PAC yaikalia kooni Mamlaka ya Bandari
>Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imepokea ripoti ya ukaguzi maalumu uliofanywa na Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kuhusu Sh26 bilioni zinazotia shaka, ambazo ni matumizi yaliyofanywa na Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi31 Oct
TFF yaikalia kooni Yanga
10 years ago
Mwananchi26 Dec
Kamati ya Bunge yaikalia kooni Tanapa
10 years ago
Mwananchi18 Feb
Ushauri wa PAC utainusuru Bandari Dar
10 years ago
Mtanzania16 Jan
PAC yaamuru vigogo Bandari wakatwe mishahara
Fredy Azzah
WATUMISHI wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), wamebainika kujilipa mamilioni ya posho kwa ajili ya safari kwa takribani miaka mitatu, bila kibali cha Msajili wa Hazina kama taratibu zinavyotaka.
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), imeagiza menejimenti ya TPA kuwakata mishahara wafanyakazi wote ambao kwa nyakati tofauti wamelipwa fedha hizo.
Mwenyekiti wa PAC, Zitto Kabwe alisema kwa safari za ndani ya nchi, TPA imekuwa ikilipa watumishi wake posho ya Sh...
10 years ago
Mwananchi25 Feb
Mchakato wa kuimulika Mamlaka ya Bandari uwe endelevu
10 years ago
VijimamboMAMLAKA YA BANDARI KUJENGA MELI ZIWA NYASA
Kufuatia adha ya usafiri wa majini inayowakabili wakazi waishio katika fukwe za Ziwa Nyasa, Mamlaka ya Bandari Tanzania kupitia kituo chake cha Kyela ipo mbioni kujenga meli ya abiria na mizigo ili kuwahudumia wakazi hao.
Hayo yaliwekwa bayana na Mkuu wa Bandari ya Kyela, Bw. Percival Ntetema wakati timu wakaguzi wa miradi ya maendeleo kutoka Ofisi ya Tume ya Mipango ilipotembelea na kukagua bandari za Itungi na Kiwira zilizopo wilaya ya Kyela, mkoani Mbeya.
Bw....
10 years ago
MichuziUJUMBE WA TPA WATEMBELEA MAMLAKA YA BANDARI GHANA
Kwa sasa TPA inatekeleza miradi kadhaa ya kuongeza ufanisi kwa kutumia ICT, kuboresha Ulinzi kwa kufunga Mitambo ya kielektroniki na...
10 years ago
VijimamboMAMLAKA YA BANDARI TANZANIA YAFUNGUA OFISI LUSAKA ZAMBIA
Dhumuni kubwa la Mamlaka ya Bandari kufungua ofisi hii Lusaka ni baada ya kuwepo malalamiko kwa upande wa Zambia ambaye ni mteja wake mkubwa ya kuwepo ukiritimba wa utoaji wa mizigo yao. Hivyo Mamlaka ikaona ni vema kuja kufungua ofisi hapa Lusaka.
Sherehe za ufunguzi wa ofisi hii ulihudhuriwa na Mhe Dkt. Charles Tizeba Naibu Waziri wa Uchukuzi na viongozi...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2pq6Wx7OwCc/VHVYQDC78AI/AAAAAAAGzck/6LxWKmN8CnE/s72-c/unnamed%2B(9).jpg)
MAMLAKA YA BANDARI KUJENGA MELI MPYA ZIWA NYASA
![](http://2.bp.blogspot.com/-2pq6Wx7OwCc/VHVYQDC78AI/AAAAAAAGzck/6LxWKmN8CnE/s1600/unnamed%2B(9).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-6Lo2LyK2Wcs/VHVYNtCTW9I/AAAAAAAGzbk/fl6mz5DcyDE/s1600/unnamed%2B(12).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ciOEscgBYB4/VHVYNIkGfEI/AAAAAAAGzbc/R9SokN-5kPw/s1600/unnamed%2B(11).jpg)