoja katika nafasi ya urais, ubunge na udiwani.
11 years ago
Mwananchi31 Jul
Mradi wa gesi majumbani uwe endelevu
Tangu ilipogundulika hazina kubwa ya gesi nchini miaka michache iliyopita, kumekuwapo na kauli nyingi kuhusu manufaa ambayo wananchi mmoja mmoja au nchi wataweza kupata kutokana na rasilimali hiyo.
9 years ago
Mwananchi10 Dec
Moyo wa Watanzania kwa Rais uwe endelevu
Watanzania jana waliadhimisha miaka 54 ya Uhuru kwa kufanya usafi wa mazingira kwa lengo la kupambana na ugonjwa wa kipindupindu. Kwa mujibu wa takwimu za Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kwenda kwa Shirika la Afya Duniani (WHO), kipindupindu kwa mwaka huu kimekuwa tishio nchini.
11 years ago
Habarileo19 Feb
Wazee Dodoma wataka usafi uwe endelevu
WAZEE wa Mkoa wa Dodoma wametaka usafi unaofanyika kwenye maeneo mbalimbali mkoani humo uwe endelevu na si kwa wakati wa ugeni tu kama ilivyo sasa ambapo Bunge Maalum la Mabadiliko ya Katiba linapoendelea kuketi.
10 years ago
Mwananchi02 Nov
PAC yaikalia kooni Mamlaka ya Bandari
>Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imepokea ripoti ya ukaguzi maalumu uliofanywa na Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kuhusu Sh26 bilioni zinazotia shaka, ambazo ni matumizi yaliyofanywa na Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA).
10 years ago
MichuziUJUMBE WA TPA WATEMBELEA MAMLAKA YA BANDARI GHANA
Kwa sasa TPA inatekeleza miradi kadhaa ya kuongeza ufanisi kwa kutumia ICT, kuboresha Ulinzi kwa kufunga Mitambo ya kielektroniki na...
10 years ago
VijimamboMAMLAKA YA BANDARI KUJENGA MELI ZIWA NYASA
Na Saidi Mkabakuli, Kyela
Kufuatia adha ya usafiri wa majini inayowakabili wakazi waishio katika fukwe za Ziwa Nyasa, Mamlaka ya Bandari Tanzania kupitia kituo chake cha Kyela ipo mbioni kujenga meli ya abiria na mizigo ili kuwahudumia wakazi hao.
Hayo yaliwekwa bayana na Mkuu wa Bandari ya Kyela, Bw. Percival Ntetema wakati timu wakaguzi wa miradi ya maendeleo kutoka Ofisi ya Tume ya Mipango ilipotembelea na kukagua bandari za Itungi na Kiwira zilizopo wilaya ya Kyela, mkoani Mbeya.
Bw....
Kufuatia adha ya usafiri wa majini inayowakabili wakazi waishio katika fukwe za Ziwa Nyasa, Mamlaka ya Bandari Tanzania kupitia kituo chake cha Kyela ipo mbioni kujenga meli ya abiria na mizigo ili kuwahudumia wakazi hao.
Hayo yaliwekwa bayana na Mkuu wa Bandari ya Kyela, Bw. Percival Ntetema wakati timu wakaguzi wa miradi ya maendeleo kutoka Ofisi ya Tume ya Mipango ilipotembelea na kukagua bandari za Itungi na Kiwira zilizopo wilaya ya Kyela, mkoani Mbeya.
Bw....
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2pq6Wx7OwCc/VHVYQDC78AI/AAAAAAAGzck/6LxWKmN8CnE/s72-c/unnamed%2B(9).jpg)
MAMLAKA YA BANDARI KUJENGA MELI MPYA ZIWA NYASA
![](http://2.bp.blogspot.com/-2pq6Wx7OwCc/VHVYQDC78AI/AAAAAAAGzck/6LxWKmN8CnE/s1600/unnamed%2B(9).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-6Lo2LyK2Wcs/VHVYNtCTW9I/AAAAAAAGzbk/fl6mz5DcyDE/s1600/unnamed%2B(12).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ciOEscgBYB4/VHVYNIkGfEI/AAAAAAAGzbc/R9SokN-5kPw/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
10 years ago
VijimamboMAMLAKA YA BANDARI TANZANIA YAFUNGUA OFISI LUSAKA ZAMBIA
Tarehe 29 Juni 2015, Mamlaka ya Bandari Tanzania imefungua rasmi Ofisi nchini Zambia. Ofisi hizo zimefunguliwa katika Jiji la Lusaka.
Dhumuni kubwa la Mamlaka ya Bandari kufungua ofisi hii Lusaka ni baada ya kuwepo malalamiko kwa upande wa Zambia ambaye ni mteja wake mkubwa ya kuwepo ukiritimba wa utoaji wa mizigo yao. Hivyo Mamlaka ikaona ni vema kuja kufungua ofisi hapa Lusaka.
Sherehe za ufunguzi wa ofisi hii ulihudhuriwa na Mhe Dkt. Charles Tizeba Naibu Waziri wa Uchukuzi na viongozi...
Dhumuni kubwa la Mamlaka ya Bandari kufungua ofisi hii Lusaka ni baada ya kuwepo malalamiko kwa upande wa Zambia ambaye ni mteja wake mkubwa ya kuwepo ukiritimba wa utoaji wa mizigo yao. Hivyo Mamlaka ikaona ni vema kuja kufungua ofisi hapa Lusaka.
Sherehe za ufunguzi wa ofisi hii ulihudhuriwa na Mhe Dkt. Charles Tizeba Naibu Waziri wa Uchukuzi na viongozi...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania