KAMATI YA PAC YAENDELEA NA KAZI YAKE LEO JIJINI DAR
katibu wa Bunge Dkt. Thomas Kashililah akifafanua jambo mbele ya kamati ya Hesabu za Serikali (PAC) wakati wa vikao vya kamati za Bunge vinavyoendelea katika Ofisi za Bunge jijini Dar es SalaamNaibu Katibu Mkuu Wizara ya Uchuguzi Monica Mwamunyange (katikati) akiwa na baadhi ya Watendaji wa Wizara hiyo pamoja na Maafisa kutoka Mamlaka ya bandari (TPA) mbele ya kamati ya Hesabu za Serikali (PAC) wakati wa kikao cha kujadili taarifa ya Ukaguzi Maalum wa matumizi ya fedha za mamlaka hiyo kwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi30 Oct
Saa 48 Kamati ya PAC zatimia leo
11 years ago
Dewji Blog26 Apr
Kamati za Bunge kuanza kazi Jumatatu tarehe 28 Aprili 2014 Jijini Dar Es Salaam
Afisa Habari wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Owen Mwandumbya akielezea kuhusu kufanyika kwa vikao vya Kamati za Bunge vinavyotarajia kuanza tarehe 28 Aprili hadi 4 Mei, 2014, Jijini Dar es Salaam kabla ya kuanza Mkutano wa Bunge wa Bajeti tarehe 6 Mei, 2014.(Picha na Tiganya Vincent-BMK-Dodoma).
Press Release – Kuanza Kamati April 28, 2014 by moblog
9 years ago
MichuziMWILI WA BABA YAKE MWANAHABARI, PETER AMBILIKILE WAAGWA JIJINI DAR ES SALAAM, MAZISHI YAKE KUFANYIKA MBEYA LEO
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
10 years ago
GPLUPDATES KUTOKA DODOMA: KAMATI YA MAADILI YAMALIZA KAZI YAKE, SASA KINAFUATA KIKAO CHA KAMATI KUU (CC)
10 years ago
Dewji Blog17 Oct
Skylight Band yaendelea kubamba na muziki wa laivu jijini Dar, tukutane Thai Village jioni ya leo
Kikosi kazi cha Skylight Band kikiongozwa na mkongwe wa muziki wa Live Joniko Flower, Meneja wa Band Aneth Kushaba AK47, Sam Mapenzi na Sony Masamba kwa pamoja wakiwapa raha mashabiki wa bendi hiyo (hawapo pichani) kwenye kiota cha maraha cha Thai Village Masaki jijini Dar Ijumaa iliyopita ambapo leo wataendelea kutoa kuwaburudisha mashabiki wake kama kawaida kuanzia saa tatu usiku.
Wanaume wa shoka wa Skylight Band kutoka kushoto ni Joniko Flower, Sony Masamba na Digna Mbepera wakionyesha...
9 years ago
CCM BlogKAMATI KUU YA CCM YAKUTANA LEO JIJINI DAR ES SALAAM
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM iliyokutana leo, Novemba 02,2015 chini ya Mwenyekiti wa CCM,Rais Jakaya Mrisho Kikwete imejadili kwa kina mapendekezo ya wana CCM walioomba ridhaa ya kugombea ubunge katika jimbo la Handeni mjini.
Kamati Kuu imetengua mapendekezo ya awali na kuagiza kurejewa kwa mchakato wa kura za maoni kwa wana -CCM wawili...
11 years ago
GPLCHADEMA WAFANYA KIKAO CHA KAMATI KUU LEO JIJINI DAR
9 years ago
MichuziBOMOA BOMOA YA MAENEO YA WAZI YAENDELEA LEO MTAA WA BASIHAYA BUNJU JIJINI DAR