Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Wachina walitoa rushwa’

Raia wa China, Huang Gin, Xu Fujie na Chen Jinzha wamedaiwa kutoa hongo ya Sh30.2 milioni kwa polisi na askari wa wanyama pori ili wasipekue nyumba waliyokuwa wakiishi iliyo Mtaa wa Kifaru Mikocheni.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

JK: Maaskofu walitoa matamko ya hasira

Wakati Rais Jakaya Kikwete akisema msimamo wa Jukwaa la Wakristo Tanzania (TCF) wa kuwataka waumini wao kuipigia kura ya hapana Katiba Inayopendekezwa ni wa hasira pia usiokuwa na tija kwa maendeleo ya Taifa, baadhi ya maaskofu wameshikilia msimamo huo.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mla rushwa atamkamataje mtoa rushwa?

‘SIASA’ yaweza kutafsiriwa hivi: shughuli za serikali, wanachama wa asasi za kutunga sheria au watu wanaojaribu kufanya maamuzi kuhusiana na jinsi nchi inavyotawaliwa. Pia mkakati wa kuendesha jambo kwa kutumia...

 

10 years ago

Vijimambo

WAKUU WA TAASISI ZA KUZUIA RUSHWA BARANI AFRIKA WAKUTANA ARUSHA KUANGALIA JINSI WATAKAVYOWEZA KUPAMBANA NA KUFIKIA MALENGO YA KUTOKOMEZA RUSHWA NDANI YA BARA LA AFRICA

SAM_2509Mwenyekiti wa bodi ya ushauri ya kupambana na maswala ya rushwa katika umoja wa Africa kutoka Ghana Mh.Daniel Batidam akizungumza na waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari jijini Arusha katika ukumbi wa mikutano AICC katika kuangalia jinsi gani wataweza kupambana na kufikia malengo ya kutokomeza Rushwa ndani ya Bara La Africa.(Habari picha na Pamela Mollel wa jamiiblog)SAM_2498Makamu Mwenyekiti bodi ya ushauri ya kupambana na maswala ya rushwa katika umoja wa Africa Mh.Florince...

 

10 years ago

Vijimambo

WAZUWIA RUSHWA NI WALARUSHWA WAKUBWA!!!! HII INACHEKESHA - NCHI HII IMEKWISHA - RUSHWA TOP TO BOTTOM!!!

Dk Edward Hoseah, Mkurugenzi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru)Licha Kama hajatawala mwendawazimu mmoja na akawafyeka vitanzi akina Chenge na wenziwe, nchi hii itabakia na rushwa milele! Wamo pia maofisa TRA, mahakimu na majaji Vyombo vya habari vyapongezwa�'vikaze buti'ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), kutakiwa kuzuia rushwa, maofisa wake wametajwa kuwa vinara wa kula rushwa, utafiti umebaini.Aidha, utafiti uliofanywa na Afrobarometer umebaini kuwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Interpol yawasaka Wachina 30

Siku tano baada ya Serikali kukanusha vikali ripoti ya Shirika la Kimataifa la Mazingira (EIA) iliyoihusisha China na utoroshaji wa meno ya tembo nchini wakati wa ziara ya Rais wa nchi hiyo, Xi Jinping mwaka jana, Shirika la Polisi la Kimataifa (Intepol), Tawi la Tanzania limesema linawatafuta raia zaidi ya 30 wa China.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wachina wanaozungumza kiswahili China

Fatuma Halnur ni baadhi ya Wachina hapa wanaozungumza kiswahili pia. Fatuma, ambaye ni muislamu, ni mwanafunzi katika chuo cha Lugha za kigeni cha Beijing

 

11 years ago

Habarileo

Waandishi wabanwa kesi ya Wachina

Mahakama ya Hakimu Mkazi KisutuMAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imetoa amri kwa vyombo vya habari, kutoandika majina ya mashahidi katika kesi ya kukutwa na meno ya tembo yenye thamani ya Sh bilion 5.4, inayowakabili raia watatu wa China.

 

10 years ago

Mwananchi

Wachina waja kuipanga Dar

Dar es Salaam ni moja ya majiji yanayokua kwa kasi barani Afrika kutokana na kasi ya ujenzi wa majengo ya kisasa, kupanuka na kuongezeka kwa idadi ya watu.

 

10 years ago

Mwananchi

Wachina na harakati za kujifunza Kiswahili

Hivi karibun nchini Kenya Redio China Kimataifa ilianzisha darasa la kufundisha Kiswahili kwa Wachina waishio Kenya. Lengo kubwa la kufanya hivyo ni kutoa mafunzo ya lugha hiyo ili kuwawezesha Wachina hao kukifahamu Kiswahili na kuweza kuwasiliana na wenyeji katika shughuli zao za kila siku. Darasa hilo maalumu la Kiswahili linahusisha watu wa kada anuwai wakiwamo wafanyabiashara, wafanyakazi wa Umoja wa Mataifa, Ubalozi wa China na waandishi wa habari.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani