Wachina wavutana bandari ya Dar
UJENZI wa gati namba 13 na 14 katika Bandari ya Dar es Salaam umechelewa kutokana na sababu tatu, ikiwamo ya mzozo wa kampuni mbili za Kichina zilizowahi kusababisha mvutano kwa waliokuwa mawaziri wa Uchukuzi, Omar Nundu na Dk Athumani Mfutakamba.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi22 May
KURA YA MAONI: Ukawa wavutana Dar
10 years ago
Mwananchi02 Feb
Wachina waja kuipanga Dar
10 years ago
MichuziKIVUKO CHA MV DAR ES SALAAM CHAWASILI KATIKA BANDARI YA DAR LEO ASUBUHI
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/e_XL4gbiblg/default.jpg)
11 years ago
Dewji Blog08 Apr
Zanzibar kujengwa Bandari kubwa chini ya Kampuni ya Ujenzi wa Bandari ya Jamuhuri ya Watu wa China (CHEC)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akisalimiana na Muwakilishi wa Kampuni ya Ujenzi wa Bandari ya China yenye Tawi la Ofisi yake Nchini Tanzania Bwana Xu Xinpei.
Muwakilishi wa Kampuni ya Kimataifa ya Ujenzi wa Bandari ya China Bwana Xu Xinpei akibadilishana mawazo na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif. Bwana Xu Xinpei ameelezea azma ya Kampuni yake kutaka kuwekeza katika sekta na Bandari na Hoteli ya Kimataifa ya Kitalii hapa Zanzibar.
Balozi wa Malawi...
10 years ago
Mtanzania16 Mar
TAKUKURU watua bandari Dar
Na Masyaga Matinyi, Dar es Salaam
TAASISI ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (TAKUKURU) imeanzisha uchunguzi kubaini mianya ya rushwa na ukiukwaji wa taratibu katika mradi wa ujenzi wa mlango wa Bandari ya Dar es Salaam (Gerezani Creek).
Mradi huo ulisainiwa Septemba 6, 2014 na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), Joseph Msambichaka na aliyekuwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu, Madeni Kipande, ambaye amesimamishwa kazi kupisha uchunguzi dhidi yake.
Kipande alisimamishwa...
11 years ago
Mwananchi27 Jan
‘Hadhi Bandari ya Dar haitabadilika’
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-pbitokSIfmU/VYZ2JoLT1dI/AAAAAAAHiGw/F_-e7zFxxcs/s72-c/unnamed%2B%252818%2529.jpg)
wahariri walipotembelea bandari ya dar es salaam
![](http://1.bp.blogspot.com/-pbitokSIfmU/VYZ2JoLT1dI/AAAAAAAHiGw/F_-e7zFxxcs/s640/unnamed%2B%252818%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-LBh0eVOwkqM/VYZ2Jh13WzI/AAAAAAAHiGs/QhGzaDGHMKE/s640/unnamed%2B%252819%2529.jpg)
10 years ago
Mwananchi18 Feb
Ushauri wa PAC utainusuru Bandari Dar