Wachina wanaozungumza kiswahili China
Fatuma Halnur ni baadhi ya Wachina hapa wanaozungumza kiswahili pia. Fatuma, ambaye ni muislamu, ni mwanafunzi katika chuo cha Lugha za kigeni cha Beijing
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi28 Oct
Wachina na harakati za kujifunza Kiswahili
Hivi karibun nchini Kenya Redio China Kimataifa ilianzisha darasa la kufundisha Kiswahili kwa Wachina waishio Kenya. Lengo kubwa la kufanya hivyo ni kutoa mafunzo ya lugha hiyo ili kuwawezesha Wachina hao kukifahamu Kiswahili na kuweza kuwasiliana na wenyeji katika shughuli zao za kila siku. Darasa hilo maalumu la Kiswahili linahusisha watu wa kada anuwai wakiwamo wafanyabiashara, wafanyakazi wa Umoja wa Mataifa, Ubalozi wa China na waandishi wa habari.
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/Zhp7f1FXxQ0/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-SOKUSkeY848/VXLa5y2e0EI/AAAAAAAHcdw/TIo-88uD158/s72-c/2015-06-05T024925Z_428392559_GF10000117742_RTRMADP_3_CHINA-SHIP.jpg)
RAIS KIKWETE ATUMA SALAM ZA RAMBIRAMBI KWA RAIS WA CHINA KUFUATIA VIFO VYA WACHINA 400 KATIKA AJALI YA BOTI
![](http://4.bp.blogspot.com/-SOKUSkeY848/VXLa5y2e0EI/AAAAAAAHcdw/TIo-88uD158/s640/2015-06-05T024925Z_428392559_GF10000117742_RTRMADP_3_CHINA-SHIP.jpg)
Meli ya kitalii ya Eastern Star ilizama katika Mto wa Yangtze, karibu na mji wa Jianli, Jimbo la Kati la Hubei, Jumatatu usiku ikiwa na abiria 456 waliokuwa wanafanya safari ya...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-AJpzx0WZ6SY/VRBKDTFqscI/AAAAAAAHMjs/DHPE3-Sccyg/s72-c/unnamed%2B(71).jpg)
BALOZI KAMALA AKUTANA NA WAZIRI MKUU WA SERIKALI YA WABELGIJI WANAOZUNGUMZA KIJERUMANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-AJpzx0WZ6SY/VRBKDTFqscI/AAAAAAAHMjs/DHPE3-Sccyg/s1600/unnamed%2B(71).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-t8u7dAZuO68/VRBKq09dZlI/AAAAAAAHMj0/FaD_vj0z_qc/s1600/unnamed%2B(72).jpg)
11 years ago
Mwananchi22 Jul
KISWAHILI KWA WANAFUNZI: Ngeli tisa za Kiswahili na upatanisho wa kisarufi
Ngeli ni vikundi vya majina ya Kiswahili. Ngeli za nomino ni utaratibu unaotumika kuweka nomino katika matabaka au makundi yanayofanana.
10 years ago
VijimamboDARASA LA KISWAHILI DMV KUWAKILISHA LUGHA YA KISWAHILI KATIKA SIKU YA MAONYESHO YA WHITE OAK CENTER
240-777-6940FAX 240-777-6941
KUTAKUWA NA NA MOON BOUNCE,FIRE MAN,FIRE TRUCKS, CLOWNS, ICE CREAM ,HOT DOGS,PIZZA,COTTON CANDY, NA MENGINE MINGINE .
KIINGILIO BUREEEEE
![](http://www.columbiaengineering.com/Lists/Photos/Community/White%20Oak%20Community%20Center.jpg)
11 years ago
Michuzi17 May
CHUO KIKUU CHA IRINGA WAZINDUA TAWI LA WANAFUNZI WANAOSOMA KISWAHILI AFRIKA MASHARIKI, WATAKA KATIBA MPYA KISWAHILI KIPEWE NAFASI
![](https://3.bp.blogspot.com/-DjAqPB6POFI/U3dgBR2MovI/AAAAAAABoNI/xWtWqCobeG8/s640/IMG_0987.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-oUwZr4WMSkQ/U3dflJ5J2XI/AAAAAAABoMo/V-8dVuzJfLw/s640/IMG_0989.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-uY1rc3qzWko/U3dgdSdAufI/AAAAAAABoNY/xcZMTNmPxF4/s640/IMG_0995.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-LbfTmwZVtS8/U3dg6QxE1tI/AAAAAAABoN4/WHF3kALUvEU/s640/IMG_1000.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-6tTe8omDQNY/U3dg2SD1q9I/AAAAAAABoNs/qnamPZ5O7eM/s640/IMG_1001.jpg)
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
11 years ago
Mwananchi05 Mar
‘Wachina walitoa rushwa’
Raia wa China, Huang Gin, Xu Fujie na Chen Jinzha wamedaiwa kutoa hongo ya Sh30.2 milioni kwa polisi na askari wa wanyama pori ili wasipekue nyumba waliyokuwa wakiishi iliyo Mtaa wa Kifaru Mikocheni.
10 years ago
Mwananchi11 Nov
Interpol yawasaka Wachina 30
Siku tano baada ya Serikali kukanusha vikali ripoti ya Shirika la Kimataifa la Mazingira (EIA) iliyoihusisha China na utoroshaji wa meno ya tembo nchini wakati wa ziara ya Rais wa nchi hiyo, Xi Jinping mwaka jana, Shirika la Polisi la Kimataifa (Intepol), Tawi la Tanzania limesema linawatafuta raia zaidi ya 30 wa China.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania