Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PAC yaamuru vigogo Bandari wakatwe mishahara

Pg 3 jan 16Fredy Azzah
WATUMISHI wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), wamebainika kujilipa mamilioni ya posho kwa ajili ya safari kwa takribani miaka mitatu, bila kibali cha Msajili wa Hazina kama taratibu zinavyotaka.
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), imeagiza menejimenti ya TPA kuwakata mishahara wafanyakazi wote ambao kwa nyakati tofauti wamelipwa fedha hizo.
Mwenyekiti wa PAC, Zitto Kabwe alisema kwa safari za ndani ya nchi, TPA imekuwa ikilipa watumishi wake posho ya Sh...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Ushauri wa PAC utainusuru Bandari Dar

Ushauri uliotolewa juzi na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), kwamba kuna umuhimu wa kujenga mabomba ya mafuta kutoka katika Bandari ya Dar es Salaam kuelekea mikoani ni wa kupongeza, ingawa umechelewa.

 

10 years ago

Mwananchi

PAC yaikalia kooni Mamlaka ya Bandari

>Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imepokea ripoti ya ukaguzi maalumu uliofanywa na Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kuhusu  Sh26 bilioni  zinazotia shaka, ambazo ni matumizi yaliyofanywa na Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA).

 

9 years ago

Mtanzania

Vigogo walivyotafuna Bandari

1>> Maofisa wafunguka waeleza jinsi ‘Wakubwa’ walivyotumia kampuni za mifukobi, vimemo kupitisha makontena

>> Faili la majina yao latua mikononi mwa Waziri Mkuu, malori yapungua barabarani

Na Waandishi Wetu

VIGOGO na watu wakubwa wenye ushawishi serikalini wakishirikiana na baadhi ya wafanyabiashara wametajwa katika orodha aliyokabidhiwa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, kama wahusika wakuu wa kupitisha kinyemela makontena takribani 2,780 na kukwepa kodi inayokadiriwa kuzidi Sh bilioni...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vigogo Bandari kizimbani

ALIYEKUWA Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari nchini (TPA), Ephraim Mgawe na naibu wake, Hamad Koshuma, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam...

 

11 years ago

Mwananchi

BAJETI 2014/2015: Kodi ya mishahara yapungua kiduchu, mishahara juu

>Kilio cha muda mrefu cha wafanyakazi nchini kutaka Kodi ya Mshahara (Paye), ipunguzwe hadi chini ya asilimia 10 kimekwama baada ya Serikali kupunguza kodi hiyo kwa asilimia moja.

 

11 years ago

Dewji Blog

Zanzibar kujengwa Bandari kubwa chini ya Kampuni ya Ujenzi wa Bandari ya Jamuhuri ya Watu wa China (CHEC)

119

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akisalimiana na Muwakilishi wa Kampuni ya Ujenzi wa Bandari ya China yenye Tawi la Ofisi yake Nchini Tanzania Bwana Xu Xinpei.

121

Muwakilishi wa Kampuni ya Kimataifa ya Ujenzi wa Bandari ya China Bwana Xu Xinpei akibadilishana mawazo na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif. Bwana Xu Xinpei ameelezea azma ya Kampuni yake kutaka kuwekeza katika sekta na Bandari na Hoteli ya Kimataifa ya Kitalii hapa Zanzibar.

006

Balozi wa Malawi...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Korti yaamuru maiti kufukuliwa

MGOGORO wa kugombea mwili wa marehemu, Stephen Assei (52) umechukua sura mpya baada ya askari polisi wenye silaha za moto wakiwemo askari kanzu kusimamia zoezi la ufukuaji wa kaburi na...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mahakama yaamuru Maiti ifukuliwe

MGOGORO wakugombea Mwili wa mzee Cleophas Senga (80) Mkazi wa Chanji, Wilayani hapa, mkoani Rukwa, umechukua sura mpya baada ya Jeshi la Polisi kufukua maiti ya mzee huyo kwa amri...

 

10 years ago

Habarileo

Mahakama yaamuru maiti afukuliwe

MAHAKAMA ya Ardhi na Nyumba Wilaya ya Arusha, imeamuru maiti aliyezikwa wiki iliyopita afukuliwe na kuzikwa eneo lingine katika Kijiji cha Ngaramtoni wilayani Arumeru, kutokana na mgogoro wa ardhi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani