Ushauri wa PAC utainusuru Bandari Dar
Ushauri uliotolewa juzi na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), kwamba kuna umuhimu wa kujenga mabomba ya mafuta kutoka katika Bandari ya Dar es Salaam kuelekea mikoani ni wa kupongeza, ingawa umechelewa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi02 Nov
PAC yaikalia kooni Mamlaka ya Bandari
10 years ago
Mtanzania16 Jan
PAC yaamuru vigogo Bandari wakatwe mishahara
Fredy Azzah
WATUMISHI wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), wamebainika kujilipa mamilioni ya posho kwa ajili ya safari kwa takribani miaka mitatu, bila kibali cha Msajili wa Hazina kama taratibu zinavyotaka.
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), imeagiza menejimenti ya TPA kuwakata mishahara wafanyakazi wote ambao kwa nyakati tofauti wamelipwa fedha hizo.
Mwenyekiti wa PAC, Zitto Kabwe alisema kwa safari za ndani ya nchi, TPA imekuwa ikilipa watumishi wake posho ya Sh...
10 years ago
MichuziKIVUKO CHA MV DAR ES SALAAM CHAWASILI KATIKA BANDARI YA DAR LEO ASUBUHI
10 years ago
Habarileo29 Mar
Nape: Ukweli utainusuru CCM isife
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimesema kama viongozi na wanachama watashindwa kuambiana ukweli juu ya mustakabali wa chama hicho, upo uwezekano mkubwa wa chama hicho kufa.
11 years ago
Mwananchi31 May
Uamuzi mgumu utainusuru Wami Mbiki inayoteketea-2
10 years ago
MichuziKAMATI YA PAC YAENDELEA NA KAZI YAKE LEO JIJINI DAR
11 years ago
Dewji Blog08 Apr
Zanzibar kujengwa Bandari kubwa chini ya Kampuni ya Ujenzi wa Bandari ya Jamuhuri ya Watu wa China (CHEC)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akisalimiana na Muwakilishi wa Kampuni ya Ujenzi wa Bandari ya China yenye Tawi la Ofisi yake Nchini Tanzania Bwana Xu Xinpei.
Muwakilishi wa Kampuni ya Kimataifa ya Ujenzi wa Bandari ya China Bwana Xu Xinpei akibadilishana mawazo na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif. Bwana Xu Xinpei ameelezea azma ya Kampuni yake kutaka kuwekeza katika sekta na Bandari na Hoteli ya Kimataifa ya Kitalii hapa Zanzibar.
Balozi wa Malawi...
11 years ago
Mwananchi27 Jan
‘Hadhi Bandari ya Dar haitabadilika’
11 years ago
Habarileo26 May
Wachina wavutana bandari ya Dar
UJENZI wa gati namba 13 na 14 katika Bandari ya Dar es Salaam umechelewa kutokana na sababu tatu, ikiwamo ya mzozo wa kampuni mbili za Kichina zilizowahi kusababisha mvutano kwa waliokuwa mawaziri wa Uchukuzi, Omar Nundu na Dk Athumani Mfutakamba.