Saa 48 Kamati ya PAC zatimia leo
Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) leo ndiyo siku inayotakiwa kuwasilisha kadi za magari 11 mali ya mamlaka hiyo ambayo yanadaiwa kuhamishwa umiliki wake katika mazingira ya kutatanisha na kubandikwa namba binafsi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziKAMATI YA PAC YAENDELEA NA KAZI YAKE LEO JIJINI DAR
10 years ago
Mwananchi31 Oct
TPDC yawatunishia misuli Kamati ya PAC
10 years ago
Zitto Kabwe, MB04 Feb
Uwajibikaji, Changamoto na Uweledi wa Kamati ya PAC
Uwajibikaji, Changamoto na Uweledi wa Kamati ya PAC
Mfumo thabiti wa Uwajibikaji ni moja ya jawabu muhimu sana katika kuhakikisha Taifa linaondokana na ufisadi na masuala mengine yanayorudisha nyuma maendeleo ya Tanzania. Kazi za mwisho za Kamati ya PAC katika Bunge la Kumi zilisheheni mambo mengi muhimu katika mchakato endelevu wa ujenzi wa mfumo thabiti wa uwajibikaji nchini kwetu.
Taarifa ya Mwaka iliyojadiliwa na kupitishwa na Bunge wiki iliyopita ndio ilikuwa taarifa yetu ya mwisho...
11 years ago
Mwananchi05 Feb
Kamati ya Bunge PAC yabaini SMZ kulinda mafisadi
10 years ago
Zitto Kabwe, MB04 Jan
RATIBA -KAMATI YA BUNGE YA HESABU ZA SERIKALI (PAC) JANUARI 2015
KAMATI YA BUNGE YA HESABU ZA SERIKALI (PAC)
RASIMU YA RATIBA YA UKAGUZI WA MIRADI NA KUJADILI HESABU ZILIZOKAGULIWA ZA SERIKALI KUU NA MASHIRIKA YA UMMA KUANZIA TAREHE 05 HADI 24 JANUARI 2015,
MKOA WA MOROGORO NA OFISI NDOGO YA BUNGE, DAR ES SALAAM
View this document on Scribd
![](http://pixel.wp.com/b.gif?host=zittokabwe.wordpress.com&blog=12675215&post=3460&subd=zittokabwe&ref=&feed=1)
10 years ago
GPLAMINA MWIDAU (VITI MAALUMU CUF) NDIYE MWENYEKITI MPYA WA KAMATI YA PAC
10 years ago
MichuziKAMATI YA BUNGE YA PAC YAPATA UGENI KUTOKA BUNGE LA SUDANI KUSINI
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qadiquVwhYY/VWrkIp7Rr1I/AAAAAAAHa8M/fE6HHsFtj1w/s72-c/delux%2Bcoach3.jpg)
TRENI YA DELUXE ILIYOPANGWA KUONDOKA LEO SAA 2 USIKU IMEAHIRISHWA HADI KESHO JUMATATU SAA MBILI USIKU!
![](http://2.bp.blogspot.com/-qadiquVwhYY/VWrkIp7Rr1I/AAAAAAAHa8M/fE6HHsFtj1w/s640/delux%2Bcoach3.jpg)
TAARIFA HIYO IMEELEZA KUWA SABABU ZA KUAHIRISHWA SAFARI HIYO NI AJALI YA TRENI YA MIZIGO ILIYOTOKEA JANA SAA 2 USIKU KATIKA STESHENI YA SARANDA AMBAPO MABEHEWA 4 YAMEPINDUKA ! TAYARI WAHANDISI NA MAFUNDI WA TRL WANAELEKEA ENEO LA KWA KAZI YA KUYAINUA NA PIA KUKARABATI NJIA!
ATAYESOMA TAARIFA HII...