Wachina waja kuipanga Dar
Dar es Salaam ni moja ya majiji yanayokua kwa kasi barani Afrika kutokana na kasi ya ujenzi wa majengo ya kisasa, kupanuka na kuongezeka kwa idadi ya watu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo26 May
Wachina wavutana bandari ya Dar
UJENZI wa gati namba 13 na 14 katika Bandari ya Dar es Salaam umechelewa kutokana na sababu tatu, ikiwamo ya mzozo wa kampuni mbili za Kichina zilizowahi kusababisha mvutano kwa waliokuwa mawaziri wa Uchukuzi, Omar Nundu na Dk Athumani Mfutakamba.
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/e_XL4gbiblg/default.jpg)
11 years ago
Mwananchi05 Mar
‘Wachina walitoa rushwa’
10 years ago
Mwananchi11 Nov
Interpol yawasaka Wachina 30
11 years ago
Tanzania Daima04 Mar
WAJA kusomesha wanafunzi 20
TAASISI ya WAJA imeahidi kuwasomesha bure kuanzia kidato cha tano hadi cha sita wanafunzi 20 wanaotoka kwenye familia duni na yatima waliofaulu katika mitihani ya kuhitimu kidato cha nne mwaka...
10 years ago
Mtanzania11 Oct
Ukawa waja na mpya
![Samuel Sitta](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Samuel-Sitta.jpg)
Samuel Sitta
NA ELIZABETH MJATTA, DAR ES SALAAM
UTATA mpya umeibuka kuhusu uhalali wa kura zilizowezesha kupatikana kwa theluthi mbili ya wajumbe wa upande wa Zanzibar, waliopitisha vifungu vya Katiba iliyopendekezwa kupigiwa kura na wananchi.
Utata huo umejitokeza jana baada ya mmoja wa waliokuwa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kutoka kundi la watu 201, Haji Ambar Khamis, aliyedai jina lake limeandikwa kimakosa katika orodha ya wajumbe wa upande wa Zanzibar walioshiriki na kupendekeza...
9 years ago
Mwananchi28 Oct
Wachina na harakati za kujifunza Kiswahili
10 years ago
Habarileo18 Jun
Wachina ‘waliozamia’ nchini wahukumiwa
RAIA watatu wa China wamehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja jela au kulipa faini ya Sh 300, 000 baada ya kupatikana na hatia ya kuishi nchini na kufanya kazi bila kibali.
11 years ago
Mwananchi23 Jan
Wachina waahidi kulinda viwango